Siasa za Afrika kama wamoja, Bobi Wine anaonja joto siku chache za kupiga kura

Siasa za Afrika kama wamoja, Bobi Wine anaonja joto siku chache za kupiga kura

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Wakati wa kampeni mpaka uchaguzi nchini Tanzania wanasiasa wa upinzani walikuwa wanalia faulo za hapa na pale na ilifika mahali hata mitandao ya kijamii kupungua uwezo.

Haya hapo jirani kwa mzee anayetaka kuvunja rekodi kufika miaka 100 akiwa madarakani mu7 anafanya yake.

Huyu ni mgombea mpinzani ndg Kyagulanyi a.k.a Bobi Wine anasema.

"Four days to the election, the internet is already slowed down. Some services have already been disrupted. Most people cannot download our UVote App from Google play store. We're encouraging everyone to download VPN."

Kabla ya hili juzi Robert alionja joto ya jiwe alipokuwa kwenye press na media moja ya nje ya Uganda 👇.


Kuna msemo wa mzee mmoja hivi alipata kusema "Afrika bado inatakiwa kutawaliwa"
 
Kwa kusikitisha, USA wametangaza uamuzi wa kutokufuatilia uchaguzi wa Uganda kutokana na uamuzi wa tume ya uchaguzi ya Uganda kukataa zaidi ya 75% ya maombi yao ya idhini ya kuwa watazamaji.

Kikosi kazi chenye nguvu cha waangalizi pamoja na vyombo vya ndani, vingekuza uwazi na uwajibikaji kwa serikali ijayo au iliyopo.
 
Wakati wa kampeni mpaka uchaguzi nchini Tanzania wanasiasa wa upinzani walikuwa wanalia faulo za hapa na pale na ilifika mahali hata mitandao ya kijamii kupungua uwezo.

Haya hapo jirani kwa mzee anayetaka kuvunja rekodi kufika miaka 100 akiwa madarakani mu7 anafanya yake.

Huyu ni mgombea mpinzani ndg Kyagulanyi a.k.a Bobi Wine anasema.

"Four days to the election, the internet is already slowed down. Some services have already been disrupted. Most people cannot download our UVote App from Google play store. We're encouraging everyone to download VPN."

Kabla ya hili juzi Robert alionja joto ya jiwe alipokuwa kwenye press na media moja ya nje ya Uganda 👇.


Kuna msemo wa mzee mmoja hivi alipata kusema "Afrika bado inatakiwa kutawaliwa"
Hivi Kwanini hii mitawala ya Africa isifute tu vyama vingi ili tujue Moja ???

Maana inajitesa tu kwa hadaa bila sababu.
 
Kwa kusikitisha, USA wametangaza uamuzi wa kutokufuatilia uchaguzi wa Uganda kutokana na uamuzi wa tume ya uchaguzi ya Uganda kukataa zaidi ya 75% ya maombi yao ya idhini ya kuwa watazamaji.

Kikosi kazi chenye nguvu cha waangalizi pamoja na vyombo vya ndani, vingekuza uwazi na uwajibikaji kwa serikali ijayo au iliyopo.
Juzi baada ya Capitol hill kuvamiwa rais wa Zimbabwe Mnangagwa nae alitoa rai kwa US akisema anataka apeleke jeshi la Zimbabwe hapo US kutuliza hali na aunde tume ya kuchunguza kilichotokea.
 
Hivi Kwanini hii mitawala ya Africa isifute tu vyama vingi ili tujue Moja ???

Maana inajitesa tu kwa hadaa bila sababu.
Mwamba hiyo "mitawala" inaogopa ikifuta mfumo wa vyama vingi itakosa ruzuku kutoka kwa mabeberu!.
 
Back
Top Bottom