Siasa Michezoni (Simba vs Al Ahly): Azam TV wanapaswa kuonywa, kuadhibiwa au kufungiwa!

Siasa Michezoni (Simba vs Al Ahly): Azam TV wanapaswa kuonywa, kuadhibiwa au kufungiwa!

Hata jana kwenye mechi ya Liverpool vs. Everton walirusha peperushi la kuiachia Gaza salama.
 
Kilichotokea jana kwenye ufunguzi wa mashindano ya African Football League kwenye mechi kati ya Simba na Al Ahly kupitia Azam TV ambapo kwa sekunde kadhaa kimakusudi walionyesha bango la mashabiki lenye maandishi yenye mlengo wa kushabikia siasa za mashariki ya kati (kifupi bango lile lilikuwa na maandishi ya kiingereza likipeleka ujumbe wa kuunga mkono harakati za taifa la Palestina), kitendo kile kilikuwa ni kitendo cha aibu na fedheha kubwa kuonekana michezoni kupitia matangazo ya moja kwa moja kwenye TV. Wadau kadhaa duniani waliofuatilia matangazo yale wameonyesha kusononeshwa na namna Tanzania kupitia Azam Media nk walivyoamua kimakusudi kushafua taswira nzima ya matangazo ya mpira wa Afrika.

Kwa kifupi sana kwa sheria za soka za FIFA na CAF lile lilikuwa ni kosa, na kama litashikiwa bango huenda Azam TV na mamlaka za soka hapa Tanzania zikajikuta matatani.

Kimantiki tukio lile lilipangwa (kwa waliokuwepo uwanjani hususani jukwaa lile wanaelewa vizuri) na kuratibiwa kikamilifu huku Azam media ikihusika kwa 100%. Na hapa nitachambua kwa kina;

1. Bango lile lilikuwa kubwa, pana, refu na maridadi. Hivyo waandaji walikuwa ni watu waliojipanga vizuri.

2. Bango lile liliingizwa uwanjani bila usumbufu wowote na liliendelea kuwepo uwanjani kwa uhuru karibu muda wote wa mchezo. Hii inaashiria mamlaka za soka na usalama hapa Tanzania zilibariki tukio lile kwa 100%.


4. Bango lile liliandikwa kwa kiingereza, lengo likiwa kufikisha ujumbe kimataifa (wahusika wakijua 100% Azam Tv watarusha lile tukio!)

5. Bango lile lilikuwa limeshikiliwa kwa ujasiri na mashabiki wengi wa Al ahly (wamisri) na wachache wa simba (watanzania). Hii inaashiria ushirikishi wa pamoja.

6. Video zinaonyesha walioshirikia lile bango wakiwa standby kuchukuliwa video na Azam Tv, na wengine wakikimbilia kulifikia bango ili video inayochukuliwa iwaonyeshe. Hii inaashiria wapiga picha wa Azam walikuwa 100% attention&concious kuhakikisha ujumbe unafika.

7. Live coverage ya tukio ilikaa kwa sekunde kadhaa hewani ili kila mtazamaji aone, lakini pia kuna namna coverage ilihamia kwenye kitu kingine na haraka ikarejea kwenye tukio lile lile. Hii inaashiria umakusudi wa 100% tukio lile liende hewani.

8. Watangazaji wa Azam Tv hawakusema chochote (walikaa kimya) kama vile hawaelewi chochote wakati tukio lile likiwa hewani, huenda kwa kuwa walihisi ukakasi, hawakuandaliwa au kuogopa kitu.

9. Azam media wamekuwa na mtindo wa kurudia kuonyesha video za mechi iliyochezwa hapo kabla, hivyo wangeweza kuhariri kwa kuondoa vipande vya video vyenye utata, lakini kwa tukio la jana wameliacha vile vile mpaka sasa. Nadhani lengo ni ujumbe ufike vilivyo.

10. Mpaka sasa hivi Azam media hawajaomba radhi wala kutaka kutolea ufafanuzi tukio lile kuruka kwenye matangazo yao. Hii kuashiria Azam media wanaamini walikuwa sahihi na walijiandaa kurusha tukio lile kikamilifu.
Mungu awabariki waliofanya hivyo
 
Sheria zifuatwe.

Serikali iidhibu TFA na pia awaadhibu Azam TV kwa faini kama zile za TCRA kwa mitandao ya simu wanapokiuka sheria ba kanuni.

FIFA iwaadhibu TFA/Tanzania kwa kanuni zake.

