ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #41
Ujinga upi Sasa wewe Sukuma gang 😁😁Ujinga mtupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga upi Sasa wewe Sukuma gang 😁😁Ujinga mtupu
Alikuwa mshenzi kwa walowezi na wakoloni lakini alikuwa mzalendo kwa wazibabweMzalendo mshenzi.
Umaskini wetu ni fikraBaada ya kuirudisha kwa Waafrika tija iko wapi? Au waliitumia kuhifadhia waganga wa kienyeji.
Kiongozi unatakiwa ufanye maamuzi yenye tija kwa nchi na sio maamuzi popular ya maskini. Maskini wa Tanzania ukiwaambia matajiri wote wezi na ndio wanafanya msiwe na hela watafurahia, wataomba kiongozi uwakamate kina Mo Dewji, Bakhresa na wenzao uwapokonye mali. Mwishowe unabaki na uchumi failed.
Iddi Amin alifanya hivyohivyo akafukuza Wahindi na kuwapora mali huku Waganda maskini wakishangilia, wakaenda UK mikono mitupu. Wakaanza uiya kule wakapata hela, wakarudi miaka baadae wakakuta viwanda walivyoporwa na Amin akawagawia maofisa wake vilaza vimekufa. Wakaviendeleza huku Waganda wakicheza kachabari.
Hapana hawadhurumu ila walichukua ardhi yaoNi bora wangeendela kula Tunda kimasihara kuliko kuzulumu mashamba.
Uzalendo upi Kwa hao Wazimbabwe ambao 3/4 walikimbia Nchi kisa umaskini uliotopea 😆😆Alikuwa mshenzi kwa walowezi na wakoloni lakini alikuwa mzalendo kwa wazibabwe
Eti huo ndiyo uzalendo.Hiyo ardhi ukienda hata vyoo havifanyi kazi. Watakuwa wanakunya juu yake. Akili zetu za kilofa kweli kweli
Kuchukua property ya Mtu bila Compensation ni ZulumaHapana hawadhurumu ila walichukua ardhi yao
Hao ni wavamizi wa ardhi ya watu ulitaka wafidiwe nini?Kuchukua property ya Mtu bila Compensation ni Zuluma
Si ndio wanafidiwa sasa 😁 Serikali ya Zimbabwe imekubali sasa wewe unabisha nini?!Hao ni wavamizi wa ardhi ya watu ulitaka wafidiwe nini?
Mvamizi alikuwa Mugabe ambaye alivamia na kupora haki za Wazimbabwe.Hao ni wavamizi wa ardhi ya watu ulitaka wafidiwe nini?
Haki ya wazibabwe ni pamoja na ardhi yako imelikiwe na wao na sio wavamizi ndo maana wazibabwe walimwaga damu kuipambaniaMvamizi alikuwa Mugabe ambaye alivamia na kupora haki za Wazimbabwe.
Walipomiliki hiyo ardhi waliifanyia nini zaidi ya kufilisika.Hapo zamani Zimbabwe alikuwa mzalishaji namba moja wa mahindi Afrika lakini baada ya nchi kuvamiwa na Mvamizi MUGABE nchi hiyo iliyumba kila kona kuanzia maisha ya familia moja moja hadi uchumi wa Zimbamwe.Haki ya wazibabwe ni pamoja na ardhi yako imelikiwe na wao na sio wavamizi ndo maana wazibabwe walimwaga damu kuipambania
Maisha bila mzungu hayaendi,kama hutaki ushirikiano na wazungu jinyonge.Hao Wazungu hayo mashamba waliyanunua kwa nani na kwa gharama kiasi gani?.
Wao gharama za kuua, kuumiza watu wetu na kukoloni ardhi yetu huku wakichukua raw materials bure wamemlipa Nani?.
Walifirisika lakini ardhi ikabaki chini yaoWalipomiliki hiyo ardhi waliifanyia nini zaidi ya kufilisika.Hapo zamani Zimbabwe alikuwa mzalishaji namba moja wa mahindi Afrika lakini baada ya nchi kuvamiwa na Mvamizi MUGABE nchi hiyo iliyumba kila kona kuanzia maisha ya familia moja moja hadi uchumi wa Zimbamwe.
Kuwa na Ardhi huku unasubiri msaada wa chakula kutoka kwa mzungu ni ujinga mtupu.Walifirisika lakini ardhi ikabaki chini yao
Mungu wabariki WazunguTangu Balozi wa Marekani ate mbelen ofisi za makao makuu ya JF siku chache zilizopita, nahisi kabisa moderators na wamiliki mnashikiwa akili na Mabeberu, na hili jukwaa ni mradi tukufu wa mabeberu against Africanism.
Maana kazi yenu ni kuwaponda viongozi wa kiafrika hasa waliodiriki kuonesha uzalendo wao kwa kutanguliza maslahi ya waafrika kwanza.
Kwangu mimi hii ni aibu hasa kwa mleta maada maana ni wazi uko upande wa hao mabwana zenu.
Nyie mashamba tangu myachukie mmefanya niniHao Wazungu hayo mashamba waliyanunua kwa nani na kwa gharama kiasi gani?.
Wao gharama za kuua, kuumiza watu wetu na kukoloni ardhi yetu huku wakichukua raw materials bure wamemlipa Nani?.