Chama changu Tawala hujinadi kukuza umoja wa Kitaifa lakini kwa awamu hizi mbili ninaona umoja huo unazidi kudidimia. Chama change kinajuhami kupita kiasi hata kwa kuumiza wengine. Hivi ni kweli kabisa tunajaribu kuwaaminisha watu kuwa Mbowe ni Gaidi! INAUMIZA SANA, pamoja na UCCM wangu.
Hivi hofu yote ya nini? Mbona JK na Mkapa waliongoza bila stress ya hoja za upinzani? Hwa watu walijibu hoja. Kumbuka Mkapa kipindi wanadai kahongwa dhahabu - alikuja kwenye media na akajibu vizuri na wala hakugombana au kukamata wapinzani na hata vyombo vya ahabari vilivyoandika alivihoji kwa umaridadi wao wa uandishi kwa kushindwa kufuatilia kwa kina habari hiyo.
CCM kwa sasa tunatumia ubabe na vyombo vya ulinzi kutisha tisha tu. Ukweli hata mimi hata kama sipo kwenye siasa active lakini kinachoendelea kunyanyasa upinzani ninatoka CCM. Wanangu wananihoji maswali amabayo ninashindwa kuyajibu? Mfano jana kanihoji kwa nini Mbowe kakamatwa? Ukweli ninashindwa kuelezea?
Hii chuki inayojengwa dhidi ya upinzani imekithiri kiasi kwamba hata mjinga tu anaweza kuelewa upinzani unafanyziwa kwa sasa. Washauri na wasaidiizi wa Rais huyu ninaamini wengi ni wale waliotoka awamu ya tano ambayo ilikuwa always inajihami kwa kuumiza upinzani. Hawa wanamharibia sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana Rais SSH. Kwa hili wanamtega nalo! Mpaka sasa SSH hajatamka neon lolote kuhusu kukamtwa kwa Mbowe! Lawama zote zitakuja kumwelekea kwake siku za usoni. Mbowe sio GAIDI. Mbowe ameonewa sana huyu Mbowe. Dodoma akina Silinde na Lijualikali walimtumia vijana wakampige then CCM tukasingizia alikuwa amelewa!
Ikiwa bado ni mapema sana - ninazidi kumwomba Rais SSH aangalie washauri wake na wasaidizi wake katika masuala ya siasa - aache kukubaliana na ushauri wenye dalili za kuvuruga umoja wa KiTaifa - historia inaona na yeye ana watoto na wajukuu pia. Watakuja kuumizwa na matendo yake mabaya na kama ilivyo karma inaweza ikaja kuwarudia uzao wake hata kama sio yeye. Tukuze umoja na upendo wetu - tuache kubomoa umoja wa kiTaifa. Sisi wote - CCM na hata wapinzani tu wazalendo wa nchi yetu na ndiyo maana tunashindana kwa kupitia siasa za vyama vingi tukiwa hapahapa nchini. Tuache woga MBOWE sio GAIDI!
SSH tafadhali sema neon Mbowe aachiwe afanye siasa ili uzao wake, ndugu na wafuasi wake wasijenge chuki ya kimapinduzi dhidi ya CCM. Mbowe sio GAIDI!
Hivi hofu yote ya nini? Mbona JK na Mkapa waliongoza bila stress ya hoja za upinzani? Hwa watu walijibu hoja. Kumbuka Mkapa kipindi wanadai kahongwa dhahabu - alikuja kwenye media na akajibu vizuri na wala hakugombana au kukamata wapinzani na hata vyombo vya ahabari vilivyoandika alivihoji kwa umaridadi wao wa uandishi kwa kushindwa kufuatilia kwa kina habari hiyo.
CCM kwa sasa tunatumia ubabe na vyombo vya ulinzi kutisha tisha tu. Ukweli hata mimi hata kama sipo kwenye siasa active lakini kinachoendelea kunyanyasa upinzani ninatoka CCM. Wanangu wananihoji maswali amabayo ninashindwa kuyajibu? Mfano jana kanihoji kwa nini Mbowe kakamatwa? Ukweli ninashindwa kuelezea?
Hii chuki inayojengwa dhidi ya upinzani imekithiri kiasi kwamba hata mjinga tu anaweza kuelewa upinzani unafanyziwa kwa sasa. Washauri na wasaidiizi wa Rais huyu ninaamini wengi ni wale waliotoka awamu ya tano ambayo ilikuwa always inajihami kwa kuumiza upinzani. Hawa wanamharibia sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana Rais SSH. Kwa hili wanamtega nalo! Mpaka sasa SSH hajatamka neon lolote kuhusu kukamtwa kwa Mbowe! Lawama zote zitakuja kumwelekea kwake siku za usoni. Mbowe sio GAIDI. Mbowe ameonewa sana huyu Mbowe. Dodoma akina Silinde na Lijualikali walimtumia vijana wakampige then CCM tukasingizia alikuwa amelewa!
Ikiwa bado ni mapema sana - ninazidi kumwomba Rais SSH aangalie washauri wake na wasaidizi wake katika masuala ya siasa - aache kukubaliana na ushauri wenye dalili za kuvuruga umoja wa KiTaifa - historia inaona na yeye ana watoto na wajukuu pia. Watakuja kuumizwa na matendo yake mabaya na kama ilivyo karma inaweza ikaja kuwarudia uzao wake hata kama sio yeye. Tukuze umoja na upendo wetu - tuache kubomoa umoja wa kiTaifa. Sisi wote - CCM na hata wapinzani tu wazalendo wa nchi yetu na ndiyo maana tunashindana kwa kupitia siasa za vyama vingi tukiwa hapahapa nchini. Tuache woga MBOWE sio GAIDI!
SSH tafadhali sema neon Mbowe aachiwe afanye siasa ili uzao wake, ndugu na wafuasi wake wasijenge chuki ya kimapinduzi dhidi ya CCM. Mbowe sio GAIDI!