Siasa za Kijungu Jiko, Penye Uzia, Penyeza Rupia!. Hakuna Mkate Mgumu Mbele ya Chai!, Hata Uwe Mgumu Vipi, Mbele ya Chai/Rupia, Lazima Utalainika!

Siasa za Kijungu Jiko, Penye Uzia, Penyeza Rupia!. Hakuna Mkate Mgumu Mbele ya Chai!, Hata Uwe Mgumu Vipi, Mbele ya Chai/Rupia, Lazima Utalainika!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi
Waswahili wana vijineno neno vyao, ukivisikia unaweza kuviona ni kama vineno vya Utani!.

Moja ya vineno hivyo ni "Penye Uzia Penyeza Rupia!" na "hakuna mkate mgumu mbele ya chai".

Siasa zetu ni siasa za kijungu jiko, yaani siasa za hand to mouth kwa kutegemea ruzuku!. Hizi ni siasa za kimasikini!.

Kwanza niliwahi kusema hivi kuhusu ruzuku kwa vyama vya siasa Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola!, Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla !., kisha nikashauri hivi Ruzuku kwa vyama vya Siasa: Mnaonaje tumshauri Rais Magufuli aifutilie mbali ruzuku hii? Ni ufisadi

Chadema waliposusa kuwa hawautambui uchaguzi, hawayatambui matokeo, hawalitambui Bunge na hawamtambui mshindi halali, niliwashauri huko ni kushupaza tuu shingo CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

Leo nimepokea taarifa, hii kutokea twitwani
Kisha nikasoma na bandiko hili humu JF Tundu Lissu: CHADEMA tumeanza kupokea Ruzuku

Chadema wameufuata ushauri wa bandiko hili, waneacha ujinga wa kujifanya hawayatambui matokeo ya uchaguzi wa 2020!, sasa wameacha kushupaza shingo, wameyatambua matokeo kimya kimya!, wamewasamehe mashujaa hawa kimya kimya msamaha ambao utatangazwa rasmi siku ya Jumatano tarehe 8 Machi na Mwenyekiti wa Chadema, mbele ya Rais Samia!.

Iliwahi kusemwa kuwa hakuna mkate mgumu wowote mbele ya chai!, tayari Chadema imeisha anza kupokea ruzuku hivyo sasa ita survive!. Na ile kesi ya kina Halima Mdee na wale 19 iliyopo mahakamani itafutwa!.

Hongera sana Chadema, for doing the right thing!, mtabarikiwa, viongozi wenu watabarikiwa, chama chenu kitabarikiwa na Tanzania Itabarikiwa!.

Ila pia tukubali tukatae, hakuna mkate mgumu mbele na penye uzia, penyeza rupia!. Kwa umasikini huu na siasa hizi za utegemezi wa ruzuku, CCM itatawala milele!, unless otherwise!.

All the best, hili liishe maisha yaendelee

Mungu ibariki Chadema
Mungu ibariki CCM kwa kukubali reconciliation
Mungu ibariki Tanzania
Paskali
 
Kijungu jiko na wewe ukalia sana kupata walau uDC ukapuuzwa.

Siasa za kijungu Jiko ukafagilia maridhiano Zanzibar ya chadema ukaufyata umejifungia kuzodoa....

Deal with the fact that your enemy is on it again.
Jibu au jadili alichokisema bwana Pascal,kama ww mwanajamii forum na unatumia akili yakk vizuri utakumbuka tulishawai kusema humu kuhusu ugumu wa CDM kupambana na hao 19 ili khali hao wanawake waliingia bungeni kwa sahihi ya kiongozi kutoka huko ndani ya chama.
 
Wanabodi
Waswahili wana vijineno neno vyao, ukivisikia unaweza kuviona ni kama vineno vya Utani!.

Moja ya vineno hivyo ni "Penye Uzia Penyeza Rupia!" na "hakuna mkate mgumu mbele ya chai".

Siasa zetu ni siasa za kijungu jiko, yaani siasa za hand to mouth kwa kutegemea ruzuku!. Hizi ni siasa za kimasikini!.