Watu binafsi waliohusika na hiyo mipango yote viadhibiwe vikali kwa kuichafua nchi, kwa kupeleka siasa kwenye michezo.
We dingi TFA ni taasisi gani kwenye mpira wa Tanzania? Kama hata huijui TFF, sheria za FIFA utakuwa unazijua kweli?
 
Hivi wewe umebadilika lini.
Mbona zamani enzi za Mwl. Nyerere alipo vunja uhusiano na Israel juu ya suala la Palestine ulikuwa kimya.
Wacha unafiki umekwishwa kuwa mtu nzima sasa.
 
Wew naye asee hatar San ushaanza kuingiza hisia zakidini zijui nimlokole wew.... maana walokole kilakituakikifanya muislam mnakimbilia dini wew uliwah kuonawapi azam wakifanya udini mbna sisi wa RC hatuko hvyo.......umesahau kua AZAM ndio wamebadr mfumo wa soka labongo kitu ambacho hat TFF inalijua sasa wew unawezaje kuongea maneno yauchochez kwamiemko yako kama haujasoma....... kuhus swala lakufikisha ujumbe me sion kama nitatizo tu.ekua tukishuhudia Mara kwa mara hata EPL hayo mambo yanatokea na super sport inafanya kaz acheni kujidharau nakua watumw kifikra Sheria Sheria ....nisheria namba ngap naniyamwaka gan unasema hivyo apo CAF tuambien kwa evidence msituletee sinario Tu kama sio wasomi
 
Weka hilo Bango tulione acha maneno meeeeengi kama chiriku
Kilichotokea jana kwenye ufunguzi wa mashindano ya African Football League kwenye mechi kati ya Simba na Al Ahly kupitia Azam TV ambapo kwa sekunde kadhaa kimakusudi walionyesha bango la mashabiki lenye maandishi yenye mlengo wa kushabikia siasa za mashariki ya kati (kifupi bango lile lilikuwa na maandishi ya kiingereza likipeleka ujumbe wa kuunga mkono harakati za taifa la Palestina), kitendo kile kilikuwa ni kitendo cha aibu na fedheha kubwa kuonekana michezoni kupitia matangazo ya moja kwa moja kwenye TV. Wadau kadhaa duniani waliofuatilia matangazo yale wameonyesha kusononeshwa na namna Tanzania kupitia Azam Media nk walivyoamua kimakusudi kushafua taswira nzima ya matangazo ya mpira wa Afrika.

Kwa kifupi sana kwa sheria za soka za FIFA na CAF lile lilikuwa ni kosa, na kama litashikiwa bango huenda Azam TV na mamlaka za soka hapa Tanzania zikajikuta matatani.

Kimantiki tukio lile lilipangwa (kwa waliokuwepo uwanjani hususani jukwaa lile wanaelewa vizuri) na kuratibiwa kikamilifu huku Azam media ikihusika kwa 100%. Na hapa nitachambua kwa kina;

1. Bango lile lilikuwa kubwa, pana, refu na maridadi. Hivyo waandaji walikuwa ni watu waliojipanga vizuri.

2. Bango lile liliingizwa uwanjani bila usumbufu wowote na liliendelea kuwepo uwanjani kwa uhuru karibu muda wote wa mchezo. Hii inaashiria mamlaka za soka na usalama hapa Tanzania zilibariki tukio lile kwa 100%.


4. Bango lile liliandikwa kwa kiingereza, lengo likiwa kufikisha ujumbe kimataifa (wahusika wakijua 100% Azam Tv watarusha lile tukio!)

5. Bango lile lilikuwa limeshikiliwa kwa ujasiri na mashabiki wengi wa Al ahly (wamisri) na wachache wa simba (watanzania). Hii inaashiria ushirikishi wa pamoja.

6. Video zinaonyesha walioshirikia lile bango wakiwa standby kuchukuliwa video na Azam Tv, na wengine wakikimbilia kulifikia bango ili video inayochukuliwa iwaonyeshe. Hii inaashiria wapiga picha wa Azam walikuwa 100% attention&concious kuhakikisha ujumbe unafika.

7. Live coverage ya tukio ilikaa kwa sekunde kadhaa hewani ili kila mtazamaji aone, lakini pia kuna namna coverage ilihamia kwenye kitu kingine na haraka ikarejea kwenye tukio lile lile. Hii inaashiria umakusudi wa 100% tukio lile liende hewani.

8. Watangazaji wa Azam Tv hawakusema chochote (walikaa kimya) kama vile hawaelewi chochote wakati tukio lile likiwa hewani, huenda kwa kuwa walihisi ukakasi, hawakuandaliwa au kuogopa kitu.

