Kenya 2022 Siasa za Kenya: Rais Uhuru Kenyatta atangaza rasmi kumuunga mkono Raila Odinga uchaguzi mkuu, August - 2022

Kenya 2022 General Election
Tanzania hatuwezi kuwa na vita ya ukabila kwa sababu tuna makabila mengi sana pengine kuliko nchi yoyote Africa .
Jaribu kufuatilia habari kijana.

Tanzania ina makabila yasiyozidi 130,. Congo DRC ina makabila 680. Mali ina makabila 720. Ivory Coast ina makabila 350. Kwahiyo usilishwe pumba na media za CCM kwamba Tanzania ina makabila mengi kuliko nchi zote barani Africa.
 

Nashangaa Sana mnaposema : Nairobi VS Dar es salaam

Hawa watu wanatushinda kila kitu
 
Congo drc ina lugha na lahaja 700 plus , sio makabila !
Wachaga tu hapa wana lugha zaidi ya 10 na ni kabila moja
Wazaramo nao wana lahaja zao kadhaa na ni kabila moja

Sent from my RMX3085 using JamiiForums mobile app
 
Kwamba Samia aje kuunga mkono upinzani kwa siasa za Tanzania ? Kwa katiba hii hii yetu?
Covid 19 wansurvive bungeni kwa matamko tu , wanna know why?

Uhuru ni mkikuyu leo hii anamuunga mkono Jaluo, sio kwa kupenda , bali katiba yao kwa sasa imeondoa madaraka makubwa kwa Rais, hana la kufanya zuri zaidi ya kulinda maslahi mapana ya nchi yake .

Ukabila unaenda kupotea kenya ,

Sent from my RMX3085 using JamiiForums mobile app
 
Mwacheni odinga nae ashinde tu aiseh!! kipindi kile alishinda sema tu kenyatta alitumwa dola kubaki madarakani!!

O
Kwa Tanzania hopefully, itatokea pia....

Wako wawili ambao safari zao kisiasa zinafanana na Mzee Raila Odinga Odinga....

1. Urais Zanzibar alikuwepo gwiji la siasa za Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad (bahati mbaya ni marehemu). Obviously, angekuwa hai bila shaka Mwinyi Jr, angemuunga mkono mwaka 2025 the same way Uhuru Kenyatta kafanya kwa Odinga...

2. Kwa u - Rais wa Tanganyika & JMT yupo Prof. Ibrahimu Lipumba mwenye rekodi ya kugombea mara nyingi bila mafanikio. Kilichoharibu integrity ya Prof Lipumba kama mwanasiasa nguli wa upinzani ni kuuza utu wake kwa shekeli kwa mawakala wa shetani - CCM

Kwa sasa tuna wanasiasa wawili ama watatu tu Tanzania walio upande wa tabaka la wananchi wa kawaida dhidi ya tabaka la watawala wanyonyaji na wakandamizaji chini ya CCM.....

Hawa ndiyo tunaoweza kuwatazama, kuwasikiliza na kuwaamini kwa lolote wasemalo na kuelekeza;

1. Tundu Antipas Mughway Lissu [CHADEMA]

2. Freeman Aikael Mbowe [CHADEMA]

3. Zitto Zubeir Ruyagwa Kabwe [ACT - Wazalendo] japo huyu kwa kiasi Fulani kwa mujibu wa jamii, integrity yake is little bit questionable & compromising....

However, to me, I still believe, Zitto Kabwe has a great chance to be Raila Odinga of Tanzania if only he stop thinking about himself - selfishness...!
 
Comment bora ya mwaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…