Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
- #61
Sana yaani na mwakani Nape anarudi tenaInafikirisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana yaani na mwakani Nape anarudi tenaInafikirisha
Hakuna walichokosea ambacho system nzima ya ccm haijafanya.Hivi kwa nini hawa wawili wanachukiwa sana kiasi hiki? Vijana kwa wazee. Vijana wa kampuni za simu leo walitamani waanze weekend kwa raha! Inasikitisha sana mtu kuchukiwa namna hii. Kama kuna sehemu wanakosea, wajirekebishe.
Haya ndio Mambo yunayopaswa kufurahi kama yakifanyiwa kazi na sio hizo bla blaKivipi,
1.Kwani mkataba wa Bandari umevunjwa?
2. Maasai wamerudishwa ngorongoro?
3. Wanyama hawasafirishwi tena nje?
4. Safari za nje zimesitishwa?
5. Dollar inapatikana mtaani kama zamani?