Kenya 2022 Siasa za Kenya: Rais Uhuru Kenyatta atangaza rasmi kumuunga mkono Raila Odinga uchaguzi mkuu, August - 2022

Kenya 2022 Siasa za Kenya: Rais Uhuru Kenyatta atangaza rasmi kumuunga mkono Raila Odinga uchaguzi mkuu, August - 2022

Kenya 2022 General Election

The Palm Tree

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2013
Posts
7,951
Reaction score
12,541
Ni ajabu na kweli...

Na kwa wafuatiliaji wa siasa zà Kenya, hivi Kenyatta na Odinga wanatokea chama kimoja cha siasa au ni wanachama wa vyama tofauti...?

Anyway, vyovyote iwavyo. Ila iko hivi;

Kwamba, kwa mujibu wa taarifa ya habari ya leo saa 2 usiku huu ya ITV - Tanzania, Uhuru Kenyatta ametangaza rasmi kumuunga mkono hasimu wake mkubwa wa kisiasa mzee Rails Odinga katika uchaguzi mkuu nchini humo utakaofanyika mwezi August, 2022.

Kwani hapa TZ hili haliwezekani? Nani atashangaa iwapo mwaka 2025 Rais Samia Suluhu Hassan [CCM] akawashangazà wana CCM kwa kumuunga mkono Freeman Mbowe au Tundu Lissu [CHADEMA]?
 
Ruto alikurupuka sana kumletea Kenyatta ujuaji, akaacha kufanya majukumu yake ya makamu wa Rais akaanza kampeni, hiki ndicho kilichomkera Kenyata hadi ameamua kumwaga mboga na ugali, namuona Odinga njia nyeupe kuwa Rais wa Kenya jana alifunika sana Mombasa.
Uhuru yupo radhi kuiba kura Raila ashinde. Pole kwa Ruto itabidi asubiri tena.
 
View attachment 2128911
Ni ajabu na kweli...

Na kwa wafuatiliaji wa siasa zà Kenya, hivi Kenyatta na Odinga wanatokea chama kimoja cha siasa au ni wanachama wa vyama tofauti...?

Anyway, vyovyote iwavyo. Ila iko hivi;

Kwamba, kwa mujibu wa taarifa ya habari ya leo saa 2 usiku huu ya ITV - Tanzania, Uhuru Kenyatta ametangaza rasmi kumuunga mkono hasimu wake mkubwa wa kisiasa mzee Rails Odinga katika uchaguzi mkuu nchini humo utakaofanyika mwezi August, 2022...

Kwani hapa TZ hili haliwezekani? Nani atashangaa iwapo mwaka 2025 Rais Samia Suluhu Hassan [CCM] akawashangazà wana CCM kwa kumuunga mkono Freeman Mbowe au Tundu Lissu [CHADEMA]...?
Kama Bond ya Raila na Uhuru haina msukumo wa nchi za kigeni inawezekana Raila anavishwa kilemba cha ukoka ni kawaida sana unafiki baina ya marafiki kisiasa huko Kenya ngoja tuone yajayo
 
Let wait and see.,..... Odinga na kibaki odinga alisalitiwa mchana kweupeee, moi na odinga vivyo hivyo
 
..Kenyatta ni bangi kwelikweli.

..Ni ajabu kwa Raisi anayetoka madarakani kutokumuunga mkono makamu wake ambaye anayejaribu kuwa Raisi.
 
View attachment 2128911
Ni ajabu na kweli...

Na kwa wafuatiliaji wa siasa zà Kenya, hivi Kenyatta na Odinga wanatokea chama kimoja cha siasa au ni wanachama wa vyama tofauti...?

Anyway, vyovyote iwavyo. Ila iko hivi;

Kwamba, kwa mujibu wa taarifa ya habari ya leo saa 2 usiku huu ya ITV - Tanzania, Uhuru Kenyatta ametangaza rasmi kumuunga mkono hasimu wake mkubwa wa kisiasa mzee Rails Odinga katika uchaguzi mkuu nchini humo utakaofanyika mwezi August, 2022...

