Siasa za Kukurupuka: Hatimaye Zimbabwe Yaanza Kuwafidia Mabilioni Wakulima wa Kizungu Walioporwa Mashamba Yao na Mugabe

Siasa za Kukurupuka: Hatimaye Zimbabwe Yaanza Kuwafidia Mabilioni Wakulima wa Kizungu Walioporwa Mashamba Yao na Mugabe

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Baada ya aliyekuwa Rais wa Zimbabwe Marehemu Mugabe kuwapora Walowezi wa Kizungu na ambao walikuwa raia wa Zimbabwe wenye Asili ya Uingereza,hatimaye Serikali imetangaza kuanza kuwalipa mabilioni ya fidia kutokana na kuporwa Mali Yao.

Uporaji wa mashamba ya Walowezi wa Kizungu ulifanyika kama kete ya Kisiasa ya Mugabe kushinda uchaguzi na ilipelekea Nchi hiyo kuwekewa vikwazo Vikali na kuporomoka Kwa Uchumi na kuigeuza Zimbabwe ambayo ilikuwa na usatwi kuwa Moja ya Mataifa ya kishenzi yaani failed state.

Bloomberg .png

My Take
Hizo ndio hasara za siasa za Kukurupuka na mihemko.Kiko wapi Sasa? Unalipa na fidia Juu.

Kunae yule wa makinikia nae alitaka afanye hayo hayo kabla ya kurudi nyuma japo aliwafanyia wafanyabiashara wa Beureu De Change ambao Samia kawarudishia pesa zao.



Pia soma Zimbabwe: Mamia ya Wakulima wa Kizungu Waliotimuliwa na Hayati Mugabe Warejea kwa wingi kuendeleza kilimo chao

View: https://www.instagram.com/p/DGQIhKPojFv/?igsh=MXF0dTNsNmJzZDAyYQ==
 
Baada ya aliyekuwa Rais wa Zimbabwe Marehemu Mugabe kuwapora Walowezi wa Kizungu na ambao walikuwa Rais wa Zimbabwe wenye Asili ya Uingereza,hatimaye Serikali imetangaza kuanza kuwalipa mabilioni ya fidia kutokana na kuporwa Mali Yao.

Uporaji wa mashamba ya Walowezi wa Kizungu ulifanyika kama kete ya Kisiasa ya Mugabe kushinda uchaguzi na ilipelekea Nchi hiyo kuwekewa vikwazo Vikali na kuporomoka Kwa Uchumi na kuigeuza Zimbabwe ambayo ilikuwa na usatwi kuwa Moja ya Mataifa ya kishenzi yaani failed state.
View attachment 2994872

My Take
Hizo ndio hasara za siasa za Kukurupuka na mihemko.Kiko wapi Sasa? Unalipa na fidia Juu.

Kunae yule wa makinikia nae alitaka afanye hayo hayo kabla ya kurudi nyuma japo aliwafanyia wafanyabiashara wa Beureu De Change ambao Samia kawarudishia pesa zao.
Tangu Balozi wa Marekani ate mbelen ofisi za makao makuu ya JF siku chache zilizopita, nahisi kabisa moderators na wamiliki mnashikiwa akili na Mabeberu, na hili jukwaa ni mradi tukufu wa mabeberu against Africanism.

Maana kazi yenu ni kuwaponda viongozi wa kiafrika hasa waliodiriki kuonesha uzalendo wao kwa kutanguliza maslahi ya waafrika kwanza.
Kwangu mimi hii ni aibu hasa kwa mleta maada maana ni wazi uko upande wa hao mabwana zenu.
 
Tangu Balozi wa Marekani ate mbelen ofisi za makao makuu ya JF siku chache zilizopita, nahisi kabisa moderators na wamiliki mnashikiwa akili na Mabeberu, na hili jukwaa ni mradi tukufu wa mabeberu against Africanism.

Maana kazi yenu ni kuwaponda viongozi wa kiafrika hasa waliodiriki kuonesha uzalendo wao kwa kutanguliza maslahi ya waafrika kwanza.
Kwangu mimi hii ni aibu hasa kwa mleta maada maana ni wazi uko upande wa hao mabwana zenu.
Uzalendo upi? Kuharibu maishabya wengine na kuwauzia porojo za uzalendo, mabeberu na unyonge? Mbona wao waliendelea kuishi maisha ya kifahari bila kuwa wanyonge?
 
