johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wewe ulikuwa unamjua Shujaa Ally Mohamed Kibao?Tuajaribu kutofautisha wapiga debe ambao mara nyingi ndio hao wenye elimu ya wastani na wanasiasa kwa ajili ya mikakati ,hawa wanamikakati ndio wanaojenga chama ,na wapige debe ndio wanaotangaza chama.
Mkuu kuna tofauti kubwa hapa ,chama ni lazima kiwe na wanasiasa wapanga mikakati(strategists) ,wanasiasa ambao kazi yako kubwa ni uenezi ndio hao ambao hawaitaji kuwa na elimu kubwa kwa maana wanapokea maelezo ya nini kifanyike kwa maelekezo wa wanamikakati.Huwezi kuwa mwanamikatiti mzuri kama huna elimu dunia mkuu.
Unamjua Mzee Nyaucho?
Wana mikakati huwa hawatajwi hovyo bwashee 😄