Siasa ni Sayansi, hatimaye Rais Samia ameiteka mioyo ya Wafuasi wa Hayati Magufuli

Siasa ni Sayansi, hatimaye Rais Samia ameiteka mioyo ya Wafuasi wa Hayati Magufuli

Hayo majitu ni matapeli sijui kwanini Samia hakuona hilo wakati alikuwa makamu wa Shujaa Magufuli
Ulipoteza nini walipochaguliwa ambacho unadhani sasa utakipata baada ya wao kuondoka?

Kwanza Familia zao wako Well Worthy kutokana na siasa za hovyo mnazoshangilia.

Sana sana Mama anajisafisha tu kwa maslahi binafsi ambayo hayamfaidishi mwananchi kwa jambo lolote.
 
Kuelekea uchaguzi Mkuu Mama ameubutua sana hadi umechana nyavu.

Waliosema siasa ni sayansi hawakukosea. Leo Wale walioitwa sukuma gang ni shangwe tele. Wamefurahi balaa. Furaha in Vain (bure tupu)

Wamesahau hiki ni kipindi cha uchaguzi wanapewa temporary pleasure ili mwanaharamu apite.

Nawashangaa mnachofurahia ni nini. What if baada ya Uchaguzi wakapewa mashavu makubwa zaidi like Makamba akawa Makamu wa Rais na Nape akawa Waziri Mkuu? Are you going to run away the country?

Jambo lingine nawaasa watanzania acheni kushabikia mambo yasiyowahusu. Hizi teuzi na tenguzi ni kwa manufaa yao wenyewe watawala.

Mimi na wewe na familia yako hakuna tunachonufaika iwe ametubuliwa au kateuliwa.

Nimeamua tu niwasanue msioweza kuwaza nje ya box.
Wengine huko huko na ndani ya mabox yetu hata hiyo faraja ya muda sii bayaa.
 
Kwani hao viongozi si hua wanateuliwa ili kuwatumikia wananchi? kiongozi akiongoza vizuri mwananchi hafaidiki? Kiongozi akiongoza vibaya mwananchi hapati madhara? hao viongozi huteuliwa ili kuitumikia nchi na sio kujitumikia wao,

Sasa utasemaje; '' Mimi na wewe na familia yako hakuna tunachonufaika iwe ametumbuliwa au kateuliwa?''
Kwanza sisi ndiyo tunalipa kodi wanaishi kama wapo peponi lazima tulalamike
 
Kwani hao viongozi si hua wanateuliwa ili kuwatumikia wananchi? kiongozi akiongoza vizuri mwananchi hafaidiki? Kiongozi akiongoza vibaya mwananchi hapati madhara? hao viongozi huteuliwa ili kuitumikia nchi na sio kujitumikia wao,

Sasa utasemaje; '' Mimi na wewe na familia yako hakuna tunachonufaika iwe ametumbuliwa au kateuliwa?''
Walipokuwepo ulifaidika nini? Au ulipata hasara gani?
 
Walipokuwepo ulifaidika nini? Au ulipata hasara gani?
Hili swali hata mtoto wa Darasa la pili hawezi kuliuliza,

Unafikiri kwanini wananchi huchaguza viongozi bora? hua hawafaidiki na uongozi bora wa kiongozi? unafikiri Rais hutumbua na kuteua viongozi ili wamtumikie nani? ili nani afaidike na uongozi bora wao?
 
Kuelekea uchaguzi Mkuu Mama ameubutua sana hadi umechana nyavu.

Waliosema siasa ni sayansi hawakukosea. Leo Wale walioitwa sukuma gang ni shangwe tele. Wamefurahi balaa. Furaha in Vain (bure tupu)

Wamesahau hiki ni kipindi cha uchaguzi wanapewa temporary pleasure ili mwanaharamu apite.

Nawashangaa mnachofurahia ni nini. What if baada ya Uchaguzi wakapewa mashavu makubwa zaidi like Makamba akawa Makamu wa Rais na Nape akawa Waziri Mkuu? Are you going to run away the country?

