Sina Ndugu
JF-Expert Member
- Sep 24, 2024
- 378
- 604
Ukiyajua haya ni vyema ufocus kuwa bora wewe kama weweDonner Country š¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiyajua haya ni vyema ufocus kuwa bora wewe kama weweDonner Country š¤£
Hao wasomi walioko ccm wameisaidia nini Tanzania ambayo mpaka leo ni nchi maskiniTuajaribu kutofautisha wapiga debe ambao mara nyingi ndio hao wenye elimu ya wastani na wanasiasa kwa ajili ya mikakati ,hawa wanamikakati ndio wanaojenga chama ,na wapige debe ndio wanaotangaza chama.
Mkuu kuna tofauti kubwa hapa ,chama ni lazima kiwe na wanasiasa wapanga mikakati(strategists) ,wanasiasa ambao kazi yako kubwa ni uenezi ndio hao ambao hawaitaji kuwa na elimu kubwa kwa maana wanapokea maelezo ya nini kifanyike kwa maelekezo wa wanamikakati.Huwezi kuwa mwanamikatiti mzuri kama huna elimu dunia mkuu.
Si uliona wakati ule aliyekuwa Spika wa Bunge, Job Ndugai kutoa maoni yake kuwa huku tunakoelekea tunaelekea tutatumbukia shimoni, kutokana na mikopo mikubwa ya nje tunayochukua...........Bora hizo watu wanapeana makavu na nchi yao ina songa ,huko hakuna uchawa si unaona makamu anamzingua rais wake na fresh . Sasa njoo Stanza uone chawa walivyojaa.
Kwa nini mkuu? Mzee Kimei anayo CV kubwa sana Mangi.Ni kweli kipindi kile siasa za kimkakati zilikuwa vizuri sana.
Makupa nenda kamchallange Dr. Kimei Vunjo 2025 ndani ya Chama chako š¤£š¤£
Mangi kama mzee Mbowe mnasema ni tajiri huku Sugu ni biionaire wao walifanyaje hadi wakawa matajiri mkuu,au utajiri wao wameutoa kenya?Fanya kazi aisee ,achana na siasa za majitaka kama akina Lema.Hao wasomi walioko ccm wameisaidia nini Tanzania ambayo mpaka leo ni nchi maskini
Usitake kubadilisha mada kijanja Hao ccm na wasomi wote miaka zaidi ya 60+ wamesaidia nini nchi huku umaskini ukitamalaki kila konaMangi kama mzee Mbowe mnasema ni tajiri huku Sugu ni biionaire wao walifanyaje hadi wakawa matajiri mkuu,au utajiri wao wameutoa kenya?Fanya kazi aisee ,achana na siasa za majitaka kama akina Lema.
Jibu swala Mzee Mbowe na Sugu waliwezaji kuwa mabilionaire ?Usitake kubadilisha mada kijanja Hao ccm na wasomi wote miaka zaidi ya 60+ wamesaidia nini nchi huku umaskini ukitamalaki kila kona
Lakini hakuwa chaguo namba moja ndani ya chama waKwa nini mkuu? Mzee Kimei anayo CV kubwa sana Mangi.
Inanihusu nini mambo ya maisha yao binafsi hayanihusuJibu swala Mzee Mbowe na Sugu waliwezaji kuwa mabilionaire ?
Kwamba Bunge la speaker Justin Muturi lilikua Imara, right?š¤£Bunge la Kenya kipindi hiki sio imara sana kama Mahakama.
Spika wa bunge Moses Wetangula a.k.a Papa wa Roma naona
amekuwa dhaifu anaisikiliza sana serikali.
EnKwamba Bunge la speaker Justin Muturi lilikua Imara, right?š¤£
That is correct, lilikuwa na afadhali.Kwamba Bunge la speaker Justin Muturi lilikua Imara, right?š¤£
Na dada yao Waziri kafanya hivyo. Labda ndio utamaduni wao waHii haijakushangaza?
Pre GE2025 - Ruvuma: Naibu Waziri na Madiwani Mbinga wamshukuru Rais Samia kwa kuimba na kupiga magoti
Salam Wakuu, Aisee tunawasema akina Mwijaku kila mara kuwa chawa utafikiri hawana ubongo, kubwa zaidi ni viongozi wa CCM. Aisee, na Rais anashukuru kabisa, kukubali yeye kajenga miradi, yeye katoa hela, etc. Bila wananchi kulipa kodi zingtoka wapi? Pia soma...www.jamiiforums.com
Kwani za kwetu hazina mshangao?Siasa za Kenya kuna wakati zina shangaza sana sasa sijui ni kusalitiana au vipi?
Bunge la Kenya linataka kumkong'oa Naibu wa Rais wa Kenya Rigadhi Gachagua.
Naibu Rais huyo wa Kenya anakabiliwa na tuhuma za kuendeleza ukabila kwa watu wa mlima Kenya pia kutokuelewana na Raisi William Ruto.
Wanaeleza kuwa ni mara kadhaa naibu wa Rais Gachagua hajajudhuria hafla za Rais Ruto.
Siku za hivi karibuni pia Naibu Rais huyo alilalamika kuondolewa kwenye kundi la whatsapp la Raisi Ruto.
Gachagua na wandani wake wamelalamika kuwa pengine washauri wa Rais Ruto wanamshauri vibaya awadharua watu wa mlima Kenya ilihali wao ndio walimpigia kura nyingi.
Nini kinakushangaza kwenye Siasa za Kenya ?
katiba ya Kenya ni ya kuchochea fursa za uongozi kulingana na nguvu za kikabila na wingi wa kura za raisi....En
Lilikuwa na afadhali.
sure,Kwa kweli haliwezi kutokea š¤£
Kwa hiyo mkuu wewe ni muumini wa ndio mzee kwa kila kitukatiba ya Kenya ni ya kuchochea fursa za uongozi kulingana na nguvu za kikabila na wingi wa kura za raisi....
hata wairekebishe mara3000 hapatakua na ahuweni ya mapambano ya kila moja kujipiga kifua kwamba ndie anafaa zaidi ya mwingine, kua serikalini akionyesha mchango wa kura alizochangia ndio ikaundwa serikali..
Katiba gani hiyo kwanza,
eti governor wa Jimbo anamdindia rais au makamu wa rais wazi wazi hadharani? Mtafanya kazi ya wanainchi lini sasa?š
Kwa katiba mbovu ya Kenya,Kwa hiyo mkuu wewe ni muumini wa ndio mzee kwa kila kitu
hata kama unaona sio sawa.
Sidhani mbona huku Speaker alivuliwa uspeaker wake nasure,
katiba mpya ya 2010 ya Kenya ni useless sana...
eti rais anaweza kupoka majukumu ya Naibu wa Rais akampatia waziri, huko si ni kuchochea vita na uhasama ndani ya serikali?š
ndio uone mabunge yenye nguvu yalivyo sasa lakin sio Kenya. Tz hakuna chochote cha kujifunza kenya šSidhani mbona huku Speaker alivuliwa uspeaker wake na
na tupo vizuri tu.