Wewe hata ukichekwa haisaidii. Maana akili yako ni matope kabisa. Hivi zile halmashauri zilizo kuwa chini ya Chadema kabla ya ujambazi wenu wa kuiba kura, ni ipi ilikuwa na hati chafu?Kufanya siasa ni ajira ni jambo baya sana. Maana apo mtu atawaza tumbo lake kuliko kutumikia wananchi.
Baada ya kukataliwa 2020 na kukosa ubunge sasa wanaChadema hesabu zao ni kurudi bungeni ili wapate posho na mishahara maana wao wanawaza kupata pesa tu na sio kutumikia wananchi
Acha porojo jamvin wewee. Rudisha avatar picha yako ya yule nyani anatembea kwa madaha ama shamba la mahindi ama picha ya mguu umevaa ndala.Ngoja afike Erythrocyte hapa.
Live kupitia channel ipi iliyoonyesha kuwa yuko motoniSijawahi hata kutamani uongozi ndani ya hii shithole country. Wananchi waliamua, au ni yule dhalimu aliyeko motoni ndio aliagiza uhayawani ule?
Kheri anayewaza kuingia bungeni kwa kura kuliko haramia anayewaza kutoachia dola kwa kutumia dola.Kufanya siasa ni ajira ni jambo baya sana. Maana apo mtu atawaza tumbo lake kuliko kutumikia wananchi.
Baada ya kukataliwa 2020 na kukosa ubunge sasa wanaChadema hesabu zao ni kurudi bungeni ili wapate posho na mishahara maana wao wanawaza kupata pesa tu na sio kutumikia wananchi
Live kupitia channel ipi iliyoonyesha kuwa yuko motoni
😂😂😂😂😂😂Daa, hivi kumbe nilizitoaAcha porojo jamvin wewee. Rudisha avatar picha yako ya yule nyani anatembea kwa madaha ama shamba la mahindi ama picha ya mguu umevaa ndala.
Sauh'waaah?
Braza Maghayo anakupa Hi huku Copenhagen😂😂😂😂😂😂Daa, hivi kumbe nilizitoa
Usiniambie we Mzee ulikula life ban ukabadilisha IDAcha porojo jamvin wewee. Rudisha avatar picha yako ya yule nyani anatembea kwa madaha ama shamba la mahindi ama picha ya mguu umevaa ndala.
Sauh'waaah?
Sinaga pesa za kuchezea boss.KIpindi kile unajenga madarasa?
Ni kweli, maana nilikuwa adui wa mungu wako dhalimu wa chattle.Bwa mdogo nakujua vizuri
Hii siri haijawahi kuvuja mkuu! Mungu ameyajua maisha yetu kuliko hisia zetu!Unauliza au unapigia jibu mstari?
Hii siri haijawahi kuvuja mkuu! Mungu ameyajua maisha yetu kuliko hisia zetu!
Na kuhukumu mwingine wakati wewe mwenyewe uko na dhambi kedekede huwa mnatoaga wapi huo ujasiri mkuu
Wivu wa nini Sasa?! Bunge siyo mali ya Chato.Kufanya siasa ni ajira ni jambo baya sana. Maana apo mtu atawaza tumbo lake kuliko kutumikia wananchi.
Baada ya kukataliwa 2020 na kukosa ubunge sasa wanaChadema hesabu zao ni kurudi bungeni ili wapate posho na mishahara maana wao wanawaza kupata pesa tu na sio kutumikia wananchi
Halafu yeye akaanzisha siasa chafu za sukuma gang!Wewe acha zako. Ulimchukia sababu aliziba mianya ya siasa mbovu za Chadema.
Kuna ambao hadi leo wako jela kwa hisia tu kama hizi mkuu, hata hivyo siwezi kuzuia hisia zako kuhusu kile unaamini juu ya unachosemaSio za mauaji.