#COVID19 Siasa za nchi yetu na wingi wa vifo mitaani

#COVID19 Siasa za nchi yetu na wingi wa vifo mitaani

Serikali haina hela ya kupambana na Covid ipasavyo. Wakifanya lockdown watu watakufa njaa, uchumi utaporomoka na hali ya amani inaweza kupotea, wakiwapa takwimu za kweli za jinsi ya huu ugonjwa ulivyosambaa chanjo zilizotolewa msaada hazitatosha maana wengi watazitaka na hela za kununua chanjo hakuna. Matibabu ya wagonjwa wa Covid ni gharama sana, hospitali zinaelemewa. Ndiyo maana unaona yanayoendelea sasa hivi.
Nani kaomba lockdown ?!

Angalau wawe wakweli. Kwani mwanzo ni serikali hii hii iliyokataa swala la Corona na kuibatiza jina la "changamoto ya upumuaji" . Lakini ghafla ni hawa hawa wanaimiza chanjo za Corona leo !!. Ukweli uko wapi na tusimamie lipi ?!
 
Kweli kabisa,Sasa jamii ifanye nini iliiokoke?

Jamii inahitaji uongozi kuwakabili tuliowapa dhamana hawa wasio wajibika kwetu.

Wanadai kipaumbele ni kusimamisha uchumi, bila shaka wakimaanisha uchumi wao si wetu.

Uchumi wetu vipi wakati walioongezewa kodi na tozo ni sisi? Uchumi wetu vipi wakati sisi waathirika wa ugonjwa tunajigharimia wenyewe? Uchumi wetu vipi wakati sisi tumetelekezewa janga peke yetu?

Hawa ni lazima kuwakabili na kuwafahamisha na watuelewe wazi wazi kuwa tunataka:

1. Mpango mkakati unaoeleweka wa kupambana na ugonjwa huu.
2. Wapotoshaji wa ugonjwa huu katika kipindi chochote hawawezi kuwa makamanda wetu katika vita nao katika kipindi chochote.
3. Masuala ya ugonjwa huu yanapaswa kuwa ni kipaumbele hadi tutakapojiridhisha kwenye uelekeo wa ugonjwa wenyewe.
4. Masuala ya ugonjwa huu yakabadhiwe na kushughulikiwa na wataalamu husika wa mambo ya afya.

Ni lazima wenye dhamana wayajue haya na si vinginevyo.
 
Jamii inahitaji uongozi kuwakabili tuliowapa dhamana hawa wasio wajibika kwetu.

Wanadai kipaumbele ni kusimamisha uchumi, bila shaka wakimaanisha uchumi wao si wetu.

Uchumi wetu vipi wakati walioongezewa kodi na tozo ni sisi? Uchumi wetu vipi wakati sisi waathirika wa ugonjwa tunajigharimia wenyewe? Uchumi wetu vipi wakati sisi tumetelekezewa janga peke yetu?

Hawa ni lazima kuwakabili na kuwafahamisha na watuelewe kuwa tunataka:

1. Mpango mkakati unaoeleweka wa kupambana na ugonjwa huu.
2. Wapotoshaji wa ugonjwa huu katika kipindi chochote hawawezi kuwa makamanda wetu katika vita nao katika kipindi chochote.
3. Masuala ya ugonjwa huu yanapaswa kuwa ni kipaumbele hadi tutakapojiridhisha kwenye uelekeo wa ugonjwa wenyewe.
4. Masuala ya ugonjwa huu yakabadhiwe na kushughulikiwa na wataalamu husika wa mambo ya afya.

Wayajue hayo na si vinginevyo.
Nimekuelewaa
 
Hahaaaaaa bora hata enzi za kujifukiza mara miambili hakukuwa na shida kama kipindi hiki cha chanjo
 
Habari wadau wa JF

Kuna vurugu za maneno zinaendelea huko Kati ya wanasiasa katiba mpya na wengine chanjo ya covid19.

Tukiangalia mtaani vifo vimekuwa vingi lakini hatujui chanzo chake nini.

Tunaambiwa kuwa covid19 wagonjwa wapo lakini hawafiki hata 1000 maana last time Gwajima kuongelea hilo alitaja watu Kama 628 na tokea hapo hamna update hivyo hamna visa zaidi vya covid19.

Hali mtaani ipoje?
Kwa mwaka huu mzima toka January kumekuwa na vifo vingi ambapo tumeshindwa kujua nini chanzo chake maaana hata ndugu hawataki kusema.