Kwanza niliwahi kusema hivi kuhusu ruzuku kwa vyama vya siasa Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola!, Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla !., kisha nikashauri hivi Ruzuku kwa vyama vya Siasa: Mnaonaje tumshauri Rais Magufuli aifutilie mbali ruzuku hii? Ni ufisadi

Chadema waliposusa kuwa hawautambui uchaguzi, hawayatambui matokeo, hawalitambui Bunge na hawamtambui mshindi halali, niliwashauri huko ni kushupaza tuu shingo CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

Leo nimepokea taarifa, hii kutokea twitwani
Kisha nikasoma na bandiko hili humu JF Tundu Lissu: CHADEMA tumeanza kupokea Ruzuku

Chadema wameufuata ushauri wa bandiko hili, waneacha ujinga wa kujifanya hawayatambui matokeo ya uchaguzi wa 2020!, sasa wameacha kushupaza shingo, wameyatambua matokeo kimya kimya!, wamewasamehe mashujaa hawa kimya kimya msamaha ambao utatangazwa rasmi siku ya Jumatano tarehe 8 Machi na Mwenyekiti wa Chadema, mbele ya Rais Samia!.

Iliwahi kusemwa kuwa hakuna mkate mgumu wowote mbele ya chai!, tayari Chadema imeisha anza kupokea ruzuku hivyo sasa ita survive!. Na ile kesi ya kina Halima Mdee na wale 19 iliyopo mahakamani itafutwa!.

Hongera sana Chadema, for doing the right thing!, mtabarikiwa, viongozi wenu watabarikiwa, chama chenu kitabarikiwa na Tanzania Itabarikiwa!.

Ila pia tukubali tukatae, hakuna mkate mgumu mbele na penye uzia, penyeza rupia!. Kwa umasikini huu na siasa hizi za utegemezi wa ruzuku, CCM itatawala milele!, unless otherwise!.

All the best, hili liishe maisha yaendelee

Mungu ibariki Chadema
Mungu ibariki CCM kwa kukubali reconciliation
Mungu ibariki Tanzania
Paskali

Bwana Pascal naona sasa tumefanikisha tulilokuwa tunaliona kwa jicho la mbali,ww ni mtu makini sana na unaona mbali sana,wanaokupinga basi waache wakupinge ila ukweli wameupata na umeweka na ushaid kwenye uzi huu.
 
Ahaa hila walimu kipindi cha kusimamia uchaguzi wakivuta visenti vyao baada ya uchaguzi wanawajia juu na matamko ya kuwakashifu kutumika wanasahau kuwa pesa tamu sasa ni vema kila mtu ashinde mechi zake vyama vya siasa waache kuwakashifu walimu wanatumika vibaya. kama wao saizi wanavyotumika kwa maslai yao
 
The most evil chadema ni tundu lisu maadamu hawajalijua hilo wataendelea kuanza moja kila siku, tundu lisu ndiye aliyemleta Lowasa chadema wakati ambapo chadema tayari ilikiwa fired up and ready to go sababu ya corruption wakauza chance wakaanza moja sasa wamerudi kule kule.

Tundu Lisu is pure evil!
 
Jibu au jadili alichokisema bwana Pascal,kama ww mwanajamii forum na unatumia akili yakk vizuri utakumbuka tulishawai kusema humu kuhusu ugumu wa CDM kupambana na hao 19 ili khali hao wanawake waliingia bungeni kwa sahihi ya kiongozi kutoka huko ndani ya chama.
Tukae hapa kujadili unafiki sio
 
Hii ndiyo safi Magufuli na jiroho lake alitaka hela za nchi hii ale mwenywe tu kulikuwa hakuna haja kutumia marisasi na kuua watu bure tu kisa wanampinga haya kiko wapi sasa.??
 
The most evil chadema ni tundu lisu maadamu hawajalijua hilo wataendelea kuanza moja kila siku, tundu lisu ndiye aliyemleta Lowasa chadema wakati ambapo chadema tayari ilikiwa fired up and ready to go sababu ya corruption wakauza chance wakaanza moja sasa wamerudi kule kule.

Tundu Lisu is pure evil!
Aahh aliyekula 10 B za kumvuta Lowassa, kumbe ni Lissu sio Mbowe ?.
 
Magufuli hayupo.
1) Aliyefanya Gwajima apate kura 190,000 (84%) na Mdee apate 32,000 (14%)
2)Aliyefanya Tulia amshinde Sugu

3) Aliyefanya Mbowe ashindwe kwa bonge la gepu na Saashisha

4) Aliyefanya Zitto ashindwe kwa gepu kubwa
5)Msigwa apigwe gepu la maana jumlisha Prof Jay
6) Lema ashindwe kwa bonge la gepu Arusha.

Ccm na chadema wote wanamlaumu Magufuli. Wameona kwa vile adui yao aliyewagombanisha hayupo haina haja tena kushupaza shingo.
 
Tuupe muda wakati wengi walitarajia mama angekuwa HG kwenye kongamano la UWT.. Bahati mbaya sana hii jumuiya ilishajifia sasa kimewauma wengi wasioipenda CHADEMA kuona mama anaenda kuwa HG
 
Back
Top Bottom