Siasa za Kukurupuka: Hatimaye Zimbabwe Yaanza Kuwafidia Mabilioni Wakulima wa Kizungu Walioporwa Mashamba Yao na Mugabe

Siasa za Kukurupuka: Hatimaye Zimbabwe Yaanza Kuwafidia Mabilioni Wakulima wa Kizungu Walioporwa Mashamba Yao na Mugabe

Anayelipa fidia ni mkurupukaji na mwoga.ardhi walinyang'anywa waafrika na kijimilikisha wazungu pasipo kihalali.Mugabe alichokifanya ni kuirudisha Kwa wenyewe waafrika.
Baada ya kuirudisha kwa Waafrika tija iko wapi? Au waliitumia kuhifadhia waganga wa kienyeji.

Kiongozi unatakiwa ufanye maamuzi yenye tija kwa nchi na sio maamuzi popular ya maskini. Maskini wa Tanzania ukiwaambia matajiri wote wezi na ndio wanafanya msiwe na hela watafurahia, wataomba kiongozi uwakamate kina Mo Dewji, Bakhresa na wenzao uwapokonye mali. Mwishowe unabaki na uchumi failed.

Iddi Amin alifanya hivyohivyo akafukuza Wahindi na kuwapora mali huku Waganda maskini wakishangilia, wakaenda UK mikono mitupu. Wakaanza uiya kule wakapata hela, wakarudi miaka baadae wakakuta viwanda walivyoporwa na Amin akawagawia maofisa wake vilaza vimekufa. Wakaviendeleza huku Waganda wakicheza kachabari.
 
Baada ya aliyekuwa Rais wa Zimbabwe Marehemu Mugabe kuwapora Walowezi wa Kizungu na ambao walikuwa Rais wa Zimbabwe wenye Asili ya Uingereza,hatimaye Serikali imetangaza kuanza kuwalipa mabilioni ya fidia kutokana na kuporwa Mali Yao.

Uporaji wa mashamba ya Walowezi wa Kizungu ulifanyika kama kete ya Kisiasa ya Mugabe kushinda uchaguzi na ilipelekea Nchi hiyo kuwekewa vikwazo Vikali na kuporomoka Kwa Uchumi na kuigeuza Zimbabwe ambayo ilikuwa na usatwi kuwa Moja ya Mataifa ya kishenzi yaani failed state.
View attachment 2994872

My Take
Hizo ndio hasara za siasa za Kukurupuka na mihemko.Kiko wapi Sasa? Unalipa na fidia Juu.

Kunae yule wa makinikia nae alitaka afanye hayo hayo kabla ya kurudi nyuma japo aliwafanyia wafanyabiashara wa Beureu De Change ambao Samia kawarudishia pesa zao.
Siasa za Kimagufuri hizi.Pia ni kama za Samiah kufurumusha Wamasai eneo lao la asili na kuwakabidhi Waarabu.Vilevile kitendo cha kuibinafsisha Bandari kwa Waarabu ni matokeo ya siasa za kukurupuka.
 
Tangu Balozi wa Marekani ate mbelen ofisi za makao makuu ya JF siku chache zilizopita, nahisi kabisa moderators na wamiliki mnashikiwa akili na Mabeberu, na hili jukwaa ni mradi tukufu wa mabeberu against Africanism.

Maana kazi yenu ni kuwaponda viongozi wa kiafrika hasa waliodiriki kuonesha uzalendo wao kwa kutanguliza maslahi ya waafrika kwanza.
Kwangu mimi hii ni aibu hasa kwa mleta maada maana ni wazi uko upande wa hao mabwana zenu.
Uzalendo ndiyo nini? Ule wa Magu siyo uzalendo bali hakutaka Mtanzania mwingine awe na fedha kumzidi.

Alichgua kakikundi ka ndugu na marafiki zake ndiyo walikuwa wanapora fedha za matajiri wa Tanzania.
 
Tangu Balozi wa Marekani ate mbelen ofisi za makao makuu ya JF siku chache zilizopita, nahisi kabisa moderators na wamiliki mnashikiwa akili na Mabeberu, na hili jukwaa ni mradi tukufu wa mabeberu against Africanism.

