Siasa ni akili, kama kichwa chako ni kitupu utaishia kuua wenzako tu

Siasa ni akili, kama kichwa chako ni kitupu utaishia kuua wenzako tu

Eeeh kweli kabisa, huku wataalam wanakamua jikoni. Siasa ni akili, akili mingi sana. Ukiiweza siasa angle zote wewe ni bingwa, ila kama unaweza kucheza mchezo w siasa then kwa uchumi unaachia watu wanajilia jikoni, dining hadi bedrooms wewe ni kiazi mbatata tu.
 
Wapo Vijana nawaona wanatabia hizo Pia.

Kuna kiongozi Fulani nilimuona anakagua sijui shule gani kule Mwanza, Kwa kweli nilishangaa sana, ni mwanamama, yaani wao wanajua kufokafoka ndio uongozi
Unafikiri wa hovyo anakuwa mmoja? Wapo wengi, ila anayefanya makosa ni yule anayewapa nafasi watu wa namna hiyo kuwa viongozi. Hao walistahili kuishia huko kwenye ng'ombe na punda tu. Wakipabda sana, wawe mameneja wa cattle farms.
 
Sera ya nchi iwe kuwauua wajinga kama wewe nchi itaendelea marafufu

Sera ya nchi ni kuwapa Elimu wajinga ili wawe na Elimu.
Unaona tofauti ya empty set Akili kisoda na MTU mwerevu.
Empty set mnawaza kuua Kwa ishu isiyohitaji Kutumia nguvu😂😂
 
Why mnatumia nguvu rasilimali na muda mwingi kujishindanisha na mmarehem?
Kila pvu ni shule.

Hata uongozi wa yule mtu una faida kwa Taifa. Watanzania wamekumbushwa kuwa kuna haja ya kuwa na mifumo thabiti ya kuzuia watu wasiofaa kuwa viongozi kupewa uongozi.
 
Unafikiri wa hovyo anakuwa mmoja? Wapo wengi, ila anayefanya makosa ni yule anayewapa nafasi watu wa namna hiyo kuwa viongozi. Hao walistahili kuishia huko kwenye ng'ombe na punda tu. Wakipabda sana, wawe mameneja wa cattle farms.

Wapo wengi Mno.
Kuna mmoja hapo Empty set anasema Dawa ya MTU mjinga ni kumuua badala ya kujenga shule, kuweka miundombinu ya Elimu mizuri, kisha kuwapa elimu
 
Sera ya nchi ni kuwapa Elimu wajinga ili wawe na Elimu.
Unaona tofauti ya empty set Akili kisoda na MTU mwerevu.
Empty set mnawaza kuua Kwa ishu isiyohitaji Kutumia nguvu😂😂
Wewe ushafikia ujinga ulio kubuhu wa kuona fahari kuwa mjinga yaani mpumbavu dawa ni kuwaua tu
 
Eeeh kweli kabisa, huku wataalam wanakamua jikoni. Siasa ni akili, akili mingi sana. Ukiiweza siasa angle zote wewe ni bingwa, ila kama unaweza kucheza mchezo w siasa then kwa uchumi unaachia watu wanajilia jikoni, dining hadi bedrooms wewe ni kiazi mbatata tu.

😂😂😂
 
Tatizo kuna watu wenye vichwa vitupu ila majasiri sana na hao hufika mbali sana pia kwenye siasa.
 
Kwema Wakuu!

Ukishakuwa Empty Set kwenye Siasa utaishia kuchezea wenzako faulu, alafu Bora ziwe technical faulu ili tuone unaakili, Nop! Wewe utavuruga tuu wenzako kama kichaa. Utabutua butua wee! Mwishowe utachokwa utapewa Red card.
Nakushauri kama unajijua bichwa lako ni Akili Kisheti empty Set ni Bora uachane na Siasa usije ukadhuru Watoto wa wenzako Kwa Akili mbili zako.

Mchezo wa Siasa unakanuni nyingi, kuna Kanuni ya mchezo wa Draft, ujue Kete ipi na wapi pakuiweka.
Michezo yote hiyo inahitaji Akili.

Siasa zikishajaa mabumunda hapo ukae chonjo, kutenguliwa miguu ni dakika mbili Mbele, alafu hakuna anayejali wala nini.

Siasa za akili, Mpira unawekwa uwanjani kipenga kinapulizwa, haya kila mtu aonyeshe uwezo wake wa kujenga hoja,
Ni kama vile gombania demu, Lete Swaga tamu uopoe mtoto mkali.

Lakini ukiwa Empty Set, Kwa vile huna Akili na uwezo mdogo, unaziba watu midomo alafu ati unaongea wewe pekee alafu unauifanya unajua kutongoza, unajua kutongoza ungeziba wenzako midomo?
Kama unajiamini na unauhakika huyo Demu anakupenda achia wenzako space wajiachie tuone.

Empty set, Moshi wa Jet,
Oooh! Nimesahau tupo Kwarezma!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Yule mtu wa kina Extrovert and co kaguswa hapa 😁😁😁😁
 
Inategemea hiyo hoja unaijenga wakati gani. Kama kwa siasa za kupeana vibuyu vya asali hapo hutogusa mtu. Ila siasa za kujenga nchi lazima ufyatue watu. Ndio utajenga nchi kikweli kweli.
 
Back
Top Bottom