Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejiunga lini Bavicha wewe sukuma GangUzi umejaa bavicha huu hadi aibu
Jamii ya Ikungi iko kwenye giza totoro yani.JF Member ili uone mchango wa Lissu ulitaka afanye nini ambacho kwa nafasi alizowahi kushika hajawahi kufanya!!??
Wewe nae.. hujui namna ya kuisaidia jamii?itakuwa alitaka amwone akifanya hivi 👇
Anaanzisha kwa pesa kutoka wapi hizo Scheme??Jamii ya Ikungi iko kwenye giza totoro yani.
Alishindwa nini kuanzisha hata scheme za umwagiliaji?. Maji Ikungi ni shida, bora Mtatiro kawasaidia wapate maji.
Umaarufu wa bure kabisa.
Hii nimeipendaHapo Chadema kuna Wengi Wamekufa japo wanavaa suti na kutembea
Kifo kina maana pana yawezekana unayedhani kafa bado anaishi na kama unabisha waulize akina Halima James Mdee na wenzake Jeuri wanaitoa wapi ilhali Mahera na Ndugai wamewekwa pembeni
Kuna tofauti kubwa Kati ya Kurudi Mavumbini na " Baba mikononi mwako naiweka roho yangu"
Wahungilage!
Mzima kuwa mfu mgonjwa kuwa salamaIngawa tunajua kwamba chuki dhidi ya Lissu inatokana zaidi na uwezo wake wa kijasiri wa kusema kile anachokiamini dhidi ya watawala, lakini pia wapo watu wanaomchukia Lissu kwa kuwa tu yupo hai hata baada ya jaribio la kutaka kumuua kufanyika.
Kuna watu kila wakimuona Lissu anatembea na kuendeleza harakati zake za kisiasa, ghafla wanapandwa na hasira na kuchefukwa na baadhi yao huanza kuporomosha matusi na laana kwa Lissu. Unashangaa ni kwa nini watu wachukie manusura aliyopata Lissu?
Ukiweka mkatale kwamba hawa watu hawakufurahia waliposikia Lissu kashambuliwa na yupo kwenye gema (Brink) la uvuli wa mauti, itashangaza sana. Wanaochukia leo hii kwa Lissu kuwa hai, ni wale walioshangilia siku aliposhambuliwa kwa risasi.
Mpaka leo bado wanajifaragua hadharani kwamba eti Lissu hakupigwa hizo risasi zinazosemwa kapigwa na tukio zima ni maigizo tu ya kuongeza umaarufu wa kisiasa kwa Lissu na CHADEMA. Na wakati mwingine husema kwamba ni Mbowe ndiye aliyetaka kumuua Lissu kwa kuwa eti Lissu anatishia uenyekiti Mbowe CHADEMA!!
Lakini pia labda chuki yao inakuja kwa kuwa mtu wao Kafa na Lissu aliyekusudiwa kuuawa ndiye yupo mitaani anadunda. ACHENI MUNGU AITWE MUNGU!!
Ajuaye ni bwana MUNGU!!Mzima kuwa mfu mgonjwa kuwa salama
The one and only, Legendary Ella Fitzgerald....Hii nimeipenda
Nampenda Sana huyu queen [emoji146] of jazz musicThe one and only, Legendary Ella Fitzgerald....
A sophisticated lady....
Everybody loves Ella.....Nampenda Sana huyu queen [emoji146] of jazz music
Siasa sio uongo.Lissu apunguze kujiona anajua kila kitu na kuwaona wengine hawajui siasa
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Kalipe hela za watu kule kwa mama Mchuka - Changanyikeni.Uzi umejaa bavicha huu hadi aibu