Maana kazi yenu ni kuwaponda viongozi wa kiafrika hasa waliodiriki kuonesha uzalendo wao kwa kutanguliza maslahi ya waafrika kwanza.
Kwangu mimi hii ni aibu hasa kwa mleta maada maana ni wazi uko upande wa hao mabwana zenu.
Viongozi wabovu lazima wapondwe hata kama ni ndugu zetu.
 
Baada ya aliyekuwa Rais wa Zimbabwe Marehemu Mugabe kuwapora Walowezi wa Kizungu na ambao walikuwa Rais wa Zimbabwe wenye Asili ya Uingereza,hatimaye Serikali imetangaza kuanza kuwalipa mabilioni ya fidia kutokana na kuporwa Mali Yao.

Uporaji wa mashamba ya Walowezi wa Kizungu ulifanyika kama kete ya Kisiasa ya Mugabe kushinda uchaguzi na ilipelekea Nchi hiyo kuwekewa vikwazo Vikali na kuporomoka Kwa Uchumi na kuigeuza Zimbabwe ambayo ilikuwa na usatwi kuwa Moja ya Mataifa ya kishenzi yaani failed state.
View attachment 2994872

My Take
Hizo ndio hasara za siasa za Kukurupuka na mihemko.Kiko wapi Sasa? Unalipa na fidia Juu.

Kunae yule wa makinikia nae alitaka afanye hayo hayo kabla ya kurudi nyuma japo aliwafanyia wafanyabiashara wa Beureu De Change ambao Samia kawarudishia pesa zao.
Na faida ya kuwarudishia Bureau De change zao ni Dollar kupanda hadi 3,000
 
Baada ya aliyekuwa Rais wa Zimbabwe Marehemu Mugabe kuwapora Walowezi wa Kizungu na ambao walikuwa Rais wa Zimbabwe wenye Asili ya Uingereza,hatimaye Serikali imetangaza kuanza kuwalipa mabilioni ya fidia kutokana na kuporwa Mali Yao.

Uporaji wa mashamba ya Walowezi wa Kizungu ulifanyika kama kete ya Kisiasa ya Mugabe kushinda uchaguzi na ilipelekea Nchi hiyo kuwekewa vikwazo Vikali na kuporomoka Kwa Uchumi na kuigeuza Zimbabwe ambayo ilikuwa na usatwi kuwa Moja ya Mataifa ya kishenzi yaani failed state.
View attachment 2994872

My Take
Hizo ndio hasara za siasa za Kukurupuka na mihemko.Kiko wapi Sasa? Unalipa na fidia Juu.

Kunae yule wa makinikia nae alitaka afanye hayo hayo kabla ya kurudi nyuma japo aliwafanyia wafanyabiashara wa Beureu De Change ambao Samia kawarudishia pesa zao.
Say no to jpm the dictator
 
Na faida ya kuwarudishia Bureau De change zao ni Dollar kupanda hadi 3,000
Dola inapanda sababu ya high import bill,look here 👇👇
20240518_085142.jpg


Pia sababu za kupanda Kwa Dola ziko world wide na Africa imekumbwa na Changamoto hizo ambazo hazikuwepo awamu ya Magufuli na Wala sio kwamba eti yeye ndio alidhibiti.
 
Baada ya aliyekuwa Rais wa Zimbabwe Marehemu Mugabe kuwapora Walowezi wa Kizungu na ambao walikuwa Rais wa Zimbabwe wenye Asili ya Uingereza,hatimaye Serikali imetangaza kuanza kuwalipa mabilioni ya fidia kutokana na kuporwa Mali Yao.

Uporaji wa mashamba ya Walowezi wa Kizungu ulifanyika kama kete ya Kisiasa ya Mugabe kushinda uchaguzi na ilipelekea Nchi hiyo kuwekewa vikwazo Vikali na kuporomoka Kwa Uchumi na kuigeuza Zimbabwe ambayo ilikuwa na usatwi kuwa Moja ya Mataifa ya kishenzi yaani failed state.
View attachment 2994872

My Take
Hizo ndio hasara za siasa za Kukurupuka na mihemko.Kiko wapi Sasa? Unalipa na fidia Juu.

