Siasa za Kenya ni usanii mtupu, bora TZ yetu mara 10!

Siasa za Kenya ni usanii mtupu, bora TZ yetu mara 10!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,817
Hii ndiyo unaitwa political succession proper huko nchini Kenya, sasa hivi Uhuru Kenya ndiye Raisi wa Kenya wakati Makamu wake anaitwa W. Ruto, tayari Wakenya wameshajua ni nani atamrithi Uhuru Kenya 2022 ambaye ni Ruto na tayari pia wameshajua nani atamrithi W.Ruto 2032!

Huu ni ujinga ni bora CCM yetu inatafuta watu wenye uwezo wa kuongoza na siyo succession kama Kenya na mpaka sasa hivi hatujui nani atakuja baada ya Magufuli wetu kwani hata hivyo siyo muhimu kwetu muhimu ni sasa hivi na raisi aliyeko madarakani kama vile ambavyo hatukujua mpaka dakika ya mwisho nani angekuja baada ya Kikwete!
 
Anne Waiguru anapambana na DP William Ruto na hii naiona kama ni vita ya kati ya Uhuru na Ruto! Maana Anne Waiguru ni close confidant wa Uhuru
 
Siku zote Wakikuyu hawaaminik kabisa ndio maana Peter Kenneth ametangaza kuwania Ugavana wa Nairobi lengo ni kuja Kumrithi Ruto mwaka 2022
 
Upande huo wa EAC wanacheza mduwara wa kisiasa, uongozi unazunguka kama mduwara wa njenje.
 
Hii ndiyo unaitwa political succession proper huko nchini Kenya, sasa hivi Uhuru Kenya ndiye Raisi wa Kenya wakati Makamu wake anaitwa W. Ruto, tayari Wakenya wameshajua ni nani atamrithi Uhuru Kenya 2022 ambaye ni Ruto na tayari pia wameshajua nani atamrithi W.Ruto 2032!
Huu ni ujinga ni bora CCM yetu inatafuta watu wenye uwezo wa kuongoza na siyo succession kama Kenya na mpaka sasa hivi hatujui nani atakuja baada ya Magufuli wetu kwani hata hivyo siyo muhimu kwetu muhimu ni sasa hivi na raisi aliyeko madarakani kama vile ambavyo hatukujua mpaka dakika ya mwisho nani angekuja baada ya Kikwete!

Mie wafanye yoote
Ila ukabila wao ndio huniacha hoi hawa watu

Cheki video hii

 
tulitoka kwa kanu yenye haikutupatia maendeleo yoyote.ilikuwa ina recycle ideas...hiyo ndo ccm mliyonayo saii


Mmebadilisha KANU jina la Chama au mmebadilisha KANU na kuleta Chama kipya na watu wapya? Kwa maana Kenya hata kesho Raila akiondoka chama alicho leo hii na kwenda kuanzisha Chama kingine mtasema pia mmebadilisha chama!
 
hahaa....nimejua tu.lakini kiukweli ndugu jaribuni mtoe hiyo ccm.hivi haiwakinai kwani?
Unako kwenda siko
Hatuwezi fikia muafaka
Ndio maana nikasema wacha nikuache

Nasikia mnampango kila mwezi wa pili
Kuadhimisha siku ya Funza Kenya
Hongereni kuiondoa KANU
 
Mmebadilisha KANU jina la Chama au mmebadilisha KANU na kuleta Chama kipya na watu wapya? Kwa maana Kenya hata kesho Raila akiondoka chama alicho leo hii na kwenda kuanzisha Chama kingine mtasema pia mmebadilisha chama!

Huyo ndio maana mie nikamueleza wacha nimuache
Hana chakujivunia huyo
 
Back
Top Bottom