Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Siasa sio uadui mwenyekiti wa nyumbu aliwasilisha michango ya mwenyekiti wa CCM taifa kwenye ujenzi wa kanisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Halima na Tulia uhasama wao upo wapi?Siasa haziondoi utu wetu. Hivi karibuni Mbowe aliwaalika wabunge hao maarufu sana katila hafla ya kuchangia ujenzi wa kanisa.View attachment 2889997
lisu atachukia
Mlipata kura ngapiiRuzuki inatokana na idadi ya kura za urais. Hivyo viti maalum vimetokana na idadi ya kura za urais na sio kinyume chake.
Unaona na mbuziWewe ungelala kwenye zizi la mbuzi, mbuzi wasingeona utofauti.
Mlipata kura ngapii
Kufuatana na kanuni za kanisa Mbowe hana mamlaka ya kumalika mtu yeyote kwenye shughuri ya kanisa, anachoweza ni kumjulisha au kumhamasisha kuhusu shughuri itakayofanyika kanisani, hii ni kawaida kwa watu wote.Siasa haziondoi utu wetu. Hivi karibuni Mbowe aliwaalika wabunge hao maarufu sana katila hafla ya kuchangia ujenzi wa kanisa.
---
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Tulia Ackson, leo Januari 31, 2024 amemtembelea na kumjulia hali, Theresia Ngowi ambaye ni mama mzazi wa mbunge wa viti maalumu, Halima Mdee.
Dk Tulia ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) amemtembelea mama huyo aliyelazwa katika Hospitali ya Benjamini Mkapa jijini Dodoma kwa matibabu.
Naona amevalishwa gauni ya CCM.Kwani hawa ni maadui wakati wako chama kimoja ?
Angalia na hii halafu jiongeze
View attachment 2890097
Kumbe mlipata uchafuIngia kwenye tovuti ya tume ya uchafuzi kama walithubutu kuweka ule uchafu wao huko.
Hata akina Heche😂lisu atachukia
Ni kama chapa ya jogoo pale Magomeni usalamaKwani halima mdee siyo ccm?
So you know!So what?
Mkuu, mi najitolea kuwa BFF wako 😄😄Ila jamani kila alipo Halima kuna Bulaya, mi nataka BFF kama huyo.
Huu upendo ni wa ajabu!
UsinipangieKufuatana na kanuni za kanisa Mbowe hana mamlaka ya kumalika mtu yeyote kwenye shughuri ya kanisa, anachoweza ni kumjulisha au kumhamasisha kuhusu shughuri itakayofanyika kanisani, hii ni kawaida kwa watu wote.
Si vizuri kuandika jambo linalohusu utaratibu wa kiutendaji wa kanisa wakati hauujui, chuki zako dhidi ya Mbowe usiziingize kanisani.
Nani kakuambia ana chama!!Mbunge wa CCM tena Spika kumtembelea mama wa mbunge viti maalum kupitia CHADEMA ni jambo la busara sana. Spika ana upendo hata kwa chama kinachokaribia kufa.
Chama kimoja nao wawe madui?Siasa haziondoi utu wetu. Hivi karibuni Mbowe aliwaalika wabunge hao maarufu sana katila hafla ya kuchangia ujenzi wa kanisa.
---
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Tulia Ackson, leo Januari 31, 2024 amemtembelea na kumjulia hali, Theresia Ngowi ambaye ni mama mzazi wa mbunge wa viti maalumu, Halima Mdee.
Dk Tulia ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) amemtembelea mama huyo aliyelazwa katika Hospitali ya Benjamini Mkapa jijini Dodoma kwa matibabu.
Mama mdee amerudi alikuwa India few weeks...augue pole.....Siasa haziondoi utu wetu. Hivi karibuni Mbowe aliwaalika wabunge hao maarufu sana katila hafla ya kuchangia ujenzi wa kanisa.
---
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Tulia Ackson, leo Januari 31, 2024 amemtembelea na kumjulia hali, Theresia Ngowi ambaye ni mama mzazi wa mbunge wa viti maalumu, Halima Mdee.
Dk Tulia ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) amemtembelea mama huyo aliyelazwa katika Hospitali ya Benjamini Mkapa jijini Dodoma kwa matibabu.
Kifua cha Mdee ni km cha IBRA classic.Siasa haziondoi utu wetu. Hivi karibuni Mbowe aliwaalika wabunge hao maarufu sana katila hafla ya kuchangia ujenzi wa kanisa.
---
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Tulia Ackson, leo Januari 31, 2024 amemtembelea na kumjulia hali, Theresia Ngowi ambaye ni mama mzazi wa mbunge wa viti maalumu, Halima Mdee.
Dk Tulia ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) amemtembelea mama huyo aliyelazwa katika Hospitali ya Benjamini Mkapa jijini Dodoma kwa matibabu.