Siasa si uadui: Dk. Tulia amtembelea mama wa Halima Mdee aliyelazwa hospitali

Siasa si uadui: Dk. Tulia amtembelea mama wa Halima Mdee aliyelazwa hospitali

Siasa haziondoi utu wetu. Hivi karibuni Mbowe aliwaalika wabunge hao maarufu sana katila hafla ya kuchangia ujenzi wa kanisa.
---

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Tulia Ackson, leo Januari 31, 2024 amemtembelea na kumjulia hali, Theresia Ngowi ambaye ni mama mzazi wa mbunge wa viti maalumu, Halima Mdee.

Dk Tulia ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) amemtembelea mama huyo aliyelazwa katika Hospitali ya Benjamini Mkapa jijini Dodoma kwa matibabu.
Kufuatana na kanuni za kanisa Mbowe hana mamlaka ya kumalika mtu yeyote kwenye shughuri ya kanisa, anachoweza ni kumjulisha au kumhamasisha kuhusu shughuri itakayofanyika kanisani, hii ni kawaida kwa watu wote.
Si vizuri kuandika jambo linalohusu utaratibu wa kiutendaji wa kanisa wakati hauujui, chuki zako dhidi ya Mbowe usiziingize kanisani.
 
Kwani halima mdee siyo ccm?
Ni kama chapa ya jogoo pale Magomeni usalama
1706742349048.png
 
Kufuatana na kanuni za kanisa Mbowe hana mamlaka ya kumalika mtu yeyote kwenye shughuri ya kanisa, anachoweza ni kumjulisha au kumhamasisha kuhusu shughuri itakayofanyika kanisani, hii ni kawaida kwa watu wote.
Si vizuri kuandika jambo linalohusu utaratibu wa kiutendaji wa kanisa wakati hauujui, chuki zako dhidi ya Mbowe usiziingize kanisani.
Usinipangie
 
Siasa haziondoi utu wetu. Hivi karibuni Mbowe aliwaalika wabunge hao maarufu sana katila hafla ya kuchangia ujenzi wa kanisa.
---

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Tulia Ackson, leo Januari 31, 2024 amemtembelea na kumjulia hali, Theresia Ngowi ambaye ni mama mzazi wa mbunge wa viti maalumu, Halima Mdee.

Dk Tulia ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) amemtembelea mama huyo aliyelazwa katika Hospitali ya Benjamini Mkapa jijini Dodoma kwa matibabu.
Chama kimoja nao wawe madui?
 
Siasa haziondoi utu wetu. Hivi karibuni Mbowe aliwaalika wabunge hao maarufu sana katila hafla ya kuchangia ujenzi wa kanisa.
---

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Tulia Ackson, leo Januari 31, 2024 amemtembelea na kumjulia hali, Theresia Ngowi ambaye ni mama mzazi wa mbunge wa viti maalumu, Halima Mdee.

Dk Tulia ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) amemtembelea mama huyo aliyelazwa katika Hospitali ya Benjamini Mkapa jijini Dodoma kwa matibabu.
Mama mdee amerudi alikuwa India few weeks...augue pole.....

Upande wa pili Vovid19 wanachezea pesa za walipa kodi masikini na speaker analijya hilo hizo pesa zote wamelipana miaka 3 hii..ingefanya mangapi kwa walala hoi ? Nasikia hasira sanaaa.....wananchi tunachezewa sana na utawala na mamlaka...sanaaas sanas
 
Siasa haziondoi utu wetu. Hivi karibuni Mbowe aliwaalika wabunge hao maarufu sana katila hafla ya kuchangia ujenzi wa kanisa.
---

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Tulia Ackson, leo Januari 31, 2024 amemtembelea na kumjulia hali, Theresia Ngowi ambaye ni mama mzazi wa mbunge wa viti maalumu, Halima Mdee.

Dk Tulia ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) amemtembelea mama huyo aliyelazwa katika Hospitali ya Benjamini Mkapa jijini Dodoma kwa matibabu.
Kifua cha Mdee ni km cha IBRA classic.
 
Mdee na genge lake wapo bungeni kwa nguvu ya Tulia kwa hiyo hakuna cha ajabu
 
Back
Top Bottom