Siasa za kufurahishana Wanasiasa na kuwasahau wananchi

Siasa za kufurahishana Wanasiasa na kuwasahau wananchi

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
2,754
Reaction score
4,975
Salam wakuu,

Bila kupoteza muda huu ndiyo uhalisia wa hali ya siasa nchini kwa sasa.Wanasiasa wako busy kufurahishana na kulambishana asali huku wakipongezana kwa kauli ya "MARIDHIANO" huku wakisahau wananchi wanagongwa 800k wanapounganisha umeme, wanasahau wananchi wengi wanataabika kwa huduma za maji, umeme,afya ma miundombinu mibovu.

Lakini ukitazama wanasiasa wakiongozwa na mlamba asali mkuu utadhani Tanzania sasa ni nchi iliyoendelea 😀 Kumbe tuna miaka 60 ya uhuru na bado kuna watoto wanaketi chini kumsikiliza mwalimu!

Na wala hakuna anayelozungumzia swala hilo, Wote wapo busy na asali asali asali maridhiano maridhiano, pongezi, pongezi, semina, mialiko 😀 Inshort kufurahishana wao kwa wao wasaka madaraka kuangalia nafasi za ulaji huku wananchi hususan wa chini wakikosa msemaji! sasa sijui wanadhani watanzania wote ni wasakateuzi!?
 
Mkuu muda ndio huu sheria zipo wazi kabisa unda chama chako cha kupigania haki za wananchi na kueleza kero zao watakuunga mkono ,kuliko kulalamika humu JF

"Uoga ni umasikini"
 
Salam wakuu,

Wote wapo busy na asali asali asali maridhiano maridhiano, pongezi, pongezi, semina, mialiko 😀 Inshort kufurahishana wao kwa wao wasaka madaraka kuangalia nafasi za ulaji huku wananchi hususan wa chini wakikosa msemaji! sasa sijui wanadhani watanzania wote ni wasakateuzi!?
Duh !.
P
 
Salam wakuu,

Bila kupoteza muda huu ndiyo uhalisia wa hali ya siasa nchini kwa sasa.Wanasiasa wako busy kufurahishana na kulambishana asali huku wakipongezana kwa kauli ya "MARIDHIANO" huku wakisahau wananchi wanagongwa 800k wanapounganisha umeme, wanasahau wananchi wengi wanataabika kwa huduma za maji, umeme,afya ma miundombinu mibovu.

Lakini ukitazama wanasiasa wakiongozwa na mlamba asali mkuu utadhani Tanzania sasa ni nchi iliyoendelea 😀 Kumbe tuna miaka 60 ya uhuru na bado kuna watoto wanaketi chini kumsikiliza mwalimu!

Na wala hakuna anayelozungumzia swala hilo, Wote wapo busy na asali asali asali maridhiano maridhiano, pongezi, pongezi, semina, mialiko 😀 Inshort kufurahishana wao kwa wao wasaka madaraka kuangalia nafasi za ulaji huku wananchi hususan wa chini wakikosa msemaji! sasa sijui wanadhani watanzania wote ni wasakateuzi!?
Well captured...The time for wealth accumulation for TZ elites....The question is to what end...
 
Ipitishwe mgombea binafsi tu watanzania saa hivi wengi hawana Imani na hivi vyama Wala hamasa ya kupiga kura
 
Salam wakuu,

Bila kupoteza muda huu ndiyo uhalisia wa hali ya siasa nchini kwa sasa.Wanasiasa wako busy kufurahishana na kulambishana asali huku wakipongezana kwa kauli ya "MARIDHIANO" huku wakisahau wananchi wanagongwa 800k wanapounganisha umeme, wanasahau wananchi wengi wanataabika kwa huduma za maji, umeme,afya ma miundombinu mibovu.

