Riggy G is gone.
Kitendo cha yeye Kum-acknowledge Kenyata kwamba ni undisputed King of Mount Kenya, Kitendo cha yeye kukiri kwamba Odinga was far way better than Ruto, tena kwenye recorded media, huko nyuma ya pazia inamaana kuna mengi yanaendelea.
Iyo motion ya kumuondoa Gachagua imeandaliwa na Ruto, na kuna uwezekano mkubwa sana ikafanikiwa, na itapofanikiwa, hiyo ndio ticket ya Ruto kutoka Ikulu 2027, maana waluo na wakikuyu wakicombine forces, hata afanyaje, hatoboi. Ruto anaamini 2027 atapata backup ya Raila, ila laila keshachokwa na waluo, na kwa kukubali hiyo post ya AU, waluo tayari washamuona miyeyusho.
Siasa ya Kenya iko wazi sana, predictable.