johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wewe ulikuwa unamjua Shujaa Ally Mohamed Kibao?Tuajaribu kutofautisha wapiga debe ambao mara nyingi ndio hao wenye elimu ya wastani na wanasiasa kwa ajili ya mikakati ,hawa wanamikakati ndio wanaojenga chama ,na wapige debe ndio wanaotangaza chama.
Mkuu kuna tofauti kubwa hapa ,chama ni lazima kiwe na wanasiasa wapanga mikakati(strategists) ,wanasiasa ambao kazi yako kubwa ni uenezi ndio hao ambao hawaitaji kuwa na elimu kubwa kwa maana wanapokea maelezo ya nini kifanyike kwa maelekezo wa wanamikakati.Huwezi kuwa mwanamikatiti mzuri kama huna elimu dunia mkuu.
Hapo nimekupata vizuri ni kweli ni muhimu sana kwenyeTuajaribu kutofautisha wapiga debe ambao mara nyingi ndio hao wenye elimu ya wastani na wanasiasa kwa ajili ya mikakati ,hawa wanamikakati ndio wanaojenga chama ,na wapige debe ndio wanaotangaza chama.
Mkuu kuna tofauti kubwa hapa ,chama ni lazima kiwe na wanasiasa wapanga mikakati(strategists) ,wanasiasa ambao kazi yako kubwa ni uenezi ndio hao ambao hawaitaji kuwa na elimu kubwa kwa maana wanapokea maelezo ya nini kifanyike kwa maelekezo wa wanamikakati.Huwezi kuwa mwanamikatiti mzuri kama huna elimu dunia mkuu.
Ahaaa haaa alitamka hadharini kwamba Kenyatta ni Kingpin waRiggy G is gone.
Kitendo cha yeye Kum-acknowledge Kenyata kwamba ni undisputed King of Mount Kenya, Kitendo cha yeye kukiri kwamba Odinga was far way better than Ruto, tena kwenye recorded media, huko nyuma ya pazia inamaana kuna mengi yanaendelea.
Iyo motion ya kumuondoa Gachagua imeandaliwa na Ruto, na kuna uwezekano mkubwa sana ikafanikiwa, na itapofanikiwa, hiyo ndio ticket ya Ruto kutoka Ikulu 2027, maana waluo na wakikuyu wakicombine forces, hata afanyaje, hatoboi. Ruto anaamini 2027 atapata backup ya Raila, ila laila keshachokwa na waluo, na kwa kukubali hiyo post ya AU, waluo tayari washamuona miyeyusho.
Siasa ya Kenya iko wazi sana, predictable.
Nchi yao inasonga kwenda wapi!?..vurugu za kisiasa kila siku kabla na baada ya uchaguzi,kujilisha hawaweziBora hizo watu wanapeana makavu na nchi yao ina songa ,huko hakuna uchawa si unaona makamu anamzingua rais wake na fresh . Sasa njoo Stanza uone chawa walivyojaa.
katiba yao mbovu sana 🐒Siasa za Kenya kuna wakati zina shangaza sana sasa sijui ni
kusalitiana au vipi?
Bunge la Kenya linataka kumkong'oa Naibu wa Raisi wa Kenya
Rigadhi Gachagua.
Naibu Raisi huyo wa Kenya anakabiliwa na tuhuma za kuendeleza
ukabila kwa watu wa mlima Kenya pia kutokuelewana na Raisi William Ruto.
Wanaeleza kuwa ni mara kadhaa naibu wa Raisi Gachagua hajajudhuria hafla
za Raisi Ruto.
Siku za hivi karibuni pia Naibu Raisi huyo alilalamika kuondolewa
kwenye kundi la whatsapp la Raisi Ruto.
Gachagua na wandani wake wamelalamika kuwa pengine
washauri wa Raisi Ruto wana mshauri vibaya awadharua watu
wa mlima Kenya ilihali wao ndio walimpigia kura nyingi.
Nini kinakushangaza kwenye Siasa za Kenya ?
Mbovu tena mkuu wakati ni miongoni mwa katiba bora barani Afrikakatiba yao mbovu sana 🐒
Imeundwa 2010,Mbovu tena mkuu wakati ni miongoni mwa katiba bora barani Afrika
Wapo kwenye Uongozi wa Chama ?Wewe ulikuwa unamjua Shujaa Ally Mohamed Kibao?
Unamjua Mzee Nyaucho?
Wana mikakati huwa hawatajwi hovyo bwashee 😄
Na ndio wakati upinzani ulikuwa juu kuliko kipindi chochote kile tangia uwepo wa siasa za ushindaniHapo nimekupata vizuri ni kweli ni muhimu sana kwenye
kusuka mikakati na mipango nadhani kipindi kile
cha akina Wakili Masumbuko Lamwai, Wakili Mabere
Marando, Dr. Wilbroad Slaa na Prof Mwesiga Baregu
walisaidia sana upinzani kwenye mikakati.
Chama chochote kina uongozi wa aina mbiliWapo kwenye Uongozi wa Chama ?
Kwa kweli haliwezi kutokea 🤣Imeundwa 2010,
Tangu hapo Rais na Naibu wake wamewahi kuongoza Kenya bila kutofautiana na kua na uhasama? Lini?
unadhni kwa katiba yetu bora hivi hilo linaweza kutokea Tz?🐒
Ni kweli kipindi kile siasa za kimkakati zilikuwa vizuri sana.Na ndio wakati upinzani ulikuwa juu kuliko kipindi chochote kile tangia uwepo wa siasa za ushindani
Bunge la Kenya kipindi hiki sio imara sana kama Mahakama.Mihimili ya Serikali kufanya kazi pamoja ndio tatizo linapoanzia ...
Kila mhimili unapaswa kusimama kivyake kua na sheria zake ..
Hilo ndio tatizo mkuuBunge la Kenya kipindi hiki sio imara sana kama Mahakama.
Spika wa bunge naona anasikiliza sana serikali.
Ila tunasema mihimili ya nchi sio ya serikali, serikali ni mojawapoMihimili ya Serikali kufanya kazi pamoja ndio tatizo linapoanzia ...
Kila mhimili unapaswa kusimama kivyake kua na sheria zake ..
Ila bado ana afadhali kuliko Spika wa nchi ilee....Hilo ndio tatizo mkuu
Sahihi mkuu, umeona mbaliiIla tunasema mihimili ya nchi sio ya serikali, serikali ni mojawapo
ya mihilmili hiyo.
Nchi ya ahadiIla bado ana afadhali kuliko Spika wa nchi ilee....
Donner Country 🤣Nchi ya ahadi