Mwezi wa 7 na huu August hali ndio imekuwa mbaya zaidi mathalani wiki iliopita nilihuzuria misiba zaidi ya 9 iliyokuwa inanihusu kabisa yani ya ndugu wa karibu na bado imekuwa kawaida mjumbe wa serikali ya mtaa anapitia mchango wa rambirambi kila kawaida.

SIASA ZETU NA HILI TATIZO
siasa zetu ni kama hawaoni watu wakipuputika wao wanaendelea kujadili vitu visivyo vya muhimu maana afya na uhai ndio ya kwanza.

Namshangaa Dkt. Gwajima Kama Waziri wa Afya asilitolee ufafanuzi hili.

Au ndio nchi haijali maisha wanayopitia wananchi wakee?
Wananchi wamegoma hawanahabari na Korona, hawataki kusikia wa kufuata maelekezo ya kujikinga na Korona, wao ni LIWALO NA LIWE.
 
Hao mnaotaka muwaambie kuwa watu wanakufa ni wengi wao kwani wapo dunia gani ambayo hawaoni hivyo vifo vingi mnavyovitangaza!?

Corona kwa tz ilishafeli kitambo. Watanzania ni watu wakujuliana hari,kama kuna jirani anaumwa basi majirani karibia ya wote wanajua nini shida ya mgonjwa, inapotokea yule mgonjwa kafa wanajua kilichomuua ni nini.

Na ndo hao hao watakaokuwepo kwenye msiba. sasa itokee mgonjwa alikuwa ana cancer ya muda mrefu inamsumbua na wao wanajua kilichomuondoa ni cancer alafu nyie mje mseme ni corona hapo ndo hawawezi kukueleweni kamwe na ndo maana mpaka leo kwenye madaladala watu wanajazana na bar zinatema.
Magonjwa Kama Asthma,Pneuonia,mafua ya kawaida yanalamishwa yawe Corona.
 
Habari wadau wa JF

Kuna vurugu za maneno zinaendelea huko Kati ya wanasiasa katiba mpya na wengine chanjo ya covid19.

Tukiangalia mtaani vifo vimekuwa vingi lakini hatujui chanzo chake nini.

Tunaambiwa kuwa covid19 wagonjwa wapo lakini hawafiki hata 1000 maana last time Gwajima kuongelea hilo alitaja watu Kama 628 na tokea hapo hamna update hivyo hamna visa zaidi vya covid19.

Hali mtaani ipoje?
Kwa mwaka huu mzima toka January kumekuwa na vifo vingi ambapo tumeshindwa kujua nini chanzo chake maaana hata ndugu hawataki kusema.

Mwezi wa 7 na huu August hali ndio imekuwa mbaya zaidi mathalani wiki iliopita nilihuzuria misiba zaidi ya 9 iliyokuwa inanihusu kabisa yani ya ndugu wa karibu na bado imekuwa kawaida mjumbe wa serikali ya mtaa anapitia mchango wa rambirambi kila kawaida.

SIASA ZETU NA HILI TATIZO
siasa zetu ni kama hawaoni watu wakipuputika wao wanaendelea kujadili vitu visivyo vya muhimu maana afya na uhai ndio ya kwanza.

Namshangaa Dkt. Gwajima Kama Waziri wa Afya asilitolee ufafanuzi hili.

Au ndio nchi haijali maisha wanayopitia wananchi wakee?
Dorothy yuko na shemejiye wanacheza kindumbwendumbwe.
 
Corona inakuzwa kuliko uhalisia,na JPM alituasa tuichukulia sawa na magonjwa mengine,hivyo hofu ipo kwa viongozi tu,watavaa Sana mibarakoa mpaka mioyo ipanuke.

Tuko kwenye kampeni ya kitaifa ya kulazimishana na kusukumiziana chanjo ya corona ili kuwa furahisha wafadhili akiwapo farm master.
 
Habari wadau wa JF

Kuna vurugu za maneno zinaendelea huko Kati ya wanasiasa katiba mpya na wengine chanjo ya covid19.

Tukiangalia mtaani vifo vimekuwa vingi lakini hatujui chanzo chake nini.

Tunaambiwa kuwa covid19 wagonjwa wapo lakini hawafiki hata 1000 maana last time Gwajima kuongelea hilo alitaja watu Kama 628 na tokea hapo hamna update hivyo hamna visa zaidi vya covid19.

Hali mtaani ipoje?
Kwa mwaka huu mzima toka January kumekuwa na vifo vingi ambapo tumeshindwa kujua nini chanzo chake maaana hata ndugu hawataki kusema.