9. Azam media wamekuwa na mtindo wa kurudia kuonyesha video za mechi iliyochezwa hapo kabla, hivyo wangeweza kuhariri kwa kuondoa vipande vya video vyenye utata, lakini kwa tukio la jana wameliacha vile vile mpaka sasa. Nadhani lengo ni ujumbe ufike vilivyo.

10. Mpaka sasa hivi Azam media hawajaomba radhi wala kutaka kutolea ufafanuzi tukio lile kuruka kwenye matangazo yao. Hii kuashiria Azam media wanaamini walikuwa sahihi na walijiandaa kurusha tukio lile kikamilifu.
Wangepost la kuisuport Ukraine usingeandika haya ila ni kwa kuwa wameweka usichokipenda. Asilimia kubwa ya watanzania ni madicteta wasiokuwa na madaraka ingawa wanawalaumu watawala kwamba ni madicteta. Kila siku yanabebwa mabango ya Mwamvua idrissa Kibedwa mko kimya,mara Mwamedi aseme Mwamvua hoyee mko kimya leo kwa kuwa limeguswa taifa la hovyo na katili ndo unaona Azam wanakosea. Kimsingi Azam walitakiwa kupongezwa kwa kuheshimu uhuru wa maoni
 
Wewe ni mjinga.

Kila kitu kina mahali pake na taratibu zako. Sheria za soka haziruhusu soka kutumika kwenye mambo yasiyohusiana na soka.

Waandamane huko barabarani, siyo kwenye soka.
Mbona laliga wanaweka mpaka bendera ya Ukraine [emoji1255]
 
AZAM ni wadini sana, nshasema AZAM hawana ETHICS za habari. Matangazo yao yapo kidini zaidi na sijajua kwanini Wasirivoke leseni yao ya matangazo kutoka kuwa chombo cha habari cha kijamii SECULAR na kuwa cha kidini non SECULAR.
Unaamini vita ya Israel na Palestina ni vita ya kidini? Ile ni vita ya kugombania ardhi kama ilivyo kwa Masai wa Ngorongoro na mawakala wa serikali hiyo ya dini ni njia ya kuwapumbaza wapumbavu na kwakweli wamefanikiwa kuwapata wapumbavu wengi.
 
Kilichotokea jana kwenye ufunguzi wa mashindano ya African Football League kwenye mechi kati ya Simba na Al Ahly kupitia Azam TV ambapo kwa sekunde kadhaa kimakusudi walionyesha bango la mashabiki lenye maandishi yenye mlengo wa kushabikia siasa za mashariki ya kati (kifupi bango lile lilikuwa na maandishi ya kiingereza likipeleka ujumbe wa kuunga mkono harakati za taifa la Palestina), kitendo kile kilikuwa ni kitendo cha aibu na fedheha kubwa kuonekana michezoni kupitia matangazo ya moja kwa moja kwenye TV. Wadau kadhaa duniani waliofuatilia matangazo yale wameonyesha kusononeshwa na namna Tanzania kupitia Azam Media nk walivyoamua kimakusudi kushafua taswira nzima ya matangazo ya mpira wa Afrika.

Kwa kifupi sana kwa sheria za soka za FIFA na CAF lile lilikuwa ni kosa, na kama litashikiwa bango huenda Azam TV na mamlaka za soka hapa Tanzania zikajikuta matatani.

Kimantiki tukio lile lilipangwa (kwa waliokuwepo uwanjani hususani jukwaa lile wanaelewa vizuri) na kuratibiwa kikamilifu huku Azam media ikihusika kwa 100%. Na hapa nitachambua kwa kina;

1. Bango lile lilikuwa kubwa, pana, refu na maridadi. Hivyo waandaji walikuwa ni watu waliojipanga vizuri.

2. Bango lile liliingizwa uwanjani bila usumbufu wowote na liliendelea kuwepo uwanjani kwa uhuru karibu muda wote wa mchezo. Hii inaashiria mamlaka za soka na usalama hapa Tanzania zilibariki tukio lile kwa 100%.


4. Bango lile liliandikwa kwa kiingereza, lengo likiwa kufikisha ujumbe kimataifa (wahusika wakijua 100% Azam Tv watarusha lile tukio!)

5. Bango lile lilikuwa limeshikiliwa kwa ujasiri na mashabiki wengi wa Al ahly (wamisri) na wachache wa simba (watanzania). Hii inaashiria ushirikishi wa pamoja.

6. Video zinaonyesha walioshirikia lile bango wakiwa standby kuchukuliwa video na Azam Tv, na wengine wakikimbilia kulifikia bango ili video inayochukuliwa iwaonyeshe. Hii inaashiria wapiga picha wa Azam walikuwa 100% attention&concious kuhakikisha ujumbe unafika.

