#COVID19 Siasa za nchi yetu na wingi wa vifo mitaani

#COVID19 Siasa za nchi yetu na wingi wa vifo mitaani

CCM ndiyo wanaoharibu mambo nchini kwetu, kuna siku yaja tutajuta kuendelea kuwa na hawa jamaa.
 
Tuko kwenye kampeni ya kitaifa ya kulazimishana na kusukumiziana chanjo ya corona ili kuwa furahisha wafadhili akiwapo farm master.
Wamerikoroga walinywe wao,walimhada mzungu ndani ya siku mbili chanjo zitakuwa zimeisha,mtachanja mpaka vitukuu vyenu ili ziishe.

Chezea Watz ambao Mwendazake aliwaondolea hofu,mtahangaika Sana.
 
Hahaaaaaa bora hata enzi za kujifukiza mara miambili hakukuwa na shida kama kipindi hiki cha chanjo
Ni hivi ulipokuja ugonjwa huu mara ya kwanza na taarifa kutolewa bila kificho, watu walijikinga na kufuata masharti yote ya kitaalam, ndio maana tuliweza kudhibiti maambukizi, na hapo mwendazake akaingiza siasa za maombi kuondoa Corona na ikaaminika kuwa yeye ameondoa corona, corona haipo tz na hadithi zote za upotoshaji zikaanzia hapo. Sasa leo hao hao ndio wanapambana ktumuaminisha kuwa sasa kuna corona na tuchanje.
 
Hizi paranoia kuwa kuna watu walipanga kufanya genocide ni dalili za kichaa, au umeangalia movie kupita kiasi.
Sijaangalia movie na wala mimi si mpenzi wa movie.Hata hivyo ni kweli ipo mipango ya kupunguza watu.Sikiliza clip ifuatayo uone Bill Gates akiweka wazi mpango huo.





Soma pia targets zifuatazo za Illuminati,utaona mipango yao kwa wanadamu.Soma hasa goals 1-11,utaona haya yanayotokea sasa.



Goals of the Illuminati(a.k.a NWO) and The Committee of 300
By Dr. John Coleman.(Written ca. 1993)
21 Goals of the Illuminati and The Committee of 300 by Dr. John Coleman (ca. 1993)
F rom: Conspirators' Hierachy: The Story of The Committee of 300
1. To establish a One World Government/New World Order with a unified church and monetary
system under their direction. The One World Government began to set up its church in the 1920:s
and 30:s, for they realized the need for a religious belief inherent in mankind must have an outlet
and, therefore, set up a "church" body to channel that belief in the direction they desired.
2. To bring about the utter destruction of all national identity and national pride, which was a
primary consideration if the concept of a One World Government was to work.
3. To engineer and bring about the destruction of religion, and more especially, the Christian
Religion, with the one exception, their own creation, as mentioned above.
4. To establish the ability to control of each and every person through means of mind control and
what Zbignew Brzezinski called techonotronics, which would create human-like robots and a
system of terror which would make Felix Dzerzinhski's Red Terror look like children at play.
5. To bring about the end to all industrialization and to end the production of nuclear generated
electric power in what they call "the post-industrial zero-growth society". Excepted are the
computer- and service industries. US industries that remain will be exported to countries such as
Mexico where abundant slave labor is available. As we saw in 1993, this has become a fact through
the passage of the North American Free Trade Agreement, known as NAFTA. Unemployables
in the US, in the wake of industrial destruction, will either become opium-heroin and/or cocaine
addicts, or become statistics in the elimination of the "excess population" process we know of today
as Global 2000.
6. To encourage, and eventually legalize the use of drugs and make pornography an "art-
form", which will be widely accepted and, eventually, become quite commonplace.
7. To bring about depopulation of large cities according to the trial run carried out by the Pol Pot
regime in Cambodia. It is interesting to note that Pol Pot's genocidal plans were drawn up in the US
by one of the Club of Rome's research foundations, and overseen by Thomas Enders, a high-
ranking State Department official. It is also interesting that the committee is currently seeking to
reinstate the Pol Pot butchers in Cambodia.
8. To suppress all scientific development except for those deemed beneficial by the
Illuminati. Especially targeted is nuclear energy for peaceful purposes. Particularly hated are
the fusion experiments currently being scorned and ridiculed by the Illuminati and its jackals of the
press. Development of the fusion torch would blow the Illuminati's conception of "limited natural
 
Sijaangalia movie na wala mimi si mpenzi wa movie.Hata hivyo ni kweli ipo mipango ya kupunguza watu.Sikiliza clip ifuatayo uone Bill Gates akiweka wazi mpango huo.



