MUTUYAMUNGU
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 1,825
- 4,374
Si kweli, ni Mkristu.Huyu mama ni mgombea mwenza wa Baba Rails Omolo Odinga.
1. Ni mwanasheria kitaaluma.
2. Waziri wa muda mrefu
ILA
3. HAAMINI KAMA KUNA MUNGU WALA HAJAWAHI KUKANYAGA MSIKITINI WALA KANISANI.
4. YUPO SINGLE ANAENJOY HAJAWAHI KUOLEWA, HANA MTOTO WA KUWA NA MCHUMBA.
YAJAYO YANAFURAHISHA.
Sawa duduSi kweli, ni Mkristu.
Martha Karua ana mtoto, ni mcha Mungu ila ni mwanamke kiburi kupitiliza.... sitakaa nimsahau huyu mama nafkiri hata marehemu Mkapa huko aliko hatokaa amsahau.Huyu mama ni mgombea mwenza wa Baba Rails Omolo Odinga.
1. Ni mwanasheria kitaaluma.
2. Waziri wa muda mrefu
ILA
3. HAAMINI KAMA KUNA MUNGU WALA HAJAWAHI KUKANYAGA MSIKITINI WALA KANISANI.
4. YUPO SINGLE ANAENJOY HAJAWAHI KUOLEWA, HANA MTOTO WA KUWA NA MCHUMBA.
YAJAYO YANAFURAHISHA.
Kama ukweli vileKwahio Mababu zetu waliopigana na Kupinga hizi Dini zilizoletwa nao wao walikuwa wanakasoro ?, Imani ya mtu ni ya kwake binafsi Kutaka mtu awe na Imani kama wewe ni kukosa ustaarabu na ndio mwanzo wa mifarakano isiyo na tija...
Alifanyaje mkuuMartha Karua ana mtoto, ni mcha Mungu ila ni mwanamke kiburi kupitiliza.... sitakaa nimsahau huyu mama nafkiri hata marehemu Mkapa huko aliko hatokaa amsahau.
Ilipotokea Vurugu Kenya kwenye ule uchaguzi Kikwete alimtuma Mkapa kwenda kusuluhisha tukiwemo sie maafisa wa MFA enzi hizo. Huyu mama alimtukana mzee Mkapa matusi ya nguoni.Alifanyaje mkuu
Yule mdomo wake hauna breki, shida ni malezi.Ilipotokea Vurugu Kenya kwenye ule uchaguzi Kikwete alimtuma Mkapa kwenda kusuluhisha tukiwemo sie maafisa wa MFA enzi hizo. Huyu mama alimtukana mzee Mkapa matusi ya nguoni.
Type hii ndo wenye dunia yao uwataka.Huyu mama ni mgombea mwenza wa Baba Rails Omolo Odinga.
1. Ni mwanasheria kitaaluma.
2. Waziri wa muda mrefu
ILA
3. HAAMINI KAMA KUNA MUNGU WALA HAJAWAHI KUKANYAGA MSIKITINI WALA KANISANI.
4. YUPO SINGLE ANAENJOY HAJAWAHI KUOLEWA, HANA MTOTO WA KUWA NA MCHUMBA.
YAJAYO YANAFURAHISHA.
Kkkkk washika mpini. Wazee wa Ulimwengu wa Giza.Type hii ndo wenye dunia yao uwataka.
Iwe shoga au lesbian wanakupa uongozi.
Yeye na Odinga ndio washika mpini ,kwa mujibu wa siri za duniani.
Trump alipingana na ajenda za mashoga na corona.Wakampa one time president
Duh, hafai kabisa huyo.Ilipotokea Vurugu Kenya kwenye ule uchaguzi Kikwete alimtuma Mkapa kwenda kusuluhisha tukiwemo sie maafisa wa MFA enzi hizo. Huyu mama alimtukana mzee Mkapa matusi ya nguoni.
Na wenyewe wamesema Omolo atafia madarakani KUISHA Martha ashike usukani. Hatari na nusu.Huyo ndiyo anayetakiwa na globalist nwo, kuna mpango wa kupunguza watu Afrika na Duniani kwa ujumla uko jikoni kama haujaanza bado, huyo ndio raisi ajaye kama hayo ulioyaorodhesha ni ya kweli, …
Kwani anagombea uaskofu mkuu wa kenya?Huyu mama ni mgombea mwenza wa Baba Rails Omolo Odinga.
1. Ni mwanasheria kitaaluma.
2. Waziri wa muda mrefu
ILA
3. HAAMINI KAMA KUNA MUNGU WALA HAJAWAHI KUKANYAGA MSIKITINI WALA KANISANI.
4. YUPO SINGLE ANAENJOY HAJAWAHI KUOLEWA, HANA MTOTO WA KUWA NA MCHUMBA.
YAJAYO YANAFURAHISHA.