Siasa za majukwaa awamu hii ya Rais Hassan itakuwa ni vioja

Siasa za majukwaa awamu hii ya Rais Hassan itakuwa ni vioja

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
"Political manipulation with protection and defence"

Chadema iliyolamba asali, ACT iliyolamba asali, NCCR na CUF za Msajili, na vyama vingine mdebwedo, jiandaeni kwa vichekesho. Mimi sio mtabiri ila hali ndio itakuwa hivyo, hii inaitwa awamu mpito na awamu mseto.

Tanganyika haina furaha na furaha feki inalazimishwa kwa kulambisha asali watu wachache.

Ni hayo tu katika mchanyato


Wadiz
CC wakali wote wa jukwaa
 
Kwaiyo wewe umeanza lini kuchambua siasa na wakati wewe ni expert wa Jukwaa la Mapenzi.
Kwenye mapenzi ni contextual entry strategy but expansively am all round and squarely pundit.

Ngoja zianze siasa za viduku za majukwaa ndio utajua mimi ni multidisciplinary katika uhalisia.
 
Kwenye mapenzi ni contextual entry strategy but expansively am all round and squarely pundit.

Ngoja zianze siasa za viduku za majukwaa ndio utajua mimi ni multidisciplinary katika uhalisia.
Aisee Mkuu , Mungu akulinde
 
That way I pray for you
Maana recently ulileta thread kuwa wake zako unaotembea nao wameungua makalio.
Hahahaaa sio wake mimi ni kisemeo au mouth piece sio kila thread inabeba uhalisia wangu, ila ni ukweli wanawake wengi wana mabaka mabaka mwili, nikiona demu ana mabaka mabaka au makovu nawapiga chini na ninekutana na sample kama 5 hivi nikaghaili, sifanyi kosa.
 
Kwanini usianze kuwatibu wake zako ili wapone ? Makalio uliyodai yameungua kwa mkorogo
Musaja lekaa nawe, tulekee mapenzi, tulikupolitics let's jam with political space and it's prospective vibrancy
 
Back
Top Bottom