Uchaguzi 2020 Siasa Mchezo mchafu: Video za maktaba za Gwajima zaanza kuvuja tena, CCM yafunika uso kwa aibu

Uchaguzi 2020 Siasa Mchezo mchafu: Video za maktaba za Gwajima zaanza kuvuja tena, CCM yafunika uso kwa aibu

Huyo Askofu tapeli gwajima mpigeni chini fasta.....

Kwanza yuko bize anaratibu kikundi chake cha kikabila yy na makonda.....

Nitawashangaa mkimchagu

Piga chini mdini na mkabila huyo abaki na hicho kikundi na waumini wake
 
Gwajima ni kibonzo katika uchaguzi huu!Anadanganya kuwa akishinda wanakawe wataenda kuishi Marekani.
 
Baada ya uchaguzi kupita kuna watu mtakimbia I'd zenu. Gwajima anachukua jimbo
 
Hapo alikuwa anaongea na waumini wake na sio wananchi, hiyo treni aliyokua anazungumzia ni ya kwenda mbiguni na sio ya kubeba wananchi, kwa hiyo waumini wake walimuelewa😁😁😁
Sorry hao waumini wao sio wananchi ??.
 
Alikuja kama Masihi...tukamchangia sadaka.
Tukamwona nabiii...aliyeshushwa siku ya pasaka.
Tukamchangia na zaka...ili kanisa alijenge
Na bado akamlaza... muumini KIFO CHA MENDE.
 
Huyu babu kuna video yake anahubiri kula ubwabwa [emoji1787]
Anasema watu wanaumwa wanataka kulaaa wafuasi wanamuitikia ubwabwaa
Watoto wa shule kama hawa wanapenda kulaaaa, wafuasi wanamuitikia ubwaabwaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu kama unayo nitumie[emoji1787][emoji1787]Kasie
 
Sorry hao waumini wao sio wananchi ??.
Huo ni msamiati wa kiroho , kuna treni ya kwenda mbinguni kuna ndege pia na nagari ya kuwapeleka huko mbinguni.
Inawezekan alikuwa anazungumzia hayo maana alikuwa kanisani.
 
Huyu babu kuna video yake anahubiri kula ubwabwa [emoji1787]
Anasema watu wanaumwa wanataka kulaaa wafuasi wanamuitikia ubwabwaa
Watoto wa shule kama hawa wanapenda kulaaaa, wafuasi wanamuitikia ubwaabwaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyu mzee ana maana kubwa sana ukitumia akili za kuzaliwa.

Maana yake ni hata ungefanya vitu vikubwa kiasi gani, kama watu wana njaa kamwe hawawezi kuviona.

Ni ukweli usiopingika huku mtaani watu wanalia ukata. Ni wachache sana wenye hali nafuu ukilinganisha na awamu zilizopita. Wengi wanaishi kwa mikopo na hawaijui kesho yao. Wamejikatia tamaa na kusema lolote na liwe
 
Back
Top Bottom