Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
- Thread starter
- #21
Nsharusha ujumbe huko kwenye jukwaaa lako pendwa nimekupa dawa ya kutokuwa na stress demu akikupiga chiniHuyu ngono na Uzinzi ndo vitu vyake sahihi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nsharusha ujumbe huko kwenye jukwaaa lako pendwa nimekupa dawa ya kutokuwa na stress demu akikupiga chiniHuyu ngono na Uzinzi ndo vitu vyake sahihi
Hivi hapo ulipoandika "iloyolamba asali" unamaanisha nini?Tuanze hapo kwanza."Political manipulation with protection and defence"
Chadema iliyolamba asali, ACT iliyolamba asali, NCCR na CUF za Msajili, na vyama vingine mdebwedo, jiandaeni kwa vichekesho. Mimi sio mtabiri ila hali ndio itakuwa hivyo, hii inaitwa awamu mpito na awamu mseto.
Tanganyika haina furaha na furaha feki inalazimishwa kwa kulambisha asali watu wachache.
Ni hayo tu katika mchanyato
Wadiz
CC wakali wote wa jukwaa