#COVID19 Siasa za nchi yetu na wingi wa vifo mitaani

#COVID19 Siasa za nchi yetu na wingi wa vifo mitaani

Mjinga kweli kweli.Kwa hiyo unaamini tunapata knowledge from hard copies tu.Umechelewa sana.Infact ukifanya presentation au ukifundisha kwa kutumia video audience yako inakuelewa zaidi.Labda kwa sababu umenichokoza nikuambie wazi elimu yangu.
1.Mimi nimechukua Soil Science halafu nime specialize in Pedology.Pedology nimechukulia Agricultural University of Norway.
2.Nimechukua pia
Microbiology with specialization in Virology.Hii ni Programme ambayo niliichukulia Uppsala University kwa kushirikiana na Agricultural University of Norway at As.
narudia tena hujawahi ingia mahabara yoyote labda zile za wapiga ramli
 
Mjinga kweli kweli.Kwa hiyo unaamini tunapata knowledge from hard copies tu.Umechelewa sana.Infact ukifanya presentation au ukifundisha kwa kutumia video audience yako inakuelewa zaidi.Labda kwa sababu umenichokoza nikuambie wazi elimu yangu.
1.Mimi nimechukua Soil Science halafu nime specialize in Pedology.Pedology nimechukulia Agricultural University of Norway.
2.Nimechukua pia
Microbiology with specialization in Virology.Hii ni Programme ambayo niliichukulia Uppsala University kwa kushirikiana na Agricultural University of Norway at As.
Unaweza ukawa na makaratasi ambayo mnaita vyeti ila bado ukawa mjinga, umeulizwa speciality yako kwenye virology , mpaka mda huu ni chanjo gani ya virus umegundua?
 
Ujuaji wako baki nao kwako na familia yako , waweza jiona mwelevu ,kumbe limbukeni wa kutupa, Kama unayajua lipi umefanya elimisha jamii yako iliyokuzunguka, ?
🤣🤣🤣🤣
Ulivyo serious utafikiri unajua lolote🤣🤣🤣🤣
 
Serikali inafeli kwenye issue ya Corona kwasababu wameshindwa kuwa wakweli, mfano, huwa wanatoa taarifa za idadi ya waliopata chanjo lakini hawasemi wagonjwa wa Corona ni wangapi, na vifo ni vingapi, they are too selective.

Hapo kwenye idadi ya vifo inawezekana wanaogopa kuwatisha wananchi, lakini ni bora uwaambie ukweli wajue kuliko kuendelea kukaa kimya ndio maana hata chanjo wengi hawaitaki, ni kwasababu bado hawajajua full extent ya damage inayosababishwa na Corona kwenye jamii yetu.
Corona dudu hatari hili. Ukidungwa chanjo unakwenda usipodungwa unakwenda hapa ni Mungu tu atusaidie.
 
Hao mnaotaka muwaambie kuwa watu wanakufa ni wengi wao kwani wapo dunia gani ambayo hawaoni hivyo vifo vingi mnavyovitangaza!?

Corona kwa tz ilishafeli kitambo. Watanzania ni watu wakujuliana hari,kama kuna jirani anaumwa basi majirani karibia ya wote wanajua nini shida ya mgonjwa, inapotokea yule mgonjwa kafa wanajua kilichomuua ni nini.

Na ndo hao hao watakaokuwepo kwenye msiba. sasa itokee mgonjwa alikuwa ana cancer ya muda mrefu inamsumbua na wao wanajua kilichomuondoa ni cancer alafu nyie mje mseme ni corona hapo ndo hawawezi kukueleweni kamwe na ndo maana mpaka leo kwenye madaladala watu wanajazana na bar zinatema.
Inawezekana pia mtu akawa na cancer au na ugonjwa wowote ule lakini akafa kwa sababu ya Corona na sio ugonjwa aliokuwa hapo awali.
 
Habari wadau wa JF

Kuna vurugu za maneno zinaendelea huko Kati ya wanasiasa katiba mpya na wengine chanjo ya covid19.

Tukiangalia mtaani vifo vimekuwa vingi lakini hatujui chanzo chake nini.

Tunaambiwa kuwa covid19 wagonjwa wapo lakini hawafiki hata 1000 maana last time Gwajima kuongelea hilo alitaja watu Kama 628 na tokea hapo hamna update hivyo hamna visa zaidi vya covid19.

Hali mtaani ipoje?
Kwa mwaka huu mzima toka January kumekuwa na vifo vingi ambapo tumeshindwa kujua nini chanzo chake maaana hata ndugu hawataki kusema.

Mwezi wa 7 na huu August hali ndio imekuwa mbaya zaidi mathalani wiki iliopita nilihuzuria misiba zaidi ya 9 iliyokuwa inanihusu kabisa yani ya ndugu wa karibu na bado imekuwa kawaida mjumbe wa serikali ya mtaa anapitia mchango wa rambirambi kila kawaida.

SIASA ZETU NA HILI TATIZO
siasa zetu ni kama hawaoni watu wakipuputika wao wanaendelea kujadili vitu visivyo vya muhimu maana afya na uhai ndio ya kwanza.

Namshangaa Dkt. Gwajima Kama Waziri wa Afya asilitolee ufafanuzi hili.

Au ndio nchi haijali maisha wanayopitia wananchi wakee?
Katiba hii mbovu inatoa mwanya viongozi kufanya upuuzi kama huu.
 
Back
Top Bottom