Lakini ukitazama wanasiasa wakiongozwa na mlamba asali mkuu utadhani Tanzania sasa ni nchi iliyoendelea [emoji3] Kumbe tuna miaka 60 ya uhuru na bado kuna watoto wanaketi chini kumsikiliza mwalimu!

Na wala hakuna anayelozungumzia swala hilo, Wote wapo busy na asali asali asali maridhiano maridhiano, pongezi, pongezi, semina, mialiko [emoji3] Inshort kufurahishana wao kwa wao wasaka madaraka kuangalia nafasi za ulaji huku wananchi hususan wa chini wakikosa msemaji! sasa sijui wanadhani watanzania wote ni wasakateuzi!?
We mbwa unaumia sana amani ikitamalaki, mlizoea enzi za dictator JPM the devil akiwatuma kuuwa watu, watu wakipotezwa na kuokotwa kt plastic bags, mkipora ela kt akaunti za watu na kwenda kuzificha china n.k.

Nahisi wewe ni among sukuma gang from TISS uliyekuwa na kazi ya kuLAWITI mateka wote wa dictator JPM the devil kisha kuwatelekeza kwa jina la wasiojulikana.

Aliyewaweza ni zacharia mabasi wa Tarime mlotaka kumteka ili mkamLAWITI na kumuua kama kawaida yenu akawawai na kuwachapa risasi kisha baadae ndio mnajitambulisha oooh ni watu wa TISS, sincerely he would kill all of you.

Nyie ni washenzi kupindukia msiokuwa na maana, na mtaumia sana kwa mda wote, mjue Samia anamuogopa Mola wale na si kama huyu dictator JPM the devil mshirika wa shetani
 
We mbwa unaumia sana amani ikitamalaki, mlizoea enzi za dictator JPM the devil akiwatuma kuuwa watu, watu wakipotezwa na kuokotwa kt plastic bags, mkipora ela kt akaunti za watu na kwenda kuzificha china n.k.

Nahisi wewe ni among sukuma gang from TISS uliyekuwa na kazi ya kuLAWITI mateka wote wa dictator JPM the devil kisha kuwatelekeza kwa jina la wasiojulikana.

Aliyewaweza ni zacharia mabasi wa Tarime mlotaka kumteka ili mkamLAWITI na kumuua kama kawaida yenu akawawai na kuwachapa risasi kisha baadae ndio mnajitambulisha oooh ni watu wa TISS, sincerely he would kill all of you.

Nyie ni washenzi kupindukia msiokuwa na maana, na mtaumia sana kwa mda wote, mjue Samia anamuogopa Mola wale na si kama huyu dictator JPM the devil mshirika wa shetani
Miaka yote 60 hii Tanzania imekuwa ikijivunia amani tu utafikiri nchi zengine zote zipo vitani, haya sasa hivi kuna amani hayupo tena dikteta hakuna mauwaji haya tutumie hiyo amani iliyopo kufanya maendeleo.
 
Wewe ungemwelewa mtoa mada usingekurupuka kurusha matusi!
Upumbavu wa watanzania ikiwemo wewe ndio unaotusumbua!

Tunakalia siasa uchwara hatuna hata mkakati wa maendeleo!
Serkali ya sasa hata vision hamna ukiangalia vizuri hawana ndoto wala ngoja liende!

Kujificha kwenye kichaka cha maridhiano uchwara huku wananchi shida na kero ziko palepele!

Miradi mingi ya kawaida mtaani iko imesimama hata wewe angalia umeona barabara za mitaa mji unaokaa zikijengwa? licha ya mikopo kibao kuchukuliwa!

Mtu mweusi huwa hajui anachotaka tunaishi tu kama nchi ya wendawazimu tukijificha kwenye demokrasia uchwara ya kutafuta ulaji na familia!
 