Kwani hapa TZ hili haliwezekani? Nani atashangaa iwapo mwaka 2025 Rais Samia Suluhu Hassan [CCM] akawashangazà wana CCM kwa kumuunga mkono Freeman Mbowe au Tundu Lissu [CHADEMA]...?


Mungu ana mipango yake, mwaweza kupanga mipango weee!! Mwisho wa siku anayumbisha kete bila wahusika kujua, wakenya wameingia mtegoni kama wamarekani walivyoingia 2012, kwamba wampe nchi kichaa Trump au Mrs Clinton (female president)
 
Kenya waketuacha Mbali sana sana Karne nzima kisiasa.
Wakati Kenya imeepukana na ukabila na Udini na Ukanda ambao uliwasumbua Kwa muda mrefu chini ya Katiba ya kijinga inayolea utawala wa kidikteta na uchama Dola KANU, sisi chini ya CCM ndio asubuhi kabisa watu wanaendekeza UCCM,uchadema ,uACT, ujamaa feki ,ubepari uchwara, ukabila Ukanda,Udini,ujinsia,ujana ,uprofesa ,uDr ,darasa la Saba,udigree na ujinga mwingi unaotugawa wakati Mwalimu alijitahidi kiasi Fulani kutuambia kuwa tuungane na kuwa kitu kimoja.

Kenya Chini ya Katiba Mpya ukabila unafutika Kwa Kasi ya ajabu . Anachaguliwa mtu sio Kabila au dini yake .

Tanzania Chini ya Katiba ya maslahi tuliyonayo tunalea janga baya sana linalozidi kutugawa japo wachache wanafurahia mana kwao umoja wa watanzania sio shida alimradi wapate madaraka. Rais akiwa na madaraka makubwa sana anaweza akajenga hata mfumo wa familia yake kufanya anachotaka bila kuulizwa na yeyote. Bunge limewekwa mfukoni, Mahakama pia na vyombo vya Dola. Kila taasisi ipo chini ya mtu mmoja anayeteua nafasi zote zenye maslahi makubwa.Nani asiyetaka kuwa Jaji Akatajirika haraka haraka na mbaya zaidi wanateuliwa Vijana ambao wanamatamanio Mengi hivyo wanapenda sifa na kuwa na Mali na anasa za kila aina. Nani asiyetaka vyeo vikubwa kwenye vyombo vya Dola. Nani asiyetaka Ubunge wa kupewa Kwa nguvu ya Dola. Nani anayetaka biashara zake zifilisiwe?
Akitokea Rais mwenye hulka ya Ukanda ule wa akina Museveni na Kagame akajichomeka hapa Tanzania Chini ya Katiba hii tuliyonayo tutalia na kusaga meno. Ni rahisi sana kutumia katiba hii na kuipeleka nchi unakotaka. Ukitaka kuleta Udini ni rahisi sana. Ukitaka ukabila ni rahisi sana hasa Kwa makabila makubwa kama Wamasai,wasukuma,wachaga,wanyakyusa,Wangoni, Wagogo ,Wairaki na jamii yao n.k. Ni rahisi sana. Unaweka chawa wengi halafu unateua marafiki, unateua wa mrengo unaoutaka kuanzia kwenye Dola mpaka bungeni. Anayeleta chokochoko anapewa kesi ya Ugaidi na kufilisiwa. Akienda mahakamani anakutana na Jaji aliyepewa offer ya ujaji ili ale maisha. Ukienda Polisi unakutana na wanaoahidiwa uIGP wa Mchongo .
Ukienda bungeni unakutana na wabunge wa kupewa sio kuchaguliwa. Unaamua TU uitawale nchi kibabe, kidini ,kikabila ,kikanda, kirafiki,kifisadi ,Kijamaa,kibepari n.k. utakavyoona inafaa.

Katiba Mpya ni muhimu sana. Mtu mwenye sifa Bora atapata uongozi TU kupitia Chama chochote. Huu ujinga wa katiba chakavu wa kupata viongozi wabovu Kwa kubebwa na Dola na vyama chini ya chaguzi zilizojaa rushwa inabidi tuachane nao.

Tupate Katiba mpya ili tushindanishe hoja,uwezo na maono ya mtu sio ujinga ule wa kampeni kupambwa na nyimbo za wasanii na vijembe badala ya sere ,midahalo n k.
 
