CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Sisi wa Kanda ya Ziwa tunamwambia hivi, hatudanganyiki, tuonane kwa debe mwakani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kauli ya nape ni udhalilishaji na kejeli kwa rais na tume ya uchaguzi.Mpumbavu ni wewe unayeshindwa kuonwsha iumefaidika vipi Nape akiondewa badala uchukiw ufisadi wa hao wanaoteuana na kutenguana unakaza fuvu kumchukia mtu usiyemjua
Kwani ni uongo mbona Magu alisema?kauli ya nape ni udhalilishaji na kejeli kwa rais na tume ya uchaguzi.
HahaaaSafi sana Mama Samia Suluhu Asani
Debe lenyewe si inategemeana na anayehesabu?Sisi wa Kanda ya Ziwa tunamwambia hivi, hatudanganyiki, tuonane kwa debe mwakani.
Nan apewe u PM au Makamu? Nape? Makamba? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Kuelekea uchaguzi Mkuu Mama ameubutua sana hadi umechana nyavu.
Waliosema siasa ni sayansi hawakukosea. Leo Wale walioitwa sukuma gang ni shangwe tele. Wamefurahi balaa. Furaha in Vain (bure tupu)
Wamesahau hiki ni kipindi cha uchaguzi wanapewa temporary pleasure ili mwanaharamu apite.
Nawashangaa mnachofurahia ni nini. What if baada ya Uchaguzi wakapewa mashavu makubwa zaidi like Makamba akawa Makamu wa Rais na Nape akawa Waziri Mkuu? Are you going to run away the country?
Jambo lingine nawaasa watanzania acheni kushabikia mambo yasiyowahusu. Hizi teuzi na tenguzi ni kwa manufaa yao wenyewe watawala.
Mimi na wewe na familia yako hakuna tunachonufaika iwe ametubuliwa au kateuliwa.
Nimeamua tu niwasanue msioweza kuwaza nje ya box.
Hao hao kwani uwaziri ulijua?Nan apewe u PM au Makamu? Nape? Makamba? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Hoja hapa ni Makamba Jr. na Nape wako nje kama alivyowafanya Mwamba Magufuli!Kuelekea uchaguzi Mkuu Mama ameubutua sana hadi umechana nyavu.
Waliosema siasa ni sayansi hawakukosea. Leo Wale walioitwa sukuma gang ni shangwe tele. Wamefurahi balaa. Furaha in Vain (bure tupu)
Wamesahau hiki ni kipindi cha uchaguzi wanapewa temporary pleasure ili mwanaharamu apite.
Nawashangaa mnachofurahia ni nini. What if baada ya Uchaguzi wakapewa mashavu makubwa zaidi like Makamba akawa Makamu wa Rais na Nape akawa Waziri Mkuu? Are you going to run away the country?
Jambo lingine nawaasa watanzania acheni kushabikia mambo yasiyowahusu. Hizi teuzi na tenguzi ni kwa manufaa yao wenyewe watawala.
Mimi na wewe na familia yako hakuna tunachonufaika iwe ametubuliwa au kateuliwa.
Nimeamua tu niwasanue msioweza kuwaza nje ya box.
Kwani Mwamba Magufuli si ndiye aliwaingiza? Na alopowatoa mimi na wewe tulinufaikaje? Na Mama alipowaingiz wewe ulipata hasara gani?Hoja hapa ni Makamba Jr. na Nape wako nje kama alivyowafanya Mwamba Magufuli!
Wabongo Wameshachoka......wanafurahishwa na upepo huku mambo ya maana wakiyapa kisogo.Mama ameanza kutujua, akitumbua sisi wengine tunafurahi tu na Stress zetu akiteua tunakasirika.
Sisi tunaitwa WABONGO.
😆😂 kabisa Mkuu...Wabongo Wameshachoka......wanafurahishwa na upepo huku mambo ya maana wakiyapa kisogo.
Inasikitisha sana😆😂 kabisa Mkuu...
Ukiwa Serious Nchi hii unaweza kufa kwa BP au maradhi mengine ya kutisha.Inasikitisha sana
Yaani inabidi na wewe ujishushe uwe mjinga ktk kundi la wengi. Ndio moyo wako ukae sawaUkiwa Serious Nchi hii unaweza kufa kwa BP au maradhi mengine ya kutisha.
Hayo ni ya kwako hayatuhusu. Issue hapa ni kwamba wametumbuliwaKuelekea uchaguzi Mkuu Mama ameubutua sana hadi umechana nyavu.
Waliosema siasa ni sayansi hawakukosea. Leo Wale walioitwa sukuma gang ni shangwe tele. Wamefurahi balaa. Furaha in Vain (bure tupu)
Wamesahau hiki ni kipindi cha uchaguzi wanapewa temporary pleasure ili mwanaharamu apite.
Nawashangaa mnachofurahia ni nini. What if baada ya Uchaguzi wakapewa mashavu makubwa zaidi like Makamba akawa Makamu wa Rais na Nape akawa Waziri Mkuu? Are you going to run away the country?
Jambo lingine nawaasa watanzania acheni kushabikia mambo yasiyowahusu. Hizi teuzi na tenguzi ni kwa manufaa yao wenyewe watawala.
Mimi na wewe na familia yako hakuna tunachonufaika iwe ametubuliwa au kateuliwa.
Nimeamua tu niwasanue msioweza kuwaza nje ya box.
Umepata nini?Hayo ni ya kwako hayatuhusu. Issue hapa ni kwamba wametumbuliwa