Siasa ni akili, kama kichwa chako ni kitupu utaishia kuua wenzako tu

Siasa ni akili, kama kichwa chako ni kitupu utaishia kuua wenzako tu

Why mnatumia nguvu rasilimali na muda mwingi kujishindanisha na mmarehemu?
 
Kwema Wakuu!

Ukishakuwa Empty Set kwenye Siasa utaishia kuchezea wenzako faulu, alafu Bora ziwe technical faulu ili tuone unaakili, Nop! Wewe utavuruga tuu wenzako kama kichaa. Utabutua butua wee! Mwishowe utachokwa utapewa Red card.
Nakushauri kama unajijua bichwa lako ni Akili Kisheti empty Set ni Bora uachane na Siasa usije ukadhuru Watoto wa wenzako Kwa Akili mbili zako.

Mchezo wa Siasa unakanuni nyingi, kuna Kanuni ya mchezo wa Draft, ujue Kete ipi na wapi pakuiweka.
Michezo yote hiyo inahitaji Akili.

Siasa zikishajaa mabumunda hapo ukae chonjo, kutenguliwa miguu ni dakika mbili Mbele, alafu hakuna anayejali wala nini.

Siasa za akili, Mpira unawekwa uwanjani kipenga kinapulizwa, haya kila mtu aonyeshe uwezo wake wa kujenga hoja,
Ni kama vile gombania demu, Lete Swaga tamu uopoe mtoto mkali.

Lakini ukiwa Empty Set, Kwa vile huna Akili na uwezo mdogo, unaziba watu midomo alafu ati unaongea wewe pekee alafu unauifanya unajua kutongoza, unajua kutongoza ungeziba wenzako midomo?
Kama unajiamini na unauhakika huyo Demu anakupenda achia wenzako space wajiachie tuone.

Empty set, Moshi wa Jet,
Oooh! Nimesahau tupo Kwarezma!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam

CC: Makomeo, Elitwege, Lizaboni, Mayala pasko
 
Kwema Wakuu!

Ukishakuwa Empty Set kwenye Siasa utaishia kuchezea wenzako faulu, alafu Bora ziwe technical faulu ili tuone unaakili, Nop! Wewe utavuruga tuu wenzako kama kichaa. Utabutua butua wee! Mwishowe utachokwa utapewa Red card.
Nakushauri kama unajijua bichwa lako ni Akili Kisheti empty Set ni Bora uachane na Siasa usije ukadhuru Watoto wa wenzako Kwa Akili mbili zako.

Mchezo wa Siasa unakanuni nyingi, kuna Kanuni ya mchezo wa Draft, ujue Kete ipi na wapi pakuiweka.
Michezo yote hiyo inahitaji Akili.

Siasa zikishajaa mabumunda hapo ukae chonjo, kutenguliwa miguu ni dakika mbili Mbele, alafu hakuna anayejali wala nini.

Siasa za akili, Mpira unawekwa uwanjani kipenga kinapulizwa, haya kila mtu aonyeshe uwezo wake wa kujenga hoja,
Ni kama vile gombania demu, Lete Swaga tamu uopoe mtoto mkali.

Lakini ukiwa Empty Set, Kwa vile huna Akili na uwezo mdogo, unaziba watu midomo alafu ati unaongea wewe pekee alafu unauifanya unajua kutongoza, unajua kutongoza ungeziba wenzako midomo?
Kama unajiamini na unauhakika huyo Demu anakupenda achia wenzako space wajiachie tuone.

Empty set, Moshi wa Jet,
Oooh! Nimesahau tupo Kwarezma!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
"History is more than the path left by the past. It influences the present and can shape the future"

Kwa vyovyote vile hoja yako inaturudisha nyuma mpaka katika utawala wa Mzee Baba. Kila tunapojaribu kumsahau, ni lazima tu linaibuka jambo jipya ambalo linaturudisha katika sehemu fulani yenye kumbukumbu ya utawala wake.
 
Kikawaida nguvu zinaeleweka haraka kuliko Akili.
Ndio maana sio kila MTU anaijua hesabu Kwa sababu hesabu zinahitaji Akili.
Watu wanaotumia Akili hawaeleweki kirahisi kuliko wale wanaotumia nguvu
Ila ukitumia nguvu kila MTU atakuelewa Kwa muda mfupi

Hiyo Senene ya Uvccm haiwezi kukuelewa
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Kwema Wakuu!

Ukishakuwa Empty Set kwenye Siasa utaishia kuchezea wenzako faulu, alafu Bora ziwe technical faulu ili tuone unaakili, Nop! Wewe utavuruga tuu wenzako kama kichaa. Utabutua butua wee! Mwishowe utachokwa utapewa Red card.
Nakushauri kama unajijua bichwa lako ni Akili Kisheti empty Set ni Bora uachane na Siasa usije ukadhuru Watoto wa wenzako Kwa Akili mbili zako.

