Siasa ni Sayansi, hatimaye Rais Samia ameiteka mioyo ya Wafuasi wa Hayati Magufuli

Siasa ni Sayansi, hatimaye Rais Samia ameiteka mioyo ya Wafuasi wa Hayati Magufuli

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Kuelekea uchaguzi Mkuu Mama ameubutua sana hadi umechana nyavu.

Waliosema siasa ni sayansi hawakukosea. Leo Wale walioitwa sukuma gang ni shangwe tele. Wamefurahi balaa. Furaha in Vain (bure tupu)

Wamesahau hiki ni kipindi cha uchaguzi wanapewa temporary pleasure ili mwanaharamu apite.

Nawashangaa mnachofurahia ni nini. What if baada ya Uchaguzi wakapewa mashavu makubwa zaidi like Makamba akawa Makamu wa Rais na Nape akawa Waziri Mkuu? Are you going to run away the country?

Jambo lingine nawaasa watanzania acheni kushabikia mambo yasiyowahusu. Hizi teuzi na tenguzi ni kwa manufaa yao wenyewe watawala.

Mimi na wewe na familia yako hakuna tunachonufaika iwe ametubuliwa au kateuliwa.

Nimeamua tu niwasanue msioweza kuwaza nje ya box.
 
Nawashangaa mnachofurahia ni nini. What if baada ya Uchaguzi wakapewa mashavu makubwa zaidi like Makamba akawa Makamu wa Rais na Nape akawa Waziri Mkuu? Are you going to run away the country?
Kwanza, sisi sio wale wanaotaka mama ashindwe au afanye vibaya. Sisi tunataka mama afanikiwe ili kuendeleza yale maajabu yaliyoanzishwa na Shujaa.
Pili, sisi tunapolalamikia juu ya kitu fulani anachofanya mama, maana yake tunamwonyesha mahali penye dosari ili arekebishe. Wanaokaa kimya ndio hawamtakii mema. Haya makapi aliyoyatema leo tulimwambia tangu mwanzo kuwa hayafai. Alichelewa sana kuyatema!
Tatu, alichofanya Mheshimiwa Rais ni kwa manufaa ya Tanzania na watanzania wote. Mtazamo wa kufurahisha sukuma gang na kuwaudhi msoga gang, ni mtazamo wako, ambao ni finyu, myopic.
 
Nape na Makamba kutumbuliwa na Samia kama walivyotumbuliwa na Magufuli kunaonesha hao jamaa ni incompetent hawabebeki, lawama juu yao huwa ni haki yao hawaonewi.

Lakini tuweke record sawa, hata kama hao jamaa wawili hawapo kwenye system, bado tukumbuke wizi wa kura upo kwenye DNA ya CCM.
 
Kuelekea uchaguzi Mkuu Mama ameubutua sana hadi umechana nyavu.

Waliosema siasa ni sayansi hawakukosea. Leo Wale walioitwa sukuma gang ni shangwe tele. Wamefurahi balaa. Furahan in Vain( bure tupu)

Wamesahau hiki ni kipindi cha uchaguzi wanapewa Temporary pleasure ili mwanaharamu apite.

Nawashangaa mnachofurahia ni nini. What if baada ya Uchaguzi wakapewa mashavu makubwa zaidi like Makamba akawa Makamu wa Rais na Nape akawa Waziri Mkuu? Are you going to run away the country?

Jambo lingine nawaasa watanzania acheni kushabikia mambo yasiyowahusu... Hizi teuzi na tenguzi ni kwa manufaa yao wenyewe watawala.

Mimi na wewe na familia yako hakuna tunachonufaika iwe ametubuliwa au kateuliwa.

Nimeamua tu niwasanue msioweza kuwaza nje ya box.
Akimtoa Mwigulu Wapinzani atakuwa nao 😁😁

Nchi hii sio y kuhama ina ujinga mwingi sana,hutakiwi kuwa serious
 
Nape na Makamba kutumbuliwa na Samia kama walivyotumbuliwa na Magufuli kunaonesha hao jamaa ni incompetent hawabebeki, lawama juu yao huwa ni haki yao hawaonewi.
Nani ambaye hajatumbuliwa na yuko cometent? Tuache chuki binafsi tuseme ukweli.
 
Kuelekea uchaguzi Mkuu Mama ameubutua sana hadi umechana nyavu.

