Kenya 2022 Siasa za Afrika na maajabu ya Martha Karua

Kenya 2022 General Election
Mwanamme na mwanamke kupigana miti ni hali ya kawaida. Usiifanye iwe issue kubwa.
Sio mimi nimelikuza bali ni ninyi ndio maana mliliandika sana kwenye magazeti yenu na rekodi ipo hadi leo
 

Wewe acha kupotosha. Martha Karua ana watoto wawili.

Wakiume ni mtangazaji wa kituo kimoja cha Tv nchini Kenya na binti yake ni Mwanajeshi Kenya.
 
SIFA ZA KIJINGAAAAAAAA

JAMAA ANAJUA KUJAMBAAA

SIFA ZA KIJINGAAAAA

WE HUMSHINDI YULE KWA KULA

SIFA ZA KIJINGAAAAAAA
 
Ilipotokea Vurugu Kenya kwenye ule uchaguzi Kikwete alimtuma Mkapa kwenda kusuluhisha tukiwemo sie maafisa wa MFA enzi hizo. Huyu mama alimtukana mzee Mkapa matusi ya nguoni.
I see!!!
 

Nadhani anakijana mmoja wakiume sema baba wa kijana ndio hajulikani
 
Type hii ndo wenye dunia yao uwataka.
Iwe shoga au lesbian wanakupa uongozi.
Yeye na Odinga ndio washika mpini ,kwa mujibu wa siri za duniani.
Trump alipingana na ajenda za mashoga na corona.Wakampa one time president
kwenye covid-19 Kuna aina hiyo-----
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…