kajunjumele
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 2,470
- 1,352
😂😂😂 hii kweli kimbembe auctionmatKwa haraka haraka mbwa na chatu kila mmoja anataka kwenda njia yake kimbembe😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 hii kweli kimbembe auctionmatKwa haraka haraka mbwa na chatu kila mmoja anataka kwenda njia yake kimbembe😅
Na umejaribu kwelikweli lakini unastahili 5% ya alama zote..Tafsiri
Chadema wamejisalimisha kwa CCM na sasa CCM inawapeleka Chadema inapo taka mbaya zaidi CCM inawarudisha nyuma chadema inawezekana wakafa kabisa kwa sababu CCM wameingia ndani na wameshaharibu mifumo Yao yote. Kuanzia upuaji hadi mmeng'enyo wa Chakula ina maana mpaka Leo Chadema hawana moyo maini wala figo. WAMEKWISHA. SALUTE KWA KIPANYA.
Nmejaribu kutafsiri[emoji23][emoji23]
Mbona umeanzia katikati kumbuka hili ni bonge la movie kuendea 2025, na ndio Kwanzaa limeanza baada ya matangazo mareefu yaani mpaka sasa stelingi bado mtoto tulia usiwe na pupaView attachment 2544444
1. Yaani hapo kuna mbwa na chatu.
2. Chatu amemmeza mbwa.
3. Miguu ya mbwa imetoboa tumbo la chatu.
4. Mbwa anatembea huku amemezwa.
5. Najaribu kulitazama jicho la chatu nimebaki nimeduwa sielewi kwanini liko hivo.
💯💯💯☑️☑️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️..katuni inaonyesha " WIN-WIN " situation.🤣
..Mbwa ameshinda, na Chatu ameshinda.
Sa Inamaana chatu hawez tena kwenda kwa tumbo lake inabid alieko ndan ndo atembee while haoni anapokwenda!! 🤔🤔🤔View attachment 2544444
1. Yaani hapo kuna mbwa na chatu.
2. Chatu amemmeza mbwa.
3. Miguu ya mbwa imetoboa tumbo la chatu.
4. Mbwa anatembea huku amemezwa.
5. Najaribu kulitazama jicho la chatu nimebaki nimeduwa sielewi kwanini liko hivo.
Haa has haa😀😀😀Mbona umeanzia katikati kumbuka hili ni bonge la movie kuendea 2025, na ndio Kwanzaa limeanza baada ya matangazo mareefu yaani mpaka sasa stelingi bado mtoto tulia usiwe na pupa
Tegemea Mbwa kutafuna tumbo la Chatu ili kuweza kutoa kichwa nje ... hapo sasa ndipo utakapo jua kuwa hujui ...
View attachment 2544620View attachment 2544622View attachment 2544624
PerfectHaa has haa😀😀😀
Kumbe movie ilianzia huku, siyo..???
PICHA No. 1: Jiwe/Mwendazake John P. Magufuli (chatu wa kijani = CCM) anajaribu kuwameza wavaa kombati za khaki (CHADEMA). Jamaa wakafanikiwa kusepesha kichwa. Chatu ana - miss target..
PICHA No. 2: Chatu wa kijani akafanikiwa kummeza mbwa - wavaa kombati za khaki. Akafikiri ameshaua. Chatu kama kawaida yake akalala ili chakula kimeng'enywe na kuoza Kisha aendelee na safari yake. Cha ajabu hiyo haikutokea..!!
PICHA No. 3: All of sudden, mbwa badala ya kufa na kuoza ndani ya tumbo la chatu, anapata uhai. Anapasua tumbo la chatu. Anaanza kutoka taratibu na kugeuka mateso kwa Chatu. Chatu katumbua macho. Bila shaka kuna maajabu ya mbwa kuua Chatu yanakuja!!
Bila shaka. Kiumbe chochote kikifumuliwa tumbo nje ya utaratibu wa kitabibu na kidaktari, basi hakuna maisha tena kwa kiumbe hicho!!
Akili kumukichwa bhagosha...!! Let's wait the next move
Ile ya Warioba ni ngumu kurudishwa maana muda ushapita sanaKulingana na picha hapo juu,
Maridhiano ni FAKE. Kila Mmoja na njia yake.
Rais anaongelea mabadiliko ya Katiba iliyopo, CDM wanadai KATIBA mpya itokanayo na Rasimu alosimamia Judge WARIOBA.
Tusubiri.
Jicho la chatu linamwangalia mbwa atapofikia pale alipoufunga mkia je ataweza kupita?? Ili afike huko aendakoNajaribu kulitazama jicho la chatu nimebaki nimeduwa sielewi kwanini liko hivo.
Tume ikiteuliwa, wajumbe wanaweza pendekeza ikarudishwa ikatumika kama base wakati wakikusanya maoni mapya.Ile ya Warioba ni ngumu kurudishwa maana muda ushapita sana
Pamoja na nguvu zako zote dhidi ya adui yako, usipoangalia vyema pale unapomuwekea mtego wa hovyo huku ukiamini kuwa umemnaliza, utajikuta umejimaliza wewe mwenyewe. Hakuna ujanja zaidi ya kujikuta umelegea huku macho yako yakiwa yanarembuka kama femi.View attachment 2544444
1. Yaani hapo kuna mbwa na chatu.
2. Chatu amemmeza mbwa.
3. Miguu ya mbwa imetoboa tumbo la chatu.
4. Mbwa anatembea huku amemezwa.
5. Najaribu kulitazama jicho la chatu nimebaki nimeduwa sielewi kwanini liko hivo.
Alisikika mlevi mmoja akisema hayo nimawazo ya wahafidhinaTafsiri
Chadema wamejisalimisha kwa CCM na sasa CCM inawapeleka Chadema inapo taka mbaya zaidi CCM inawarudisha nyuma chadema inawezekana wakafa kabisa kwa sababu CCM wameingia ndani na wameshaharibu mifumo Yao yote. Kuanzia upuaji hadi mmeng'enyo wa Chakula ina maana mpaka Leo Chadema hawana moyo maini wala figo. WAMEKWISHA. SALUTE KWA KIPANYA.
Nmejaribu kutafsiri[emoji23][emoji23]
Inamaana huyu chatu hawezi kutembea bila msaada wa Mbwa, Sasa hivi wameungana,chatu na mbwaView attachment 2544444
1. Yaani hapo kuna mbwa na chatu.
2. Chatu amemmeza mbwa.
3. Miguu ya mbwa imetoboa tumbo la chatu.
4. Mbwa anatembea huku amemezwa.
5. Najaribu kulitazama jicho la chatu nimebaki nimeduwa sielewi kwanini liko hivo.
View attachment 2544444
1. Yaani hapo kuna mbwa na chatu.
2. Chatu amemmeza mbwa.
3. Miguu ya mbwa imetoboa tumbo la chatu.
4. Mbwa anatembea huku amemezwa.
5. Najaribu kulitazama jicho la chatu nimebaki nimeduwa sielewi kwanini liko hivo.
Isiwe na kupotezwa. Never never again. Siasa zimebadilika wahafidhinaTafsiri
Chadema wamejisalimisha kwa CCM na sasa CCM inawapeleka Chadema inapo taka mbaya zaidi CCM inawarudisha nyuma chadema inawezekana wakafa kabisa kwa sababu CCM wameingia ndani na wameshaharibu mifumo Yao yote. Kuanzia upuaji hadi mmeng'enyo wa Chakula ina maana mpaka Leo Chadema hawana moyo maini wala figo. WAMEKWISHA. SALUTE KWA KIPANYA.
Nmejaribu kutafsiri[emoji23][emoji23]