Siasa za Kenya ni za kushangaza sana

Siasa za Kenya ni za kushangaza sana

Kwani Tanzania hakuna hayo?
Stanza Ni mwendo wa uchawa na uchawi. Mchana unasifiwa , unapigowa magoti, unapewa vyeo usivyostahili , unaitwa meheshimiwa wakati unajua kabisa wewe huna chembe ya uheshimiwa Hadi unahisi huendi chooni, jioni kwenye vikao vya Siri unaitwa kila jina baya. Wakuu wa wilaya waliotumbuliwa hili wanalielewa japo wamechelewa kuelewa.
 
Mkuu chama kinao viongozi wanaotoa mamuzi ya chama ,embu fikiria cdm maauzi yanayotolewa na hawa viongozi walifeli elimu ya sekondari mfano ,Mzee Mbowe,Sugu,Lema na Wenje.Hawa ni vipngozi waandamizi 🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
Siasa inataka Wasomi wa wastani kama akina Mbowe, Lukuvi, Jenister Mhagama nk

Wasomi Wabobezi kama Prof Kabudi, Prof Kitila, Prof Ndalichako Siasa hawaziwezi 😂
 
Mkuu chama kinao viongozi wanaotoa mamuzi ya chama ,embu fikiria cdm maauzi yanayotolewa na hawa viongozi walifeli elimu ya sekondari mfano ,Mzee Mbowe,Sugu,Lema na Wenje.Hawa ni vipngozi waandamizi 🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
Pengine wana akili za kuzaliwa na ujanja wa maisha. Elimu ya Sekondari

ya zamani sio ya sasa hivi ilikuwa konki.
 
Stanza Ni mwendo wa uchawa na uchawi. Mchana unasifiwa , unapigowa magoti, unapewa vyeo usivyostahili , unaitwa meheshimiwa wakati unajua kabisa wewe huna chembe ya uheshimiwa Hadi unahisi huendi chooni, jioni kwenye vikao vya Siri unaitwa kila jina baya. Wakuu wa wilaya waliotumbuliwa hili wanalielewa japo wamechelewa kuelewa.
Uchawa na kujipendekeza kupita kiasi kuna haribu mambo sana.
 
Siasa inataka Wasomi wa wastani kama akina Mbowe, Lukuvi, Jenister Mhagama nk

Wasomi Wabobezi kama Prof Kabudi, Prof Kitila, Prof Ndalichako Siasa hawaziwezi 😂
Hapana mkuu,huwezi kuwa na wanamikati bila ya uwepo wa Elimu ,mfano viongozi wa chama chochote cha siasa ni lazima wawe wameshiba elimu dunia ,sasa hawa wenzetu hao viongozi wao chama wengi wao hata hiyo elimu ya wastani hakuna.
 
Pengine wana akili za kuzaliwa na ujanja wa maisha. Elimu ya Sekondari

ya zamani sio ya sasa hivi ilikuwa konki.
Mangi tuwe wakweli ,elimu dunia haina mmbadala ndio maana unaona chama kinakimbilia matukio badala ya kunadi sera mmbadala ,yote hii inayokana na viongozi husika kukosa mikakati sahihi na huwezi kuwa na mikakati sahii kama huna elimu dunia Mangi.
 
Hapana mkuu,huwezi kuwa na wanamikati bila ya uwepo wa Elimu ,mfano viongozi wa chama chochote cha siasa ni lazima wawe wameshiba elimu dunia ,sasa hawa wenzetu hao viongozi wao chama wengi wao hata hiyo elimu ya wastani hakuna.
Hata CCM wanasiasa wote mahili elimu zao ni za wastani tukianzia akina Kawawa, Mwinyi, Lukuvi, Nape, Mzee Makamba, Kibajaj, Msukuma, Wewe nk...nk 😀
 
Wakikuyu bado wanaamini rais wa Kenya lazima atokane na wao.
Itachukua muda sana kutoka kichwani naona Ruto ameanza

kutengeneza urafiki na Waluhya na Wajauluo ili 2027 asiwategemee
Wakikuyu.
 
Mangi tuwe wakweli ,elimu dunia haina mmbadala ndio maana unaona chama kinakimbilia matukio badala ya kunadi sera mmbadala ,yote hii inayokana na viongozi husika kukosa mikakati sahihi na huwezi kuwa na mikakati sahii kama huna elimu dunia Mangi.
Ni kweli Mangi elimu dunia ni kitu muhimu sana mzee Mandela
alilisisitiza sana hili. Mambo mengine yana kuwa hayaendi vizuri kwa
sababu tuu ya kushindwa kufikiri sawa sawa.
 
Ni kweli hawa wa wastani wana ujasiri na uthubutu zaidi. Wasomi wapo

wachache wanao fanya vizuri.
Tuajaribu kutofautisha wapiga debe ambao mara nyingi ndio hao wenye elimu ya wastani na wanasiasa kwa ajili ya mikakati ,hawa wanamikakati ndio wanaojenga chama ,na wapige debe ndio wanaotangaza chama.
Hata CCM wanasiasa wote mahili elimu zao ni za wastani tukianzia akina Kawawa, Mwinyi, Lukuvi, Nape, Mzee Makamba, Kibajaj, Msukuma, Wewe nk...nk 😀
Mkuu kuna tofauti kubwa hapa ,chama ni lazima kiwe na wanasiasa wapanga mikakati(strategists) ,wanasiasa ambao kazi yako kubwa ni uenezi ndio hao ambao hawaitaji kuwa na elimu kubwa kwa maana wanapokea maelezo ya nini kifanyike kwa maelekezo wa wanamikakati.Huwezi kuwa mwanamikatiti mzuri kama huna elimu dunia mkuu.
 
Riggy G is gone.
Kitendo cha yeye Kum-acknowledge Kenyata kwamba ni undisputed King of Mount Kenya, Kitendo cha yeye kukiri kwamba Odinga was far way better than Ruto, tena kwenye recorded media, huko nyuma ya pazia inamaana kuna mengi yanaendelea.

Iyo motion ya kumuondoa Gachagua imeandaliwa na Ruto, na kuna uwezekano mkubwa sana ikafanikiwa, na itapofanikiwa, hiyo ndio ticket ya Ruto kutoka Ikulu 2027, maana waluo na wakikuyu wakicombine forces, hata afanyaje, hatoboi. Ruto anaamini 2027 atapata backup ya Raila, ila laila keshachokwa na waluo, na kwa kukubali hiyo post ya AU, waluo tayari washamuona miyeyusho.

Siasa ya Kenya iko wazi sana, predictable.
 
Back
Top Bottom