Girland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2016
- 2,489
- 4,253
- Thread starter
- #41
Asante kwa taarifa, vipi hapa kwetu? Lakini Kama siasa Hakuna pesa kwa nini matajiri wanahonga ili wawe wanasiasa?
Mkuu nikusaidie kidogo ,kenya hakuna anaeenda kwenye siasa akiwa maskini,makamu wa rais kenya yule ni tajiri kama bakhresa ile nchi ya kibepali kuwa tajiri ni kigezo pia kukupa kura