Siasa za msikiti Uingereza

Hivi ndugu zetu Wakristo mbona huwa mnajisahau sana. Tatizo kama hili la Udom liliwahi tokea pale chuo cha Diplomasia Kurasini
Pale ilionekana kuna harufu za udini, waislam walikionekana wengi kuliko wakristo ikaundwa tume kwenda kuchunguza hilo
Bahati mbaya ile tume wajumbe wote walikuwa wakristo
Hatuwezi ku justify ubaguzi kwa kutumia ubaguzi hata siku moja na haya ndio naona yanatokea NSSF na UDOM Hizi ni taasisi za wasomi na ziko kisomi zaidi hivyo hata approach zao za kutatua matatizo yao inapaswa yawe ya kisomi zaidi
Vitu vinavyoonekana vidogo vidogo kama hivi ndio hujenga matukio kama yale ya Rwanda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Hapa kisa ni kukataa kufaulisha, kufundisha dini au kuwa muislamu?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikionacho hapa hao wazee walikua na upendo na Mwl Nyerere sio na wa Kristo. coz hawakumsapoti nyerere juu ya mambo ya kanisa na hapo ndipo naanza kupata hisia za kwanini shule za kiisilamu ufaulu wao ni mdogo, nyerere alikua kichwa hapo nani mwingine angesimama kudai uhuru kwa wasomi.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu tunapozungumzia muislamu au mkristo hivi hawa watu tunawafaham kwa vigezo gani, au majina tuu. Kama ni hivyo basi jibu la swali lako ni hili, anayetufikisha huku unapopaona tunabaguana ni yule aliyetutaka tuachane na majina yetu ya asili ya mwafrica na kuanza kutumia majina ya asili ya warabu na wazungu. Ambaye ni hizi DINI.. lakini tukiyaangalia maisha nje ya dini amini nakuambia bado hatujaanza hata robo ya chuki zakubaguana kutokana na maisha yetu ya kila siku.

kwangu sina muisilamu wala mkristo mi namjua mtanzania tuu hao wengine wabaguanao sijui kuchukiana na wanaoumizwa na hao wote nadhi watakua ni wafuasi wa wazungu na waarabu tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi wewe ushawahi kwenda Kanisa lolote ukakuta Wakristo wananaizungumzia dini ya mbakaji Muhammad?

misikitini huko sina haja ya kuuliza kwani Koran yenyewe inaeleza habari zetu
 
Baada ya miaka 50 ulaya yote itakua Islamic continent. Wenzetu wengi wanaelekea huko toka Middle East na North Africa na idadi yetu haitopungua kamwe. Inshaallah

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulaya wakiwa waislamu wote wewe mmakua utafaidika na nini au ndio mmeambiwa mtaenda mbinguni?
 
Siyo tu Tanzania, nchi nyingi za Africa ni wafia dini...

Ila huko dini zilipotoka au kuanzia hawana shida wala habari...


Cc: mahondaw
 
Hivi ni makanisa mangapi nayo yamevunjwa kwa sababu hizohizo lkn watu wamekaa kimya na hawalalamiki hovyo? Unajua hii ndio maana mnaonekana nyie ni watu wa lawama tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…