Acha hizo mkuu[emoji23]lisu atachukia
Sema alipo halima kuna ester, au alipo mdee kuna bulaya.Kwani sasa hivi si wamoja hao? Kuna uadui gani kati yao?
Ila jamani kila alipo Halima kuna Bulaya, mi nataka BFF kama huyo.
Huu upendo ni wa ajabu!
Esther hafahamiki kwa jina lake la kwanza, ubini wake ndio utambulisho wake.Sema alipo halima kuna ester, au alipo mdee kuna bulaya.
Hayo mambo ndo makamu mwenyekiti wao anayapigania kuita ni faragha yasiingiliwe.
Ila anakula kupitia mhongo wa mzee mboweKwani halima mdee siyo ccm?
Sio uadui kama ambavyo yule mpuuzi wa Arusha Mr Lema anaelaana na kuombea watu vifoSiasa bhana!
Kwani hawa ni maadui wakati wako chama kimoja ?Siasa haziondoi utu wetu. Hivi karibuni Mbowe aliwaalika wabunge hao maarufu sana katila hafla ya kuchangia ujenzi wa kanisa.View attachment 2889997
Viongozi wa Chadema wana roho mbaya, japo yule aliyepelekwa Nairobi alikuwa analia kwa nini viongozi wa serikali hawakwenda kumtembeleaKwani hawa ni maadui wakati wako chama kimoja ?
Angalia na hii halafu jiongeze
View attachment 2890097