Siasa: Kama hii katuni ya chatu na mbwa imechorwa na Masood Kipanya basi anapaswa kupewa tuzo ya kutuchanganya

Siasa: Kama hii katuni ya chatu na mbwa imechorwa na Masood Kipanya basi anapaswa kupewa tuzo ya kutuchanganya

Tafsiri

Chadema wamejisalimisha kwa CCM na sasa CCM inawapeleka Chadema inapo taka mbaya zaidi CCM inawarudisha nyuma chadema inawezekana wakafa kabisa kwa sababu CCM wameingia ndani na wameshaharibu mifumo Yao yote. Kuanzia upuaji hadi mmeng'enyo wa Chakula ina maana mpaka Leo Chadema hawana moyo maini wala figo. WAMEKWISHA. SALUTE KWA KIPANYA.

Nmejaribu kutafsiri[emoji23][emoji23]
Na umejaribu kwelikweli lakini unastahili 5% ya alama zote..

Pole zako
 
View attachment 2544444

1. Yaani hapo kuna mbwa na chatu.
2. Chatu amemmeza mbwa.
3. Miguu ya mbwa imetoboa tumbo la chatu.
4. Mbwa anatembea huku amemezwa.
5. Najaribu kulitazama jicho la chatu nimebaki nimeduwa sielewi kwanini liko hivo.
Mbona umeanzia katikati kumbuka hili ni bonge la movie kuendea 2025, na ndio Kwanzaa limeanza baada ya matangazo mareefu yaani mpaka sasa stelingi bado mtoto tulia usiwe na pupa

Tegemea Mbwa kutafuna tumbo la Chatu ili kuweza kutoa kichwa nje ... hapo sasa ndipo utakapo jua kuwa hujui ...

Screenshot_2023-03-10-17-51-01-01_0b2fce7a16bf2b728d6ffa28c8d60efb.jpg
Screenshot_2023-03-10-17-50-40-69_0b2fce7a16bf2b728d6ffa28c8d60efb.jpg
Screenshot_2023-03-10-17-51-32-39_0b2fce7a16bf2b728d6ffa28c8d60efb.jpg
 
View attachment 2544444

1. Yaani hapo kuna mbwa na chatu.
2. Chatu amemmeza mbwa.
3. Miguu ya mbwa imetoboa tumbo la chatu.
4. Mbwa anatembea huku amemezwa.
5. Najaribu kulitazama jicho la chatu nimebaki nimeduwa sielewi kwanini liko hivo.
Sa Inamaana chatu hawez tena kwenda kwa tumbo lake inabid alieko ndan ndo atembee while haoni anapokwenda!! 🤔🤔🤔
 
Huyu mbwa anadhani anamuendesha chatu, na hajui Kama haoni. Na chatu ameshamjua, na kamfungia kabisa kwa kusokota mkia wake. So hamna tumaini la uhakika kwa huyo mbwa
 
Mbona umeanzia katikati kumbuka hili ni bonge la movie kuendea 2025, na ndio Kwanzaa limeanza baada ya matangazo mareefu yaani mpaka sasa stelingi bado mtoto tulia usiwe na pupa

Tegemea Mbwa kutafuna tumbo la Chatu ili kuweza kutoa kichwa nje ... hapo sasa ndipo utakapo jua kuwa hujui ...

View attachment 2544620View attachment 2544622View attachment 2544624
Haa has haa😀😀😀

Kumbe movie ilianzia huku, siyo..???

PICHA No. 1: Jiwe/Mwendazake John P. Magufuli (chatu wa kijani = CCM) anajaribu kuwameza wavaa kombati za khaki (CHADEMA). Jamaa wakafanikiwa kusepesha kichwa. Chatu ana - miss target..

PICHA No. 2: Chatu wa kijani akafanikiwa kummeza mbwa - wavaa kombati za khaki. Akafikiri ameshaua. Chatu kama kawaida yake akalala ili chakula kimeng'enywe na kuoza Kisha aendelee na safari yake. Cha ajabu hiyo haikutokea..!!

PICHA No. 3: All of sudden, mbwa badala ya kufa na kuoza ndani ya tumbo la chatu, anapata uhai. Anapasua tumbo la chatu. Anaanza kutoka taratibu ndani ya tumbo la chatu. Kinaanza kama kamguu hivi kutoka, Kisha miguu yote minne. Mbwa anasimama na kumbeba chatu huku ameshapadua tumbo la chatu.

Next step ni mbwa kutoa kichwa, macho na masikio. All the way to resurrection, mbwa kageuka kuwa teso kuu kwa Chatu. Chatu katumbua macho. Bila shaka kuna maajabu ya mbwa kuua Chatu yanakuja!!

