Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Alibadili jina akawa anawaita wanafamilia wakati anamchimba Mkwere, "hapa naongea na wanafamilia yangu"Nawasikitikia hao kondoo wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alibadili jina akawa anawaita wanafamilia wakati anamchimba Mkwere, "hapa naongea na wanafamilia yangu"Nawasikitikia hao kondoo wake.
Wanikumbusha masalia wa JNIA😀 😀 😀 hapo ni kwa roho na miujiza tumeshafika marekani jirani!!
Ukitazama mdomo na macho yake inaashiria utapeli mtupuGwajima ni kibonzo katika uchaguzi huu!Anadanganya kuwa akishinda wanakawe wataenda kuishi Marekani.
Huwezi kuwa tapeli kama hakuna wa kuwatapeliNani tapeli kama Gwajima.
Ati "juzi" ndio eti wanasema kuna manabii wa uongo wanaotoza pesa "kufufua wafu wasiofufuka!!" Pamwe na waumini kuiona "kweli" kuwa "mfufuzi" hakufufua mfu kama alivyojinadi... bado wanaamini aweza tenda miujiza!!!Wanikumbusha masalia wa JNIA
😂Pamwe na waumini kuiona "kweli" kuwa "mfufuzi" hakufufua mfu kama alivyojinadi... bado wanaamini aweza tenda miujiza!!!
Ni kurogwa au ni laana?
Ogopa mtu anayejiita nabii, yuko tayari kudanganya chochote kile kama ameweza kumtania Mungu hashindwi kufanya lolote kwa sababu ya pesa.Hivi kuna mtu mwenye akili kamili anaweza kumuamini huyu mtu tena?
View attachment 1568877
Askofu Gwajima wakati akiwa anawadokeza waumini wa kanisa lake kuwa amefanikiwa kununua treni kwa Cash
.Nyingine hii hapa
View attachment 1580518
Reli yake imejengwa lini na imepita wapi hapo UbungoHivi kuna mtu mwenye akili kamili anaweza kumuamini huyu mtu tena?
View attachment 1568877
Askofu Gwajima wakati akiwa anawadokeza waumini wa kanisa lake kuwa amefanikiwa kununua treni kwa Cash
Huyu alikuwa kundi moja na Slaa , hawa ndio waliomleta LowassaBinadamu tumeshasahau huyu alikuwa shujaa wa CHADEMA kwenye wimbi la Lowasa........
Treni aliyosema kanunua iko wapi ?Ukipitia wanaojaribu kumchafua Gwajima ni wale wale wapuuzi wa kule juu
Misukule ya msoga.
Na Kanisa la kukaa watu laki mbili ndiyo hili? Chidi tapeli sanaTreni aliyosema kanunua iko wapi ?