Nadhani siasa za Tanzania ni nyeyesi na rahisi mno ukilingasha na nchi yoyote Africa Mashariki.
Mabadiliko ya fikra yanaihitaji maudhui mbadala dhidi ya yaliopo, tena bila ya yeyote kujiona bora kuliko mwingine kitu ambacho ndio changamoto kubwa katika siasa duni na rahisi sana za Tanzania.
Uzushi, hisia na huruma vimepewa nafasi kubwa zaidi ambao mara zote unaishia mitandoni tu kwasababu sio halisi.
Kutegemea hisia na huruma kulinda na kutetea haki ni useless mbele ya vyombo hususani vya kisheria kwasababu hakuna pilato asiependa kua kwenye record za hukumu nzuri za haki zitakazotumika kama rejeo za hukumu za kesi nyingine au mifano ya hukumu nzuri za mifano ya kufundishia kwenye Taasisi za kitaaluma.
Wanaharakti wameinfluence siasa ya Tanzania na imekua tepetevu 🐒