Siasa za kujaza matumbo zinawasumbua CHADEMA mnawaza kurudi Bungeni maana mlishageuza ajira

Siasa za kujaza matumbo zinawasumbua CHADEMA mnawaza kurudi Bungeni maana mlishageuza ajira

Kufanya siasa ni ajira ni jambo baya sana. Maana apo mtu atawaza tumbo lake kuliko kutumikia wananchi.

Baada ya kukataliwa 2020 na kukosa ubunge sasa wanaChadema hesabu zao ni kurudi bungeni ili wapate posho na mishahara maana wao wanawaza kupata pesa tu na sio kutumikia wananchi
Wewe hata ukichekwa haisaidii. Maana akili yako ni matope kabisa. Hivi zile halmashauri zilizo kuwa chini ya Chadema kabla ya ujambazi wenu wa kuiba kura, ni ipi ilikuwa na hati chafu?
Leo kila halmashauri wizi imeshamiri. Ccm ni wezi. Mpo kwa ajili ya matumbo yenu tuu.
 
Na ndio sababu ya wao kuunda kundi la kumkomoa Sabaya!

Maana Sabaya aliwatoa kwenye Reli kuanzia na mwenyekiti Mbowe!
 
Ngoja afike Erythrocyte hapa.
Acha porojo jamvin wewee. Rudisha avatar picha yako ya yule nyani anatembea kwa madaha ama shamba la mahindi ama picha ya mguu umevaa ndala.

Sauh'waaah?
 
Sijawahi hata kutamani uongozi ndani ya hii shithole country. Wananchi waliamua, au ni yule dhalimu aliyeko motoni ndio aliagiza uhayawani ule?
Live kupitia channel ipi iliyoonyesha kuwa yuko motoni
 
Kufanya siasa ni ajira ni jambo baya sana. Maana apo mtu atawaza tumbo lake kuliko kutumikia wananchi.

Baada ya kukataliwa 2020 na kukosa ubunge sasa wanaChadema hesabu zao ni kurudi bungeni ili wapate posho na mishahara maana wao wanawaza kupata pesa tu na sio kutumikia wananchi
Kheri anayewaza kuingia bungeni kwa kura kuliko haramia anayewaza kutoachia dola kwa kutumia dola.
 
Sijawahi hata kutamani uongozi ndani ya hii shithole country. Wananchi waliamua, au ni yule dhalimu aliyeko motoni ndio aliagiza uhayawani ule?
KIpindi kile unajenga madarasa?
 
Unauliza au unapigia jibu mstari?
Hii siri haijawahi kuvuja mkuu! Mungu ameyajua maisha yetu kuliko hisia zetu!

Na kuhukumu mwingine wakati wewe mwenyewe uko na dhambi kedekede huwa mnatoaga wapi huo ujasiri mkuu
 
Hii siri haijawahi kuvuja mkuu! Mungu ameyajua maisha yetu kuliko hisia zetu!

Na kuhukumu mwingine wakati wewe mwenyewe uko na dhambi kedekede huwa mnatoaga wapi huo ujasiri mkuu

Sio za mauaji.
 
Kufanya siasa ni ajira ni jambo baya sana. Maana apo mtu atawaza tumbo lake kuliko kutumikia wananchi.

Baada ya kukataliwa 2020 na kukosa ubunge sasa wanaChadema hesabu zao ni kurudi bungeni ili wapate posho na mishahara maana wao wanawaza kupata pesa tu na sio kutumikia wananchi
Wivu wa nini Sasa?! Bunge siyo mali ya Chato.
 
Back
Top Bottom