Siasa ni Sayansi, hatimaye Rais Samia ameiteka mioyo ya Wafuasi wa Hayati Magufuli

Mpumbavu ni wewe unayeshindwa kuonwsha iumefaidika vipi Nape akiondewa badala uchukiw ufisadi wa hao wanaoteuana na kutenguana unakaza fuvu kumchukia mtu usiyemjua
kauli ya nape ni udhalilishaji na kejeli kwa rais na tume ya uchaguzi.
 
Nan apewe u PM au Makamu? Nape? Makamba? 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣
 
Hoja hapa ni Makamba Jr. na Nape wako nje kama alivyowafanya Mwamba Magufuli!
 
Mama ameanza kutujua, akitumbua sisi wengine tunafurahi tu na Stress zetu akiteua tunakasirika.

Sisi tunaitwa WABONGO.
 
Hoja hapa ni Makamba Jr. na Nape wako nje kama alivyowafanya Mwamba Magufuli!
Kwani Mwamba Magufuli si ndiye aliwaingiza? Na alopowatoa mimi na wewe tulinufaikaje? Na Mama alipowaingiz wewe ulipata hasara gani?

We need system reform yenye maslahi mapana kwa Taifa and not this individualized Grudges
 
Mama ameanza kutujua, akitumbua sisi wengine tunafurahi tu na Stress zetu akiteua tunakasirika.

Sisi tunaitwa WABONGO.
Wabongo Wameshachoka......wanafurahishwa na upepo huku mambo ya maana wakiyapa kisogo.
 
Hayo ni ya kwako hayatuhusu. Issue hapa ni kwamba wametumbuliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…