Uhuru yupo radhi kuiba kura Raila ashinde. Pole kwa Ruto itabidi asubiri tena.
Hayo makabila mawili yakiungana Uhuru na Raila kumpigia kura Raila, na nguvu za kimamlaka alizonazo Kenyata kwa sasa, Ruto hana namna tena ya kushinda urais wa Kenya, wakenya wasije kuchinjana tu.

Kenyata nimemsikia BBC anasema wazi yeye sio mnafiki akisema neno halibadilishi kila atapokwenda atarudia neno hilo hilo, maana yake Kenyata atabaki na Raila mpaka mwisho wa kampeni.
 
View attachment 2128911
Ni ajabu na kweli...

Na kwa wafuatiliaji wa siasa zà Kenya, hivi Kenyatta na Odinga wanatokea chama kimoja cha siasa au ni wanachama wa vyama tofauti...?

Anyway, vyovyote iwavyo. Ila iko hivi;

Kwamba, kwa mujibu wa taarifa ya habari ya leo saa 2 usiku huu ya ITV - Tanzania, Uhuru Kenyatta ametangaza rasmi kumuunga mkono hasimu wake mkubwa wa kisiasa mzee Rails Odinga katika uchaguzi mkuu nchini humo utakaofanyika mwezi August, 2022...

Kwani hapa TZ hili haliwezekani? Nani atashangaa iwapo mwaka 2025 Rais Samia Suluhu Hassan [CCM] akawashangazà wana CCM kwa kumuunga mkono Freeman Mbowe au Tundu Lissu [CHADEMA]...?
Wewe hii history hujaipata sawasawa,tembelea vyombi vya habari vya kenya na wachambuzi wa siasa kama lee makwiny na prof mutahi ngunyi utaona maajabu,vituko vya kila aina

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kenya waketuacha Mbali sana sana Karne nzima kisiasa.
Wakati Kenya imeepukana na ukabila na Udini na Ukanda ambao uliwasumbua Kwa muda mrefu chini ya Katiba ya kijinga inayolea utawala wa kidikteta na uchama Dola KANU, sisi chini ya CCM ndio asubuhi kabisa watu wanaendekeza UCCM,uchadema ,uACT, ujamaa feki ,ubepari uchwara, ukabila Ukanda,Udini,ujinsia,ujana ,uprofesa ,uDr ,darasa la Saba,udigree na ujinga mwingi unaotugawa wakati Mwalimu alijitahidi kiasi Fulani kutuambia kuwa tuungane na kuwa kitu kimoja.

Kenya Chini ya Katiba Mpya ukabila unafutika Kwa Kasi ya ajabu . Anachaguliwa mtu sio Kabila au dini yake .

Tanzania Chini ya Katiba ya maslahi tuliyonayo tunalea janga baya sana linalozidi kutugawa japo wachache wanafurahia mana kwao umoja wa watanzania sio shida alimradi wapate madaraka. Rais akiwa na madaraka makubwa sana anaweza akajenga hata mfumo wa familia yake kufanya anachotaka bila kuulizwa na yeyote. Bunge limewekwa mfukoni, Mahakama pia na vyombo vya Dola. Kila taasisi ipo chini ya mtu mmoja anayeteua nafasi zote zenye maslahi makubwa.Nani asiyetaka kuwa Jaji Akatajirika haraka haraka na mbaya zaidi wanateuliwa Vijana ambao wanamatamanio Mengi hivyo wanapenda sifa na kuwa na Mali na anasa za kila aina. Nani asiyetaka vyeo vikubwa kwenye vyombo vya Dola. Nani asiyetaka Ubunge wa kupewa Kwa nguvu ya Dola. Nani anayetaka biashara zake zifilisiwe?
Akitokea Rais mwenye hulka ya Ukanda ule wa akina Museveni na Kagame akajichomeka hapa Tanzania Chini ya Katiba hii tuliyonayo tutalia na kusaga meno. Ni rahisi sana kutumia katiba hii na kuipeleka nchi unakotaka. Ukitaka kuleta Udini ni rahisi sana. Ukitaka ukabila ni rahisi sana hasa Kwa makabila makubwa kama Wamasai,wasukuma,wachaga,wanyakyusa,Wangoni, Wagogo ,Wairaki na jamii yao n.k. Ni rahisi sana. Unaweka chawa wengi halafu unateua marafiki, unateua wa mrengo unaoutaka kuanzia kwenye Dola mpaka bungeni. Anayeleta chokochoko anapewa kesi ya Ugaidi na kufilisiwa. Akienda mahakamani anakutana na Jaji aliyepewa offer ya ujaji ili ale maisha. Ukienda Polisi unakutana na wanaoahidiwa uIGP wa Mchongo .
Ukienda bungeni unakutana na wabunge wa kupewa sio kuchaguliwa. Unaamua TU uitawale nchi kibabe, kidini ,kikabila ,kikanda, kirafiki,kifisadi ,Kijamaa,kibepari n.k. utakavyoona inafaa.