Waliosema siasa ni sayansi hawakukosea. Leo Wale walioitwa sukuma gang ni shangwe tele. Wamefurahi balaa. Furahan in Vain( bure tupu)

Wamesahau hiki ni kipindi cha uchaguzi wanapewa Temporary pleasure ili mwanaharamu apite.

Nawashangaa mnachofurahia ni nini. What if baada ya Uchaguzi wakapewa mashavu makubwa zaidi like Makamba akawa Makamu wa Rais na Nape akawa Waziri Mkuu? Are you going to run away the country?

Jambo lingine nawaasa watanzania acheni kushabikia mambo yasiyowahusu... Hizi teuzi na tenguzi ni kwa manufaa yao wenyewe watawala.

Mimi na wewe na familia yako hakuna tunachonufaika iwe ametubuliwa au kateuliwa.

Nimeamua tu niwasanue msioweza kuwaza nje ya box.

Kufikia 2025 hapo kuna mwenezi na katibu mkuu
 
Yaani tunashangilia vitu ambavyo havina impact kwenye ustawi wa Taifa
Mara nyingi Huwa nasema hapa Tanzania watu hawachagui Kiongozi au kumpa maua yake Kwa sababu za sera na delivery ila Wana mambo Yao ya chuki binafsi,umbea ,dini zao,maeneo wanakotokea,kuongea na upuuzi mwingine kama huo.

Ndio maana nimeamua kufanya mijadala ya siasa kama burudani na sio kuwa serious sana hata kama nini mlengo,so long as sinufiki Kisiasa hakuna haja ya kugombana na watu hususani wanaonufaika kisiasa.

Kura zenyewe nilishaachaga kupiga Kwa sababu hizo hizo na ukigeungeu.
 
Tatu, alichofanya Mheshimiwa Rais ni kwa manufaa ya Tanzania na watanzania wote. Mtazamo wa kufurahisha sukuma gang na kuwaudhi msoga gang, ni mtazamo wako, ambao ni finyu, myopic.
Ili ujue na kuelewa ulichopost unapaswa kusema ni kipi ulipata au kukosa baada ya wao kuteuliwa wakati ule na nibi sasa unadhani utapata au kukosa baada ya wao Kutenguliwa.

Wakati Koo zao zinateuana na kuhakikisha zinapora haki za watu wengine kama ambavyo Nape alikuwa anajigamba wewe binafsi unanufaikaje hadi usema Mama kafanya vizuri?
 
Nape na Makamba kutumbuliwa na Samia kama walivyotumbuliwa na Magufuli kunaonesha hao jamaa ni incompetent hawabebeki, lawama juu yao huwa ni haki yao hawaonewi.

Lakini tuweke record sawa, hata kama hao jamaa wawili hawapo kwenye system, bado tukumbuke wizi wa kura upo kwenye DNA ya CCM.
Haya ni majangili ya haki za watanzania
 
Mara nyingi Huwa nasema hapa Tanzania watu hawachagui Kiongozi au kumpa maua yake Kwa sababu za sera na delivery ila Wana mambo Yao ya chuki binafsi,umbea ,dini zao,maeneo wanakotokea,kuongea na upuuzi mwingine kama huo.
Uko sahihi kabisa Kaka na hiki ndivyo nimewasanua hawa wsioona mbali zaidi ya udini, ukanda, ukabila na uvyama
 
Mimi na wewe na familia yako hakuna tunachonufaika iwe ametubuliwa au kateuliwa.
Kwani hao viongozi si hua wanateuliwa ili kuwatumikia wananchi? kiongozi akiongoza vizuri mwananchi hafaidiki? Kiongozi akiongoza vibaya mwananchi hapati madhara? hao viongozi huteuliwa ili kuitumikia nchi na sio kujitumikia wao,

Sasa utasemaje; '' Mimi na wewe na familia yako hakuna tunachonufaika iwe ametumbuliwa au kateuliwa?''
 
Hayo majitu ni matapeli sijui kwanini Samia hakuona hilo wakati alikuwa makamu wa Shujaa Magufuli
 
Akiwatoa hao awateue nyie au? Yaani maslahi mapana ya Nchi yasiangaliwe ila kuwafurahisha nyie magenge? Nchi hii sio ya kuwa serious
Choice tuna wajinga wengi sana Nchi hii. Na hili jukwaa ndio tunasema lina watu wanaojielewa lkini tazama maoni yao.
 
Back
Top Bottom