Kenya 2022 Siasa za Kenya: Rais Uhuru Kenyatta atangaza rasmi kumuunga mkono Raila Odinga uchaguzi mkuu, August - 2022

Kenya 2022 General Election
..Kenyatta ni bangi kwelikweli.

..Ni ajabu kwa Raisi anayetoka madarakani kutokumuunga mkono makamu wake ambaye anayejaribu kuwa Raisi.
Ni ajabu kwa katiba yetu ! Huko duniani kwenye katiba za maslahi ya wanachi sio ajabu.
Uhuru ana practice the best of their constitution, ! Freedom, ! Huku kwetu move kama hiyo haiwezekani

Caged birds , think that flying is an illness!
 

Kama sio Ruto uhuru asingekuwa rais.
 
Ukabila unakumbatuwa siku zote na udikteta kama haujui Hilo. Kwenye Demokrasia ukabila unatoweka wenyewe.
Na Demokrasia ni zao la katiba Bora.

Hivi unajua Kenya ilikotoka chini ya Katiba ya Chama kushika hatamu na kila mtu kufuata Nyayo chini ya KANU?

Kwa Sasa wapo mbali sana. Uhuru Mkikuyu asingeweza kueleweka Kwa wakikuyu Kwa kumsapoti Raila Mjaluo.
Kuundwa Kwa BBI ni matokeo ya Katiba Bora ambayo Kwa kiwango kikubwa ilikubaliwa na waKenya wengi.

Tukubali Kwa Ile Kenya ya zamani Kwa Sasa imebadilika sana. Ukabila ulikua ni mbaya mana uliingia mpaka kwenye vyombo vya Dola.
Wakati wenzetu wamejitahidi kuhama Huko kwetu tunaelekea Huko na tunakwenda Kwa kusuasua Lakini ni wazi tunaelekea kwenye ukabila. Katiba inayompa Rais mamlaka makuba ni lazima iendane na ama Ukabila au Udini au Ukanda mana nguvu ya kuteua na kutengua ni lazima iendane na upande wa kutegemea Vinginevyo unaweza ukahujumiwa.

Lakini katiba iliyompunguzia mamlaka Rais inaipa mihimili mingine nguvu ya kuhimili misukiosuka ya kisheria na kisiasa.

Hivi katiba ya kifalme inampa inaendesha nchi ama kikanda au kidini au kikabila full stop. Kagame watoto wake anawapa position za juu kwenye vyombo vya Dola hakuna wa kuhoji, Museveni n.k. Lakini Katiba ya Kenya Rais hawezi kuendelea wakikuyu nakuwaacha makabila mengine, ataulizwa na hata kushtakiwa.


Hali hiyo inampa nafasi ya kusimamia haki bila kutegemea kabila Moja .

Ili utawale bila kukosolewa ni lazima uwe na nguvu ndani ya Dola yenye watu wa upande wako zaidi. Ili wengine waogope kwenda kinyume na wewe. Unaweza ukaengemea kwenye Udini ,ukabila au Ukanda.
Kuna awamu ilishambuliwa sana Kwa ukabila lakini ilifanya vile ili iwanyooshe watu. Unajipanga mpaka chini. Kila idara ili wasaliti waonekane mapema.Yote ni nguvu ya Katiba inayotoa mwanya wa kuteua kila mtu kwenye nafasi ya juu.

Ukabila unatakiwa udhibitiwe na sio eti sisi watanzania hatuna. Ukabila Kwa wananchi huku chini haupo lakini watawala wanautumia sana ili wajihakikishie kuwa wanapata kura.
Bahati mbaya wanaofanya hayo katiba inawalinda.

Angalia ishu ya Wamasai kule Ngorongoro. Woga ni ukabila unaotumika badala ya hoja. Watu wanatumia ukabila kisiasa badala ya hoja za kitaalam na za kimaendeleo.

Kenya tunajua ilipotoka na ilipo.
Watu maarufu wa makabila mengine walikua wanauawa sana ili TU Wakikuyu wasipate wapinzani ndani ya Dola. Moi aliwekwa kimkakati TU lakini Dola yote ilikua ni ya Wakikuyu. Ajira ndani ya vyombo vya Dola kipao mbele ilikua ni wakikuyu. Sasa Kenya imebadilika sana ni lazima tuwasifu. Watanzania tulikuwa pazuri lakini tunapuuza Misingi ya kuimarisha umoja ambayo ni katiba inayotambua ushindani wa haki kisiasa.

Umoja wetu ulikua wakati wa Chama kimoja na katiba yake.
Sasa Kuna vyama vingi na lengo ni kuingia madarakani unategemea Nini Kwa Watawala kama sio kutumia katiba inayowapa nguvu kuendelea kutawala na kudhibiti wapinzani wao.Hapo lazima waangalie mbinu za kudhibiti Dola. Mbinu Moja wapo ni ukabila ,Udini na Ukanda, mpaka umri Sasa ni kigezo Cha kuvuta chawa wadumu.
 
Mimi navyoona Uhuru na Ruto wametengeneza mgogoro fake Udinga atakuja kushituka Ruto yuko Ikulu siasa ni sayansi ya kucheza na akili za watu
 
Basi hapo ndio unajiona umeandika kizungu kabisa, duh.
Kwa katiba iliyopo ni ngumu sana kukwapua kura za Raila labda kura zisitoshe.

Jamii mara nyingi haipendi uhuni wa kisiasa. Wanaonufaika na uhuni wa kisiasa ni kakundi ka watu wasiozidi 2000. Hao wanaleta propaganda za kihuni Kwa maslahi yao.
 
Raila na Jomo (The Fathers walitokea mbali) hizi familia zina historia ni basi tu hapa katikati kupishana..., kwahio sio Ajabu...
 
Ruto alitaka kumuua kenyatta, ndege sliyotaka kupanda uhuru ilikua iangukesasa Raila ndo akamvuta pembeni uhuru na kumtonya asipande ile ndege toka hapo nasikia ndo ikawa bifu la ukweli,
Kama lowasa alipoona JK atagombea awamu ya pili wakati makubaliano ilikua waachiane(sidhani kama kweli),na lowasa akaanzisha harakati za kutaka awe mwenyekitiwa ccm, zikazimwa.
Ruto nae alikuwa na agreement na uhuru uli waachiane term, na uhuru akavunja makubaliano
 
Nonsense
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…