Jambo lingine nawaasa watanzania acheni kushabikia mambo yasiyowahusu. Hizi teuzi na tenguzi ni kwa manufaa yao wenyewe watawala.

Mimi na wewe na familia yako hakuna tunachonufaika iwe ametubuliwa au kateuliwa.

Nimeamua tu niwasanue msioweza kuwaza nje ya box.
Ni kweli!! Toka lini hizi teuzi au tenguzi zimeleta mabadiriko chanya kwenye nchi hii?? Na hapo Watz ndipo tuna shida, ni mfumo ndio unashida, sasa mfano MASWI, anaweza letq tija gani?!!
 
Sijui kwanini watanzania tunapenda ku-invest emotions kwa watu tusiowajua at personal level. Huu ndio msingi unakuta unampenda mtu au unamchikia mtu ambae yeye hakujui kabisa.

Binafsi nilikuwa namkubali sana Magufuli not necessary at personal level, isipokuwa kwenye nidhamu, maendeleo na values zake Tanzania ni nchi ya wote kila mtu apate haki.

Lakini sikuwahi kuwa na personal issues na hao mapoyoyo wawili (wawepo wasiwepo serikalini sikosi usingizi) zaidi ya kuwaona wajinga tu kudhani kumnanga Magufuli kunamjengea bi-tozo.

Watanzania hasa wakipato cha chini kikubwa kwao kwa Magufuli nchi ilikuwa ya haki na mizinguo ya rushwa ukienda ofisi za serikali kupata huduma ilipungua sana.

Sasa kumtoa Makamba na Nape hakubadilishi tabia mbaya iliyorudi baada ya Magufuli na sidhani kama wananchi wengi wasioshinda mitandaoni wanajali hao watu wawe mawaziri au la, wanachotaka ni yao yaende kama umeme wa uhakika, maji, kutowekewa mitozo kila kukicha.

Hao wametumbuliwa kwa sababu za raisi mwenyewe sio kwa sababu ya kufurahisha kundi.

Huyo Mombo Selemani na Emmanuel Nchimbi washafanya kazi pamoja Brazil. Chances are bwana Selemani kuikwaa hiyo post ya DG wa labda kuna influence ya Nchimbi kutaka kujua nani hatari kwa Samia, feedback ya haraka haraka imekuja na hao watu wawili.
 
Sijui kwanini watanzania tunapenda ku-invest emotions kwa watu tusiowajua at personal level. Huu ndio msingi unakuta unampenda mtu au unamchikia mtu ambae yeye hakujui kabisa.

Binafsi nilikuwa namkubali not necessary at personal level, isipokuwa kwenye nidhamu, maendeleo na values zake Tanzania ni nchi ya wote kila mtu apate haki.

Lakini sikuwahi kuwa na personal issues na hao mapoyoyo wawili (wawepo wasiwepo serikalini sikosi usingizi) zaidi ya kuwaona wajinga tu kudhani kumnanga Magufuli kunamjengea bi-tozo.

Watanzania hasa wakipato cha chini kikubwa kwao kwa Magufuli nchi ilikuwa ya haki na mizinguo ya rushwa ukienda ofisi za serikali kupata huduma ilipungua sana.

Sasa kumtoa Makamba na Nape hakubadilishi tabia mbaya iliyorudi baada ya Magufuli na sidhani kama wananchi wengi wasioshinda mitandaoni wanajali hao watu wawe mawaziri au la, wanachotaka ni yao yaende kama umeme wa uhakika, maji, kutowekewa mitozo kila kukicha.

Hao wametumbuliwa kwa sababu za raisi mwenyewe sio kwa sababu ya kufurahisha kundi.

Huyo Mombo Selemani na Emmanuel Nchimbi washafanya kazi pamoja Brazil. Chances are bwana Selemani kuikwaa hiyo post ya DG wa labda kuna influence ya Nchimbi kutaka kujua nani hatari kwa Samia, feedback ya haraka haraka imekuja na hao watu wawili.
Uchambuzi wako hua umekaa poa sana,Big up and keep it up.
 