Mchezo wa Siasa unakanuni nyingi, kuna Kanuni ya mchezo wa Draft, ujue Kete ipi na wapi pakuiweka.
Michezo yote hiyo inahitaji Akili.

Siasa zikishajaa mabumunda hapo ukae chonjo, kutenguliwa miguu ni dakika mbili Mbele, alafu hakuna anayejali wala nini.

Siasa za akili, Mpira unawekwa uwanjani kipenga kinapulizwa, haya kila mtu aonyeshe uwezo wake wa kujenga hoja,
Ni kama vile gombania demu, Lete Swaga tamu uopoe mtoto mkali.

Lakini ukiwa Empty Set, Kwa vile huna Akili na uwezo mdogo, unaziba watu midomo alafu ati unaongea wewe pekee alafu unauifanya unajua kutongoza, unajua kutongoza ungeziba wenzako midomo?
Kama unajiamini na unauhakika huyo Demu anakupenda achia wenzako space wajiachie tuone.

Empty set, Moshi wa Jet,
Oooh! Nimesahau tupo Kwarezma!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Robert Robert Robert, nimekuita mara tatu...! Tafadhali san hili jukwaa halihitaji unafiki wa kusemana kifasihi! Tafadhali san kua muwazi nani umemmaanisha? Ila sawa ngoja tuone comments zitaleta majibu nan anazungumziwa hasa watakaotoa povu na matusi tu, basi jibu litakua limepatikana!!
 
Kama akili ni kuhonga na kuhongwa basi tuna safari ndefu sana kama Taifa.

Ila hiyo haishangazi maana watanzania asili yetu ni kuyapa kipaumbele mambo ya hovyo.
 
Robert Robert Robert, nimekuita mara tatu...! Tafadhali san hili jukwaa halihitaji unafiki wa kusemana kifasihi! Tafadhali san kua muwazi nani umemmaanisha? Ila sawa ngoja tuone comments zitaleta majibu nan anazungumziwa hasa watakaotoa povu na matusi tu, basi jibu litakua limepatikana!!

Mtu yeyote tuu anaweza kuwa empty set au akawa na Akili Mkuu
 
Kwema Wakuu!

Ukishakuwa Empty Set kwenye Siasa utaishia kuchezea wenzako faulu, alafu Bora ziwe technical faulu ili tuone unaakili, Nop! Wewe utavuruga tuu wenzako kama kichaa. Utabutua butua wee! Mwishowe utachokwa utapewa Red card.
Nakushauri kama unajijua bichwa lako ni Akili Kisheti empty Set ni Bora uachane na Siasa usije ukadhuru Watoto wa wenzako Kwa Akili mbili zako.

Mchezo wa Siasa unakanuni nyingi, kuna Kanuni ya mchezo wa Draft, ujue Kete ipi na wapi pakuiweka.
Michezo yote hiyo inahitaji Akili.

Siasa zikishajaa mabumunda hapo ukae chonjo, kutenguliwa miguu ni dakika mbili Mbele, alafu hakuna anayejali wala nini.

Siasa za akili, Mpira unawekwa uwanjani kipenga kinapulizwa, haya kila mtu aonyeshe uwezo wake wa kujenga hoja,
Ni kama vile gombania demu, Lete Swaga tamu uopoe mtoto mkali.

Lakini ukiwa Empty Set, Kwa vile huna Akili na uwezo mdogo, unaziba watu midomo alafu ati unaongea wewe pekee alafu unauifanya unajua kutongoza, unajua kutongoza ungeziba wenzako midomo?
Kama unajiamini na unauhakika huyo Demu anakupenda achia wenzako space wajiachie tuone.
Empty set, Moshi wa Jet,
Oooh! Nimesahau tupo Kwarezma!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Kama unachangamsha genge sawa.
Ila huko ulaya wameuana sana mpaka kuwamaliza wajinga kama wewe na bado waki kuhisi ni mjinga mjinga kama wewe wanakuua mapema sana.
 
Kama akili ni kuhonga na kuhongwa basi tuna safari ndefu sana kama Taifa.

Ila hiyo haishangazi maana watanzania asili yetu ni kuyapa kipaumbele mambo ya hovyo.

Wewe unataka kwenye Siasa wawepo Watu Empty Set Akili Kisheti?
 
Kama akili ni kuhonga na kuhongwa basi tuna safari ndefu sana kama Taifa.

Ila hiyo haishangazi maana watanzania asili yetu ni kuyapa kipaumbele mambo ya hovyo.

Timu magufuli
 
Back
Top Bottom