Tangu Balozi wa Marekani ate mbelen ofisi za makao makuu ya JF siku chache zilizopita, nahisi kabisa moderators na wamiliki mnashikiwa akili na Mabeberu, na hili jukwaa ni mradi tukufu wa mabeberu against Africanism.

Maana kazi yenu ni kuwaponda viongozi wa kiafrika hasa waliodiriki kuonesha uzalendo wao kwa kutanguliza maslahi ya waafrika kwanza.
Kwangu mimi hii ni aibu hasa kwa mleta maada maana ni wazi uko upande wa hao mabwana zenu.
JF na moderators wanahusikaje na huu uzi kuletwa au ulitaka waufute.
 
Wananch
Baada ya aliyekuwa Rais wa Zimbabwe Marehemu Mugabe kuwapora Walowezi wa Kizungu na ambao walikuwa Rais wa Zimbabwe wenye Asili ya Uingereza,hatimaye Serikali imetangaza kuanza kuwalipa mabilioni ya fidia kutokana na kuporwa Mali Yao.

Uporaji wa mashamba ya Walowezi wa Kizungu ulifanyika kama kete ya Kisiasa ya Mugabe kushinda uchaguzi na ilipelekea Nchi hiyo kuwekewa vikwazo Vikali na kuporomoka Kwa Uchumi na kuigeuza Zimbabwe ambayo ilikuwa na usatwi kuwa Moja ya Mataifa ya kishenzi yaani failed state.
View attachment 2994872

My Take
Hizo ndio hasara za siasa za Kukurupuka na mihemko.Kiko wapi Sasa? Unalipa na fidia Juu.

Kunae yule wa makinikia nae alitaka afanye hayo hayo kabla ya kurudi nyuma japo aliwafanyia wafanyabiashara wa Beureu De Change ambao Samia kawarudishia pesa zao.
Iulichoandika sio hoja ni ulimbukeni na chuki zinakusumbua.
Yaani wewe unaona sawa mwenyeji wa asili anyang'anywe ardhi yake anayoitumia kupata riziki kisha apewe mgeni kwa gia ya uwekezajii . Tatizo ni namna zoezi lilivyotekelezwa wakati huo.

Hata hapa Tanganyika iko siku mashamba yaliyochukuliwa kwa wananchi wakapewa hao wanaoitwa wawekezaji yatarudi kwa wananchi. Mara nyingi gia inayotumika ni eti watapata ajira. Hiyo ajira kila mtu atapata na watoto wake wote? Wataifanya maisha yao yote?

Sio sawa wala haki kumnyang'anya raia ardhi yake na kumpa mwekezaji. Kazi ya kulima inapaswa kubakia kuwa ya wazawa. Kisingizio etoi tunataka tusiagize chakula nje sio hoja. Mbona mafuta tunaagiza nje kwa asilimia 100? Mbona miaka yote wakulima hao hao wadogo ndio wamekuwa wakilisha nchi?
Wafanya maamuzi wanapaswa kixingatia kuwa kila mtu anahitaji kipato hakuna excuse ya kusema huyu yeye asipate kipato kwa sababu tija yake ni ndogo
. alternatively kila mtu alipwe mshahara hata kama hana kazi.
 
Baada ya aliyekuwa Rais wa Zimbabwe Marehemu Mugabe kuwapora Walowezi wa Kizungu na ambao walikuwa Rais wa Zimbabwe wenye Asili ya Uingereza,hatimaye Serikali imetangaza kuanza kuwalipa mabilioni ya fidia kutokana na kuporwa Mali Yao.

Uporaji wa mashamba ya Walowezi wa Kizungu ulifanyika kama kete ya Kisiasa ya Mugabe kushinda uchaguzi na ilipelekea Nchi hiyo kuwekewa vikwazo Vikali na kuporomoka Kwa Uchumi na kuigeuza Zimbabwe ambayo ilikuwa na usatwi kuwa Moja ya Mataifa ya kishenzi yaani failed state.
View attachment 2994872

My Take
Hizo ndio hasara za siasa za Kukurupuka na mihemko.Kiko wapi Sasa? Unalipa na fidia Juu.

Kunae yule wa makinikia nae alitaka afanye hayo hayo kabla ya kurudi nyuma japo aliwafanyia wafanyabiashara wa Beureu De Change ambao Samia kawarudishia pesa zao.

Siasa za waafrika. Wanadharau wanaowaongoza. Wanadharau hata mambo ambayo yanaharibu legacy za viongozi wenyewe.

Wakati tunashangaa ya Zimbabwe, ingependeza tujishangae na sisi. Anayedhani amesimama.....
 