Wote twajua kuwa, kiumbe chochote kikifumuliwa tumbo nje ya utaratibu wa kitabibu na kidaktari, basi hakuna maisha tena kwa kiumbe hicho!!

Kwa heri chatu wa kijani - CCM. Hogereni CHADEMA. Mmewaweza machatu. Sasa wanajiita machawa...

Akili kumukichwa bhagosha...!! Let's wait the next move
 
Haa has haa😀😀😀

Kumbe movie ilianzia huku, siyo..???

PICHA No. 1: Jiwe/Mwendazake John P. Magufuli (chatu wa kijani = CCM) anajaribu kuwameza wavaa kombati za khaki (CHADEMA). Jamaa wakafanikiwa kusepesha kichwa. Chatu ana - miss target..

PICHA No. 2: Chatu wa kijani akafanikiwa kummeza mbwa - wavaa kombati za khaki. Akafikiri ameshaua. Chatu kama kawaida yake akalala ili chakula kimeng'enywe na kuoza Kisha aendelee na safari yake. Cha ajabu hiyo haikutokea..!!

PICHA No. 3: All of sudden, mbwa badala ya kufa na kuoza ndani ya tumbo la chatu, anapata uhai. Anapasua tumbo la chatu. Anaanza kutoka taratibu na kugeuka mateso kwa Chatu. Chatu katumbua macho. Bila shaka kuna maajabu ya mbwa kuua Chatu yanakuja!!

Bila shaka. Kiumbe chochote kikifumuliwa tumbo nje ya utaratibu wa kitabibu na kidaktari, basi hakuna maisha tena kwa kiumbe hicho!!

Akili kumukichwa bhagosha...!! Let's wait the next move
Perfect
 
Kulingana na picha hapo juu,

Maridhiano ni FAKE. Kila Mmoja na njia yake.

Rais anaongelea mabadiliko ya Katiba iliyopo, CDM wanadai KATIBA mpya itokanayo na Rasimu alosimamia Judge WARIOBA.

Tusubiri.
Ile ya Warioba ni ngumu kurudishwa maana muda ushapita sana
 
Ile ya Warioba ni ngumu kurudishwa maana muda ushapita sana
Tume ikiteuliwa, wajumbe wanaweza pendekeza ikarudishwa ikatumika kama base wakati wakikusanya maoni mapya.
 
View attachment 2544444

1. Yaani hapo kuna mbwa na chatu.
2. Chatu amemmeza mbwa.
3. Miguu ya mbwa imetoboa tumbo la chatu.
4. Mbwa anatembea huku amemezwa.
5. Najaribu kulitazama jicho la chatu nimebaki nimeduwa sielewi kwanini liko hivo.
Pamoja na nguvu zako zote dhidi ya adui yako, usipoangalia vyema pale unapomuwekea mtego wa hovyo huku ukiamini kuwa umemnaliza, utajikuta umejimaliza wewe mwenyewe. Hakuna ujanja zaidi ya kujikuta umelegea huku macho yako yakiwa yanarembuka kama femi.
 
Tafsiri

Chadema wamejisalimisha kwa CCM na sasa CCM inawapeleka Chadema inapo taka mbaya zaidi CCM inawarudisha nyuma chadema inawezekana wakafa kabisa kwa sababu CCM wameingia ndani na wameshaharibu mifumo Yao yote. Kuanzia upuaji hadi mmeng'enyo wa Chakula ina maana mpaka Leo Chadema hawana moyo maini wala figo. WAMEKWISHA. SALUTE KWA KIPANYA.

Nmejaribu kutafsiri[emoji23][emoji23]
Alisikika mlevi mmoja akisema hayo nimawazo ya wahafidhina
 
Shida watu wanachonganisha uadui urudi watu wauawe,wafil
Tafsiri

Chadema wamejisalimisha kwa CCM na sasa CCM inawapeleka Chadema inapo taka mbaya zaidi CCM inawarudisha nyuma chadema inawezekana wakafa kabisa kwa sababu CCM wameingia ndani na wameshaharibu mifumo Yao yote. Kuanzia upuaji hadi mmeng'enyo wa Chakula ina maana mpaka Leo Chadema hawana moyo maini wala figo. WAMEKWISHA. SALUTE KWA KIPANYA.

Nmejaribu kutafsiri[emoji23][emoji23]
Isiwe na kupotezwa. Never never again. Siasa zimebadilika wahafidhina
 
Back
Top Bottom