Duc in altum
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,781
- 3,591
Sera ya nchi iwe kuwauua wajinga kama wewe nchi itaendelea marafufu🤣🤣🤣🤣
Njoo uniue Sasa, kipi kinakushinda upewe msaada?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sera ya nchi iwe kuwauua wajinga kama wewe nchi itaendelea marafufu🤣🤣🤣🤣
Njoo uniue Sasa, kipi kinakushinda upewe msaada?
Unafikiri wa hovyo anakuwa mmoja? Wapo wengi, ila anayefanya makosa ni yule anayewapa nafasi watu wa namna hiyo kuwa viongozi. Hao walistahili kuishia huko kwenye ng'ombe na punda tu. Wakipabda sana, wawe mameneja wa cattle farms.Wapo Vijana nawaona wanatabia hizo Pia.
Kuna kiongozi Fulani nilimuona anakagua sijui shule gani kule Mwanza, Kwa kweli nilishangaa sana, ni mwanamama, yaani wao wanajua kufokafoka ndio uongozi
Sera ya nchi iwe kuwauua wajinga kama wewe nchi itaendelea marafufu
Kila pvu ni shule.Why mnatumia nguvu rasilimali na muda mwingi kujishindanisha na mmarehem?
Unafikiri wa hovyo anakuwa mmoja? Wapo wengi, ila anayefanya makosa ni yule anayewapa nafasi watu wa namna hiyo kuwa viongozi. Hao walistahili kuishia huko kwenye ng'ombe na punda tu. Wakipabda sana, wawe mameneja wa cattle farms.
Wewe ushafikia ujinga ulio kubuhu wa kuona fahari kuwa mjinga yaani mpumbavu dawa ni kuwaua tuSera ya nchi ni kuwapa Elimu wajinga ili wawe na Elimu.
Unaona tofauti ya empty set Akili kisoda na MTU mwerevu.
Empty set mnawaza kuua Kwa ishu isiyohitaji Kutumia nguvu😂😂
Wewe ushafikia ujinga ulio kubuhu wa kuona fahari kuwa mjinga yaani mpumbavu hata dawa ni kuwaua tu
Mimi sina wenzangu, wapumbavu na wajinga kama wewe ndio unawenzako wanao jisifia kuwa wajingaWenzako walifikiri hivyo sasa hivi hawapo, uliza uambiwe
Mimi sina wenzangu, wapumbavu na wajinga kama wewe ndio unawenzako wanao jisifia kuwa wajinga
Eeeh kweli kabisa, huku wataalam wanakamua jikoni. Siasa ni akili, akili mingi sana. Ukiiweza siasa angle zote wewe ni bingwa, ila kama unaweza kucheza mchezo w siasa then kwa uchumi unaachia watu wanajilia jikoni, dining hadi bedrooms wewe ni kiazi mbatata tu.
Kunywa sumu ya panya ufe sina msaada kwa wajinga na wapumbavu kama wewe wanao diriki kujisifia ujinga wao hadharaniNikupe location
Kunywa sumu ya panya ufe sina msaada kwa wajinga na wapumbavu kama wewe wanao diriki kujisifia ujinga wao hadharani
Anaye lia ni anaye ongea hadi wafu kwa mafumbo sijui unaogopa nini wewe kichwa panzi unaye jifanya kujua kila kitu ukiwa hujui chochote kituUsilie sasa
Sasa watazidisha wameskia mama yao anapita jf, inabidi awape hate teuzi za kusafisha maliwato hapo Lumumba yatakufa kwa kupost kila sekunde threadMtateseka sana kila muda kushindana na marehemu. Yani hakauki kwenye akili zenu
Yule mtu wa kina Extrovert and co kaguswa hapa 😁😁😁😁Kwema Wakuu!
Ukishakuwa Empty Set kwenye Siasa utaishia kuchezea wenzako faulu, alafu Bora ziwe technical faulu ili tuone unaakili, Nop! Wewe utavuruga tuu wenzako kama kichaa. Utabutua butua wee! Mwishowe utachokwa utapewa Red card.
Nakushauri kama unajijua bichwa lako ni Akili Kisheti empty Set ni Bora uachane na Siasa usije ukadhuru Watoto wa wenzako Kwa Akili mbili zako.
Mchezo wa Siasa unakanuni nyingi, kuna Kanuni ya mchezo wa Draft, ujue Kete ipi na wapi pakuiweka.
Michezo yote hiyo inahitaji Akili.
Siasa zikishajaa mabumunda hapo ukae chonjo, kutenguliwa miguu ni dakika mbili Mbele, alafu hakuna anayejali wala nini.
Siasa za akili, Mpira unawekwa uwanjani kipenga kinapulizwa, haya kila mtu aonyeshe uwezo wake wa kujenga hoja,
Ni kama vile gombania demu, Lete Swaga tamu uopoe mtoto mkali.
Lakini ukiwa Empty Set, Kwa vile huna Akili na uwezo mdogo, unaziba watu midomo alafu ati unaongea wewe pekee alafu unauifanya unajua kutongoza, unajua kutongoza ungeziba wenzako midomo?
Kama unajiamini na unauhakika huyo Demu anakupenda achia wenzako space wajiachie tuone.
Empty set, Moshi wa Jet,
Oooh! Nimesahau tupo Kwarezma!
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Hapa unamaanisha siasa ni mchezo mchafu ?Ukishajijua uwezo wako Mdogo wa kuvumilia maneno na kashfa, karaha, kejeli, dhihaka na vijembe jua huna uwezo wa kuwa mwanasiasa.
Utaumiza tuu wenzako