Adilinanduguze2
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 1,386
- 1,919
Hivi ndugu zetu Wakristo mbona huwa mnajisahau sana. Tatizo kama hili la Udom liliwahi tokea pale chuo cha Diplomasia Kurasini
Pale ilionekana kuna harufu za udini, waislam walikionekana wengi kuliko wakristo ikaundwa tume kwenda kuchunguza hilo
Bahati mbaya ile tume wajumbe wote walikuwa wakristo
Hatuwezi ku justify ubaguzi kwa kutumia ubaguzi hata siku moja na haya ndio naona yanatokea NSSF na UDOM Hizi ni taasisi za wasomi na ziko kisomi zaidi hivyo hata approach zao za kutatua matatizo yao inapaswa yawe ya kisomi zaidi
Vitu vinavyoonekana vidogo vidogo kama hivi ndio hujenga matukio kama yale ya Rwanda
Sent using Jamii Forums mobile app
Pale ilionekana kuna harufu za udini, waislam walikionekana wengi kuliko wakristo ikaundwa tume kwenda kuchunguza hilo
Bahati mbaya ile tume wajumbe wote walikuwa wakristo
Hatuwezi ku justify ubaguzi kwa kutumia ubaguzi hata siku moja na haya ndio naona yanatokea NSSF na UDOM Hizi ni taasisi za wasomi na ziko kisomi zaidi hivyo hata approach zao za kutatua matatizo yao inapaswa yawe ya kisomi zaidi
Vitu vinavyoonekana vidogo vidogo kama hivi ndio hujenga matukio kama yale ya Rwanda
Sent using Jamii Forums mobile app