Miaka yote 60 hii Tanzania imekuwa ikijivunia amani tu utafikiri nchi zengine zote zipo vitani, haya sasa hivi kuna amani hayupo tena dikteta hakuna mauwaji haya tutumie hiyo amani iliyopo kufanya maendeleo.
Huyo ni miongoni wa wananchi wajinga na wapumbavu!
Anafikiri maendeleo ni lele mama kama huyu Bibi yao anavyowadanganya!

Wakisafiri nje ya nchi wanarudi na kutukana wananchi eti ni masikini wakidhani nchi hizo zilifika hapo kijingakijinga tu!

Dikteta huyupo ukiwauliza sasa nchi imepata utajiri na maendeleo tokea huyu wa sasa kaingia!?

Hawana majibu ni ujinga na upumbavu tu watakujibu mara kuzuia uhuru wa kutoa maoni?

Kwa kifupi saizi ndio tuko kwenye kipindi kigumu na tumerudi nyuma kwenye spirit ya kupambana na kujikwamua kama taifa!
Ukitaka kulijua hilo angalia mikopo na kinachofanyika huku wakijinasibu kukusanya takribani trillioni 2 kwa mwezi! Data feck zisizo za kawaida!

Mfano hata ujenzi tu wa miundombinu ukitoa hii mikubwa ambayo ulikuwa imeshaanza hakuna miradi mipya ya ujenzi wa barabara hasa za mitaa!

Hakuna ubunifu kwa viongozi wanaogopa kutumbuliwa wote wamebaki kuimba kwaya ya anaupiva mwingi!

Wakurugenzi wa mashirika ya kiserkali wanaendesha seminar uchwara na matamasha kila leo!

No hope no role model! HAKUNA MTU ICON ANAYEBEBA SPRIT NA MAONO YA TAIFA KWENDA MBELE! Tubakini kufarijiana na kudanganyana huku tukiukana ukweli!
 
Na wewe zungumzia, hii si ni nchi yako na wewe pia?!
Salam wakuu,

Bila kupoteza muda huu ndiyo uhalisia wa hali ya siasa nchini kwa sasa.Wanasiasa wako busy kufurahishana na kulambishana asali huku wakipongezana kwa kauli ya "MARIDHIANO" huku wakisahau wananchi wanagongwa 800k wanapounganisha umeme, wanasahau wananchi wengi wanataabika kwa huduma za maji, umeme,afya ma miundombinu mibovu.

Lakini ukitazama wanasiasa wakiongozwa na mlamba asali mkuu utadhani Tanzania sasa ni nchi iliyoendelea [emoji3] Kumbe tuna miaka 60 ya uhuru na bado kuna watoto wanaketi chini kumsikiliza mwalimu!

Na wala hakuna anayelozungumzia swala hilo, Wote wapo busy na asali asali asali maridhiano maridhiano, pongezi, pongezi, semina, mialiko [emoji3] Inshort kufurahishana wao kwa wao wasaka madaraka kuangalia nafasi za ulaji huku wananchi hususan wa chini wakikosa msemaji! sasa sijui wanadhani watanzania wote ni wasakateuzi!?
 
Wewe ungemwelewa mtoa mada usingekurupuka kurusha matusi!
Upumbavu wa watanzania ikiwemo wewe ndio unaotusumbua!

Tunakalia siasa uchwara hatuna hata mkakati wa maendeleo!
Serkali ya sasa hata vision hamna ukiangalia vizuri hawana ndoto wala ngoja liende!

Kujificha kwenye kichaka cha maridhiano uchwara huku wananchi shida na kero ziko palepele!

Miradi mingi ya kawaida mtaani iko imesimama hata wewe angalia umeona barabara za mitaa mji unaokaa zikijengwa? licha ya mikopo kibao kuchukuliwa!

Mtu mweusi huwa hajui anachotaka tunaishi tu kama nchi ya wendawazimu tukijificha kwenye demokrasia uchwara ya kutafuta ulaji na familia!
Nadhani ni sababu ya ujinga. Kuna wajinga wengi ndani ya jamii hadi inatisha.
 
Back
Top Bottom