Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kanisa lake lilikuwa linaitwa kanisa la misukule. Wengine waliamini kwamba kama umefiwa na unaamini kwamba marehemu alilogwa, basi Gwajima atamrudisha. Wengi walinaswa kwenye mtego huo.Nani tapeli kama Gwajima.
Hakuna watu masikini kama wafuasi wa Gwajima; na bado li ligwajima linawakamua sadaka kila Jumapili.Hivi kuna mtu mwenye akili kamili anaweza kumuamini huyu mtu tena ?
Hivi kuna mtu mwenye akili kamili anaweza kumuamini huyu mtu tena ?
[emoji23][emoji23][emoji23]naona unaongea kwa JazbaHakuna watu masikini kama wafuasi wa Gwajima; na bado li ligwajima linawakamua sadaka kila Jumapili...
Fikiria jinsi uongo wake utakomaa maana ndio kaingia kwenye siasa ni hatari..Jamaa ni muongo sana ,halafu ndio mchunga kondoo.
Na aibu hana dah hii duniaHivi kuna mtu mwenye akili kamili anaweza kumuamini huyu mtu tena ?
Hiyo no 1. Halafu eti alimsingizia Bashite kuwa ndiye aliyetengeneza mchongo wote. Kumbe mwenyewe Mtaalam.Ninachokijua kuhusu Gwajima ni kuwa yeye ni
Pornstar
Tapeli
Muongo
Mropokaji
Hivyo tu[emoji41]
CCM wenzangu, mm mnisamehe, Gwajima hapana, hapana, hapana mara 3, kabisa.. Wrong choice kabisa😠
Ilipatikana kutoka chanzo gani cha mapato?Hivi kuna mtu mwenye akili kamili anaweza kumuamini huyu mtu tena ?
Mungu anataniwa sana na hawa mamlukiIlipatikana kutoka chanzo gani cha mapato?