Siasa za Kenya ni za kushangaza sana

Wewe ulikuwa unamjua Shujaa Ally Mohamed Kibao?

Unamjua Mzee Nyaucho?

Wana mikakati huwa hawatajwi hovyo bwashee 😄
 
Hapo nimekupata vizuri ni kweli ni muhimu sana kwenye

kusuka mikakati na mipango nadhani kipindi kile
cha akina Wakili Masumbuko Lamwai, Wakili Mabere
Marando, Dr. Wilbroad Slaa na Prof Mwesiga Baregu
walisaidia sana upinzani kwenye mikakati.
 
Ahaaa haaa alitamka hadharini kwamba Kenyatta ni Kingpin wa

watu mlima 😅😅🤣. Nadhani ile Limuru 3 ndio ilimueka Riggy G karibu na
Kenyatta na viongozi wengine wa Mount Kenya.

Riggy G kijana wa Nyeri kakalia kuti kavu 🤣🤣. Umechambua

Vizuri siasa za Kenya mkuu hongera sana.
 
Bora hizo watu wanapeana makavu na nchi yao ina songa ,huko hakuna uchawa si unaona makamu anamzingua rais wake na fresh . Sasa njoo Stanza uone chawa walivyojaa.
Nchi yao inasonga kwenda wapi!?..vurugu za kisiasa kila siku kabla na baada ya uchaguzi,kujilisha hawawezi
 
katiba yao mbovu sana 🐒
 
Mbovu tena mkuu wakati ni miongoni mwa katiba bora barani Afrika
Imeundwa 2010,
Tangu hapo Rais na Naibu wake wamewahi kuongoza Kenya bila kutofautiana na kua na uhasama? Lini?

unadhni kwa katiba yetu bora hivi hilo linaweza kutokea Tz?🐒
 
Hapo nimekupata vizuri ni kweli ni muhimu sana kwenye

kusuka mikakati na mipango nadhani kipindi kile
cha akina Wakili Masumbuko Lamwai, Wakili Mabere
Marando, Dr. Wilbroad Slaa na Prof Mwesiga Baregu
walisaidia sana upinzani kwenye mikakati.
Na ndio wakati upinzani ulikuwa juu kuliko kipindi chochote kile tangia uwepo wa siasa za ushindani
 
Mihimili ya Serikali kufanya kazi pamoja ndio tatizo linapoanzia ...

Kila mhimili unapaswa kusimama kivyake kua na sheria zake ..
 
Imeundwa 2010,
Tangu hapo Rais na Naibu wake wamewahi kuongoza Kenya bila kutofautiana na kua na uhasama? Lini?

unadhni kwa katiba yetu bora hivi hilo linaweza kutokea Tz?🐒
Kwa kweli haliwezi kutokea 🤣
 
Na ndio wakati upinzani ulikuwa juu kuliko kipindi chochote kile tangia uwepo wa siasa za ushindani
Ni kweli kipindi kile siasa za kimkakati zilikuwa vizuri sana.

Makupa nenda kamchallange Dr. Kimei Vunjo 2025 ndani ya Chama chako 🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…