Tangu Balozi wa Marekani ate mbelen ofisi za makao makuu ya JF siku chache zilizopita, nahisi kabisa moderators na wamiliki mnashikiwa akili na Mabeberu, na hili jukwaa ni mradi tukufu wa mabeberu against Africanism.

Maana kazi yenu ni kuwaponda viongozi wa kiafrika hasa waliodiriki kuonesha uzalendo wao kwa kutanguliza maslahi ya waafrika kwanza.
Kwangu mimi hii ni aibu hasa kwa mleta maada maana ni wazi uko upande wa hao mabwana zenu.
Out of topic kabisa , Man hii taarifa haina uhusiano wowote na unayo yasema. Ulitaka jf wafukuze wageni? Basi piga ban ngozi nyeupe wasije nchini kabisa.
 
Baada ya aliyekuwa Rais wa Zimbabwe Marehemu Mugabe kuwapora Walowezi wa Kizungu na ambao walikuwa Rais wa Zimbabwe wenye Asili ya Uingereza,hatimaye Serikali imetangaza kuanza kuwalipa mabilioni ya fidia kutokana na kuporwa Mali Yao.

Uporaji wa mashamba ya Walowezi wa Kizungu ulifanyika kama kete ya Kisiasa ya Mugabe kushinda uchaguzi na ilipelekea Nchi hiyo kuwekewa vikwazo Vikali na kuporomoka Kwa Uchumi na kuigeuza Zimbabwe ambayo ilikuwa na usatwi kuwa Moja ya Mataifa ya kishenzi yaani failed state.
View attachment 2994872

My Take
Hizo ndio hasara za siasa za Kukurupuka na mihemko.Kiko wapi Sasa? Unalipa na fidia Juu.

Kunae yule wa makinikia nae alitaka afanye hayo hayo kabla ya kurudi nyuma japo aliwafanyia wafanyabiashara wa Beureu De Change ambao Samia kawarudishia pesa zao.
huo ni unyonge mkubwa ardhi ya kwenu mnaanza kuingia gharama tena kuwa lipa watu shit
 
Na kwetu wadai msajili wa majumba
Ingawa kwetu watu ni waoga, yaani bora wakenya wale wazee walienda kudai haki zao za maumau na wakapewa the Hague

Yaani nawahurumia Zimbabwe hela yao wenyewe mkate mmoja milioni
Hizo hela za kuwalipa sijui watapata wapi
Yaani waafrika shida sana maana wananchi walifurahia sana Kama enzi za Amiin kuchukua mali za wahindi

Ila na sisi tusipoangalia kuna jamaa anataka kuwa Rais akichukua tu ataanza na wahindi na waarabu huyo ni wa kumchunga kama humjua rejea mikutano ya wanasiasa wakati wa hekaheka za uchaguzi
Na sisi tutapigwa na chuma kizito
 
Tangu Balozi wa Marekani ate mbelen ofisi za makao makuu ya JF siku chache zilizopita, nahisi kabisa moderators na wamiliki mnashikiwa akili na Mabeberu, na hili jukwaa ni mradi tukufu wa mabeberu against Africanism.

Maana kazi yenu ni kuwaponda viongozi wa kiafrika hasa waliodiriki kuonesha uzalendo wao kwa kutanguliza maslahi ya waafrika kwanza.
Kwangu mimi hii ni aibu hasa kwa mleta maada maana ni wazi uko upande wa hao mabwana zenu.

Wewe hujitambui wala hujielewi. Aliyewapora mashamba wale wazungu walowezi kwaajili ya kutafuta umaarifu wa kijinga, alikuwa kiongozi hayawani sana.

Wazimbabwe wameteseka sana kutokana na yale maamuzi ya kishenzi. Professionals wengi wa Zimbabwe wameishia kuwa house keepers, taxi drivers na wahudumu wa mahotel South Africa. Halafu mjinga mmoja utamsikia eti maamuzi yale ya Mugabe yalikuwa ya kizalendo. Nanda pale Harare au hata mashambani ukatamke huo ujinga uone kama hutapopolewa mawe.

Uamuzi wa kulipa fidia lazima utakuwa ni mzigo kwa Wazimbabwe lakini wengi watafurahia kama maamuzi hayo yatawapa unafuu wa maisha. Fikiria mkate uliokuwa unagharimu Z$4 leo unauzwa kwa Z$10 milioni!!. Mfumko wa bei ni 100,000%.
 
Back
Top Bottom