Mwezi wa 7 na huu August hali ndio imekuwa mbaya zaidi mathalani wiki iliopita nilihuzuria misiba zaidi ya 9 iliyokuwa inanihusu kabisa yani ya ndugu wa karibu na bado imekuwa kawaida mjumbe wa serikali ya mtaa anapitia mchango wa rambirambi kila kawaida.

SIASA ZETU NA HILI TATIZO
siasa zetu ni kama hawaoni watu wakipuputika wao wanaendelea kujadili vitu visivyo vya muhimu maana afya na uhai ndio ya kwanza.

Namshangaa Dkt. Gwajima Kama Waziri wa Afya asilitolee ufafanuzi hili.

Au ndio nchi haijali maisha wanayopitia wananchi wakee?
Ipo mipango mingi ambayo ilikwisha andaliwa miaka mingi ya kuleta genocide,wala usimlaumu Gwajima naye kazaliwa kaikuta mipango hiyo ipo,na kama anaijua itakuwa bahati sana.Mkuu hivi kwa akili zako unadhani diabetes,cancers,HBP etc.chanjo chake nini hasa.Jiongeze mkuu,do your own research usitegemee kila kitu serikali ikufanyie.

By the way never think the government has your best interest at heart.
 
Ipo mipango mingi ambayo ilikwisha andaliwa miaka mingi ya kuleta genocide,wala usimlaumu Gwajima naye kazaliwa kaikuta mipango hiyo ipo,na kama anaijua itakuwa bahati sana.Mkuu hivi kwa akili zako unadhani diabetes,cancers,HBP etc.chanjo chake nini hasa.Jiongeze mkuu,do your own research usitegemee kila kitu serikali ikufanyie.

By the way never think the government has your best interest at heart.
Hizi paranoia kuwa kuna watu walipanga kufanya genocide ni dalili za kichaa, au umeangalia movie kupita kiasi.
 
Habari wadau wa JF

Kuna vurugu za maneno zinaendelea huko Kati ya wanasiasa katiba mpya na wengine chanjo ya covid19.

Tukiangalia mtaani vifo vimekuwa vingi lakini hatujui chanzo chake nini.

Tunaambiwa kuwa covid19 wagonjwa wapo lakini hawafiki hata 1000 maana last time Gwajima kuongelea hilo alitaja watu Kama 628 na tokea hapo hamna update hivyo hamna visa zaidi vya covid19.

Hali mtaani ipoje?
Kwa mwaka huu mzima toka January kumekuwa na vifo vingi ambapo tumeshindwa kujua nini chanzo chake maaana hata ndugu hawataki kusema.

Mwezi wa 7 na huu August hali ndio imekuwa mbaya zaidi mathalani wiki iliopita nilihuzuria misiba zaidi ya 9 iliyokuwa inanihusu kabisa yani ya ndugu wa karibu na bado imekuwa kawaida mjumbe wa serikali ya mtaa anapitia mchango wa rambirambi kila kawaida.

SIASA ZETU NA HILI TATIZO
siasa zetu ni kama hawaoni watu wakipuputika wao wanaendelea kujadili vitu visivyo vya muhimu maana afya na uhai ndio ya kwanza.

Namshangaa Dkt. Gwajima Kama Waziri wa Afya asilitolee ufafanuzi hili.

Au ndio nchi haijali maisha wanayopitia wananchi wakee?
Aisee kweli vifo KWa Sasa vimeongezeka
 
Hakuna corona Tanzania,mwisho utakuwa mzuri tu.Mbona kwa Magufuli tulikuwa salama,iweje sasa mambo yabadilike ghafla,wachanjane wenyewe.
Kwa magufuli gani?
Mimi sijasema covid19 ipo,ila nimeomba ufafanuzi toka January kuna ongezeko la vifo na huyo magufuli alikuepo na yeye akafa kifo chenye utata kwetu sisi watanzania
 
Kawaida mbona hata Moro yasemekana mochari imejaa yaani hakuna nafasi tena.
 
Ipo mipango mingi ambayo ilikwisha andaliwa miaka mingi ya kuleta genocide,wala usimlaumu Gwajima naye kazaliwa kaikuta mipango hiyo ipo,na kama anaijua itakuwa bahati sana.Mkuu hivi kwa akili zako unadhani diabetes,cancers,HBP etc.chanjo chake nini hasa.Jiongeze mkuu,do your own research usitegemee kila kitu serikali ikufanyie.

By the way never think the government has your best interest at heart.
Nipe maelekezo zaidi,ni akina nani hao na kwa faida ipi watapata
 
Back
Top Bottom