Siasa za kujaza matumbo zinawasumbua CHADEMA mnawaza kurudi Bungeni maana mlishageuza ajira

Siasa za kujaza matumbo zinawasumbua CHADEMA mnawaza kurudi Bungeni maana mlishageuza ajira

Kufanya siasa ni ajira ni jambo baya sana. Maana apo mtu atawaza tumbo lake kuliko kutumikia wananchi.

Baada ya kukataliwa 2020 na kukosa ubunge sasa wanaChadema hesabu zao ni kurudi bungeni ili wapate posho na mishahara maana wao wanawaza kupata pesa tu na sio kutumikia wananchi
Haya ngoja waamke kisha wawashe data waanze kukutolea povu
 
Kufanya siasa ni ajira ni jambo baya sana. Maana apo mtu atawaza tumbo lake kuliko kutumikia wananchi.

Baada ya kukataliwa 2020 na kukosa ubunge sasa wanaChadema hesabu zao ni kurudi bungeni ili wapate posho na mishahara maana wao wanawaza kupata pesa tu na sio kutumikia wananchi
Mpumbavu anapoonesha ubora wa upumbavu wake ni hatari kwa hivi inaishia nchi gani he 2022 kulikuwepo na uchaguzi au uchaguzi?
 
Magufuli alitumia mtutu kutaka kuua upinzani alishindwa lakini mama Samia anatumia asali na atafanikiwa kuua upinzani kufikia 2025 wananchi hawatowaamini upinzani kwa sababu njaa na matumbo yao ndio lengo lao. Mama ongeza asali tafadhali🤣🤣🤣🤣
 
Kufanya siasa ni ajira ni jambo baya sana. Maana apo mtu atawaza tumbo lake kuliko kutumikia wananchi.

Baada ya kukataliwa 2020 na kukosa ubunge sasa wanaChadema hesabu zao ni kurudi bungeni ili wapate posho na mishahara maana wao wanawaza kupata pesa tu na sio kutumikia wananchi
Kaka una uhakika na unayo yaongea?wamaanisha waziri Mkuu kuwa bungeni ni kujaza tumbo? Hebu chakatua unayo jiri kuyasema kabla hujasema.Maana tuna wabunge mmle.Kwahiyo nao wamefanya ni ajira kwa sababu ya kujaza matumbo Yao??
 
Kufanya siasa ni ajira ni jambo baya sana. Maana apo mtu atawaza tumbo lake kuliko kutumikia wananchi.

Baada ya kukataliwa 2020 na kukosa ubunge sasa wanaChadema hesabu zao ni kurudi bungeni ili wapate posho na mishahara maana wao wanawaza kupata pesa tu na sio kutumikia wananchi
WAJINGA MNAONGEZEKA KWA KASI Inaonyesha ni AKILI NDOGO uliyonayo unashindwa kuelewa Chama cha Siasa lazima kiwe na WABUNGE
 
Kufanya siasa ni ajira ni jambo baya sana. Maana apo mtu atawaza tumbo lake kuliko kutumikia wananchi.

Baada ya kukataliwa 2020 na kukosa ubunge sasa wanaChadema hesabu zao ni kurudi bungeni ili wapate posho na mishahara maana wao wanawaza kupata pesa tu na sio kutumikia wananchi

Nchi imejaa wajinga sana na wewe ukiwamo.
 
Kufanya siasa ni ajira ni jambo baya sana. Maana apo mtu atawaza tumbo lake kuliko kutumikia wananchi.

Baada ya kukataliwa 2020 na kukosa ubunge sasa wanaChadema hesabu zao ni kurudi bungeni ili wapate posho na mishahara maana wao wanawaza kupata pesa tu na sio kutumikia wananchi
Mbona nyie hamtoki? Umesahau yule mbunge wenu aliyesema kuwa Yuko tayari hata kumwaga damu ila sio kupoteza Ubunge? Usiwe mwepesi kusahau
 
Kufanya siasa ni ajira ni jambo baya sana. Maana apo mtu atawaza tumbo lake kuliko kutumikia wananchi.

Baada ya kukataliwa 2020 na kukosa ubunge sasa wanaChadema hesabu zao ni kurudi bungeni ili wapate posho na mishahara maana wao wanawaza kupata pesa tu na sio kutumikia wananchi
ccm wao hawataki posho na mishahara???
 
Nichama kipi kisichotaka wabunge?
Niwabunge wapi wasiopenda posho?
Hebu wajitokeze hao wa naokataa posho tuwaone

Naiona chuki ya dhahiri ndani ya andiko lako
 
Kufanya siasa ni ajira ni jambo baya sana. Maana apo mtu atawaza tumbo lake kuliko kutumikia wananchi.

Baada ya kukataliwa 2020 na kukosa ubunge sasa wanaChadema hesabu zao ni kurudi bungeni ili wapate posho na mishahara maana wao wanawaza kupata pesa tu na sio kutumikia wananchi
Naona mmeshaanza kuogopa 2025.
 
Kufanya siasa ni ajira ni jambo baya sana. Maana apo mtu atawaza tumbo lake kuliko kutumikia wananchi.

Baada ya kukataliwa 2020 na kukosa ubunge sasa wanaChadema hesabu zao ni kurudi bungeni ili wapate posho na mishahara maana wao wanawaza kupata pesa tu na sio kutumikia wananchi
Utawala wa JF pengine wafikirie kuanzisha jukwaa lingine jipya lililo mahususi kwa hoja ya kijinga na kipuuzi kama hii.

Pengine jina pendekezwa liwe "Jukwaa la Utumbo"
 
Kufanya siasa ni ajira ni jambo baya sana. Maana apo mtu atawaza tumbo lake kuliko kutumikia wananchi.

Baada ya kukataliwa 2020 na kukosa ubunge sasa wanaChadema hesabu zao ni kurudi bungeni ili wapate posho na mishahara maana wao wanawaza kupata pesa tu na sio kutumikia wananchi
Nyie mataahira wa Sukuma Gang siasa za majitaka zimeshapitwa na wakati zimezikwa kule Chato
 
Back
Top Bottom