Kunae yule wa makinikia nae alitaka afanye hayo hayo kabla ya kurudi nyuma japo aliwafanyia wafanyabiashara wa Beureu De Change ambao Samia kawarudishia pesa zao.
Wakati wqnaoorwa huyu MNANGWAGWA Alikuwa nani vile? Alichukua hatua gani?
 
Wakati wqnaoorwa huyu MNANGWAGWA Alikuwa nani vile? Alichukua hatua gani?
Waziri au Mwanajeshi unaweza chukua hatua ipi kinyume na Rais?

Hii Haina tofauti na wale wapumbavu wanaosemaga ooh wakati akiwa hai hawakuseka Kwa nini? Kwa hiyo waseme Ili wauwawe au?
 
Anayelipa fidia ni mkurupukaji na mwoga.ardhi walinyang'anywa waafrika na kijimilikisha wazungu pasipo kihalali.Mugabe alichokifanya ni kuirudisha Kwa wenyewe waafrika.
Waafrika walifanya nini kwenye hiyo ardhi zaidi ya kufilisika.
 
Baada ya aliyekuwa Rais wa Zimbabwe Marehemu Mugabe kuwapora Walowezi wa Kizungu na ambao walikuwa Rais wa Zimbabwe wenye Asili ya Uingereza,hatimaye Serikali imetangaza kuanza kuwalipa mabilioni ya fidia kutokana na kuporwa Mali Yao.

Uporaji wa mashamba ya Walowezi wa Kizungu ulifanyika kama kete ya Kisiasa ya Mugabe kushinda uchaguzi na ilipelekea Nchi hiyo kuwekewa vikwazo Vikali na kuporomoka Kwa Uchumi na kuigeuza Zimbabwe ambayo ilikuwa na usatwi kuwa Moja ya Mataifa ya kishenzi yaani failed state.
View attachment 2994872

My Take
Hizo ndio hasara za siasa za Kukurupuka na mihemko.Kiko wapi Sasa? Unalipa na fidia Juu.

Kunae yule wa makinikia nae alitaka afanye hayo hayo kabla ya kurudi nyuma japo aliwafanyia wafanyabiashara wa Beureu De Change ambao Samia kawarudishia pesa zao.
Jinga kabisa wewe. Zee Zima jinga.
 
Mmechukua mashamba na tangu mmchukue mmeshindwa kufanya lolote ,mwafrika bwana

Ova

Kazi ya muafrika ni kama kazi ya yule sijui Dr au mchawi. Anajiita Sule. Anadanganya wajinga wenzake anatuma majini Ulaya na Marekani. Unashangaa akishayatuma yeye anafaidika na nini, maana kila siku inayokwenda, hali yake inachechemea, afadhali ya jana.
Hatuko serious na mambo ya ulimwengu huu. Bora nirudi zangu Kisaki na Dutumi, nikashiriki kwenye zile mila zetu na desturi
 
Waziri au Mwanajeshi unaweza chukua hatua ipi kinyume na Rais?

Hii Haina tofauti na wale wapumbavu wanaosemaga ooh wakati akiwa hai hawakuseka Kwa nini? Kwa hiyo waseme Ili wauwawe au?
Kumbe adhabu ya kusema ukweli ni kuuwawa? Ah basi basi.
Je siyo kweli kwamba imeandikwa ... nitasema ukweli daima fitna kwangu mwiko?
 
Kumbe adhabu ya kusema ukweli ni kuuwawa? Ah basi basi.
Je siyo kweli kwamba imeandikwa ... nitasema ukweli daima fitna kwangu mwiko?
Inategemea aina ya ukweli,maslahi Yako na ya familia Huwa ni muhimu zaidi maana sio Kila mtu ni binadamu
 
ZANU PF ni kama CCM tu Wakomunisti Uchwara.

Mkusanyiko wa wapigaji...na wanadhani mambo yatakaa hivyo milele. Kumbe kumeanza tena kukucha. Zimbabwe lazima wajitafakari.
Wachache kula mali za wengi kwa giliba ni laana
 
Back
Top Bottom