7. Live coverage ya tukio ilikaa kwa sekunde kadhaa hewani ili kila mtazamaji aone, lakini pia kuna namna coverage ilihamia kwenye kitu kingine na haraka ikarejea kwenye tukio lile lile. Hii inaashiria umakusudi wa 100% tukio lile liende hewani.

8. Watangazaji wa Azam Tv hawakusema chochote (walikaa kimya) kama vile hawaelewi chochote wakati tukio lile likiwa hewani, huenda kwa kuwa walihisi ukakasi, hawakuandaliwa au kuogopa kitu.

9. Azam media wamekuwa na mtindo wa kurudia kuonyesha video za mechi iliyochezwa hapo kabla, hivyo wangeweza kuhariri kwa kuondoa vipande vya video vyenye utata, lakini kwa tukio la jana wameliacha vile vile mpaka sasa. Nadhani lengo ni ujumbe ufike vilivyo.

10. Mpaka sasa hivi Azam media hawajaomba radhi wala kutaka kutolea ufafanuzi tukio lile kuruka kwenye matangazo yao. Hii kuashiria Azam media wanaamini walikuwa sahihi na walijiandaa kurusha tukio lile kikamilifu.
Unaongelea FIFA hii iliyo mzuia Urusi na kumruhusu Israel!?? Wote ni mafwala na wewe pia ....
 
Nenda kasome sheria za soka za FIFA na CAF ndio utanielewa.
Milengo ya kisiasa kwenye soka huwa hairuhusiwi.
Kila mtu ana hisia zake, sasa kila mtu akaruhusiwa kuweka hisia zake uwanjani hali itakuwaje?
Ila kuvaa bendera za Ukraine Kwa macaptain ilikuwa sawa .....fwallaaaaaa
 
Binadamu bwana jambo lile alilifanya mzungu wakati Ukraine wanapigwa wanavamiwa lilionekana sawa ila leo kwakuwa wamefanya warabu imekuwa ugaidi.
Hawajibu hili swali limeulizwa mara ya ngapi sijui wanapita tu kama hawalioni hapo ndio natambuaga waafrika sisi tu wabinafsi sana Wachache sana wanaweza kutofautisha unafiki, utu/ubinadamu na dini. Wanafiki ni wengi sana ndio maana hatuendelei .....
 
Matajili wakitanzania wajinga sana hawajui kua si vizuli mfanya biashala kuonyesha ushabiki wakisiasa kwani huweza kuathili biashara zako. Mwingine atakaekuja kuhalibikiwa biashala zake huko mbele ni Diamond platnumz na kawasafi kake kaanza kukafanya kama Chanel ten ya CCM. Ndio maana taasisi kubwa za kibiashara hua zinakua na washauli wakibiashara.

Kama Watanzania wenyewe ni sampuli yako ya ‘biashala’ basi wafanyabiashara hawana haja ya kuogopa
 
AZAM ni wadini sana, nshasema AZAM hawana ETHICS za habari. Matangazo yao yapo kidini zaidi na sijajua kwanini Wasirivoke leseni yao ya matangazo kutoka kuwa chombo cha habari cha kijamii SECULAR na kuwa cha kidini non SECULAR.
Kwa wale wanaofatilia Azam utagundua udini wanautumia sana.
Wasiposimamia Sheria za Fifa wanaweza kufungiwa.Wasichanganye mambo ya dini na soka watashindwa.
Hata ukifatilia ajira zao wanajikita Kwa wale wanaoendana na Imani Yao.Hii sio sahihi
 
Uliona hao wakitolewa shinikizo kutoka mamlakani
Wew nae huna akili,
Kwa hio udini wa Azam ni kumchukua Feisal au ni Mamlaka kuingilia kati sakata la Feisal ?

Usitumie kichwa kama mfuniko
 
asante sana kwa kuweka hii picha maana kuna watu wa ajabu sana watu wameweka hisia zao kuna watu wanakufa watoto, wazee na wanawake jitu linakuja na ujinga wake. Sasa hapa hii picha mbona ni mpira na watu wameweka na picha imepigwa au kwa kuwa ni wazungu na ni Putin kazungumziwa? Hebu tuache kujikita kwenye ujinga ujinga. Haya azam shida yake nini hapo? Hata angeweka saa nzima kwani bango ni la kwake eti afungiwe kwani alichopiga picha ni nje ya uwanja au ndani ya uwanja . Asante mdau umeweka picha hii ushahidi tosha kuwa hata wao wazungu mbona wanaweka cha ajabu ni nini?
 
Back
Top Bottom