Binafsi nilikuwa namkubali sana Magufuli not necessary at personal level, isipokuwa kwenye nidhamu, maendeleo na values zake Tanzania ni nchi ya wote kila mtu apate haki.
Perfect, hata mimi nilikuwa namkubali mno. Ila alinivunja moyo baada ya kusambaza wasiojulikana, akatumia Katiba Mbovu na sheria dhaifu Kupambana na maadui wake personal badala ua mambo ya kitaifa.
Otherwise kama Binadamu wengine nilikuwa nampenda na kumwombea siku zote.
 
Sijui kwanini watanzania tunapenda ku-invest emotions kwa watu tusiowajua at personal level. Huu ndio msingi unakuta unampenda mtu au unamchikia mtu ambae yeye hakujui kabisa.

Binafsi nilikuwa namkubali sana Magufuli not necessary at personal level, isipokuwa kwenye nidhamu, maendeleo na values zake Tanzania ni nchi ya wote kila mtu apate haki.

Lakini sikuwahi kuwa na personal issues na hao mapoyoyo wawili (wawepo wasiwepo serikalini sikosi usingizi) zaidi ya kuwaona wajinga tu kudhani kumnanga Magufuli kunamjengea bi-tozo.

Watanzania hasa wakipato cha chini kikubwa kwao kwa Magufuli nchi ilikuwa ya haki na mizinguo ya rushwa ukienda ofisi za serikali kupata huduma ilipungua sana.

Sasa kumtoa Makamba na Nape hakubadilishi tabia mbaya iliyorudi baada ya Magufuli na sidhani kama wananchi wengi wasioshinda mitandaoni wanajali hao watu wawe mawaziri au la, wanachotaka ni yao yaende kama umeme wa uhakika, maji, kutowekewa mitozo kila kukicha.

Hao wametumbuliwa kwa sababu za raisi mwenyewe sio kwa sababu ya kufurahisha kundi.

Huyo Mombo Selemani na Emmanuel Nchimbi washafanya kazi pamoja Brazil. Chances are bwana Selemani kuikwaa hiyo post ya DG wa labda kuna influence ya Nchimbi kutaka kujua nani hatari kwa Samia, feedback ya haraka haraka imekuja na hao watu wawili.
All in all vyovyote wanavyofanya ni kwa maslahi yao binafsi wala sio ya Taifa.
Nitakuja na uchambuzi mwingine baadae kwa nini Teua tengua hizi hazina maana yoyote kwenye Ustawi wa Wananchi zaidi sana ni minyukano yao kwenye chama.
 
Itakuwa kauteka moyo wako wewe bush dokta.akitaka aziteke nyoyo za wataz anatakiwa afanye yafuatayo
1 apunguze msafara wake wa magari miambili na kubaki magari sita tu
2aache kugawa vitega uchumi muhimu vya Nchi Kwa wawekezaji kama alivyofanya bandari na hifadhi za taifa
3.apunguze safari zisizo na tija huko ulaya na badala yake asafir ndani ya Nchi kusikiliza kero na kuzitolea maamuzi na mwisho adhibiti rushwa maana awamu yake rushwa imekithiri kuliko kipindi chochote cha uongozi wake Toka awamu ya kwanza
 
Itakuwa kauteka moyo wako wewe bush dokta.akitaka aziteke nyoyo za wataz anatakiwa afanye yafuatayo
1 apunguze msafara wake wa magari miambili na kubaki magari sita tu
2aache kugawa vitega uchumi muhimu vya Nchi Kwa wawekezaji kama alivyofanya bandari na hifadhi za taifa
3.apunguze safari zisizo na tija huko ulaya na badala yake asafir ndani ya Nchi kusikiliza kero na kuzitolea maamuzi na mwisho adhibiti rushwa maana awamu yake rushwa imekithiri kuliko kipindi chochote cha uongozi wake Toka awamu ya kwanza
Nenda kasome nyuzi na komenti za watanzania wengi. Yaani utadhani Adui wa Taifa hili ni Nape.

Maskini wamesahau..
 
Back
Top Bottom