Katiba Mpya ni muhimu sana. Mtu mwenye sifa Bora atapata uongozi TU kupitia Chama chochote. Huu ujinga wa katiba chakavu wa kupata viongozi wabovu Kwa kubebwa na Dola na vyama chini ya chaguzi zilizojaa rushwa inabidi tuachane nao.

Tupate Katiba mpya ili tushindanishe hoja,uwezo na maono ya mtu sio ujinga ule wa kampeni kupambwa na nyimbo za wasanii na vijembe badala ya sere ,midahalo n k.

Hapo kwenye suala la ukabila hoja yako haina mashiko. Katiba ya Kenya ya sasa haijatatua tatizo la ukabila. Ndio maana wakapendekeza mpango wa BBI (kama unajua ni nini). Hata ukifuatilia kampeni za uchaguzi mkuu zinazoendelea sasa, utagundua kwamba ukabila ndio unaendesha siasa za Kenya kwa kiasi kikubwa.

Kwa upande mwingine, katiba ya sasa ya Tanzania ina misingi imara sana ya umoja wa kitaifa. Ni kweli ina mapungufu mengi na inahitaji mabadiliko makubwa, lakini ndiyo inayotufanya tusiwe na mawazo ya kikabila kwa kiwango kikubwa.
 
Ruto alikurupuka sana kumletea Kenyatta ujuaji, akaacha kufanya majukumu yake ya makamu wa Rais akaanza kampeni, hiki ndicho kilichomkera Kenyata hadi ameamua kumwaga mboga na ugali, namuona Odinga njia nyeupe kuwa Rais wa Kenya jana alifunika sana Mombasa.
Sio rahisi kiivo , Ruto naye ana watu !
It all boils down to ukabila , but lets wait and see.
 
Hapo kwenye suala la ukabila hoja yako haina mashiko. Katiba ya Kenya ya sasa haijatatua tatizo la ukabila. Ndio maana wakapendekeza mpango wa BBI (kama unajua ni nini). Hata ukifuatilia kampeni za uchaguzi mkuu zinazoendelea sasa, utagundua kwamba ukabila ndio unaendesha siasa za Kenya kwa kiasi kikubwa.

Kwa upande mwingine, katiba ya sasa ya Tanzania ina misingi imara sana ya umoja wa kitaifa. Ni kweli ina mapungufu mengi na inahitaji mabadiliko makubwa, lakini ndiyo inayotufanya tusiwe na mawazo ya kikabila kwa kiwango kikubwa.
Tanzania hatuwezi kuwa na vita ya ukabila kwa sababu tuna makabila mengi sana pengine kuliko nchi yoyote Africa .
 
Kikwete vs Lowassa 2015.Pole kwa Ruto kwa kuzidiwa akili na Kenyata.


Wakikuyu hawaaminiki kama ambavyo wakenya kwa ujumla sio watu wa kauli za ndiyo yao ni ndiyo kweli.

Kenyatta sr alimtosa Odinga sr, Kibaki akasaidiwa na Raila kuwa Rais nae akamtosa Raila.

Ruto nae anatoswa na Uhuru mchana peupe, kama Raila atapata kwenye uzee huu japo huko nyuma alikuwa hatangazwi rasmi na tume, sio mbaya; kaupigania na kuutafuta Urais kwa nguvu na miaka mingi kweli.
 
Back
Top Bottom