Ndiyo hizo conspirancy sites zinazokufanya uwe paranoid. Mbaya zaidi ni kuwa utazidi kuzitembelea zinazounga mkono paranoia yako. Jambo litakalo kufanya uzidi kuwa paranoid.
 
Sijaangalia movie na wala mimi si mpenzi wa movie.Hata hivyo ni kweli ipo mipango ya kupunguza watu.Sikiliza clip ifuatayo uone Bill Gates akiweka wazi mpango huo.



nyie ndio mnasomea udaktari youtube na kwenye mitandao ya kijamii..
na kuja na hoja kuwapinga waliokaa darasani na kuingia maabara
duuh kweli ujinga unabaki kuwa adui!
 
Ni hivi ulipokuja ugonjwa huu mara ya kwanza na taarifa kutolewa bila kificho, watu walijikinga na kufuata masharti yote ya kitaalam, ndio maana tuliweza kudhibiti maambukizi, na hapo mwendazake akaingiza siasa za maombi kuondoa Corona na ikaaminika kuwa yeye ameondoa corona, corona haipo tz na hadithi zote za upotoshaji zikaanzia hapo. Sasa leo hao hao ndio wanapambana ktumuaminisha kuwa sasa kuna corona na tuchanje.
Tatizo la Tanzania ni KATIBA. Inamfanya Rais kuwa mungumutu . Anachokiwaza ni la taifa hata kwa mambo binafsi. Maghufuli alipingana na chanjo. Na ndiyo ukawa wimbo wa taifa. Leo Samiah anaikumbatia chanjo na ndiyo umekuwa wimbo wa taifa.

Ma Rais wa nchi hii wamekuwa mamiunguwatu. Kwamba wawaze kwa niaba ya wananchi.

Ndiyo maana Dr Gwajima march kurudi nyuma alikuwa anapingana na chanjo kisa Rais . Na ni huyo huyo leo anashadidia chanjo kisa Rais !! KATIBA mbovu
 
Side effects za chanjo, maana wanaokufa wengi ni wazito tu.
kijijini mala ya mwisho kuvaa barakoa ilikuwa kwenye wimbi la Kwanza.
Sasa hivyi ni comedy tu.
Iyo kusema ni side effect za chanjo nakataa , kwani wanaokufa wote tiyari wanakua wamechanjwa?

Shida pia sie watz wabishi mno yani unakuta watu msibani hawajui chanzo Cha kifo ila wamejazana hata barakoa hawavai ACHA tufe ndo tutapata adabu
 
Wamerikoroga walinywe wao,walimhada mzungu ndani ya siku mbili chanjo zitakuwa zimeisha,mtachanja mpaka vitukuu vyenu ili ziishe.

Chezea Watz ambao Mwendazake aliwaondolea hofu,mtahangaika Sana.

Na wakae wakijua CIA/USA never bet on losing race horse. Kinachofuata ni kugeukwa kwa juhudi na maarifa. Akili za kukumbatia mzinga wa nyuki ukiwa umeusaula.
 
Iyo kusema ni side effect za chanjo nakataa , kwani wanaokufa wote tiyari wanakua wamechanjwa?

Shida pia sie watz wabishi mno yani unakuta watu msibani hawajui chanzo Cha kifo ila wamejazana hata barakoa hawavai ACHA tufe ndo tutapata adabu
Eti barakoa,huku unashikana mikono kusalimiana na rafiki.
Barakoa lenyewe linavaliwa Toka asubuhi mpaka jioni hakuna kubadilisha.
Unatakiwa ubadilishe kila baada ya masaa 4.
Ni maigizo tu.
 
Eti barakoa,huku unashikana mikono kusalimiana na rafiki.
Barakoa lenyewe linavaliwa Toka asubuhi mpaka jioni hakuna kubadilisha.
Unatakiwa ubadilishe kila baada ya masaa 4.
Ni maigizo tu.
Ujuaji wako baki nao kwako na familia yako , waweza jiona mwelevu ,kumbe limbukeni wa kutupa, Kama unayajua lipi umefanya elimisha jamii yako iliyokuzunguka, ?
 
Ndiyo hizo conspirancy sites zinazokufanya uwe paranoid. Mbaya zaidi ni kuwa utazidi kuzitembelea zinazounga mkono paranoia yako. Jambo litakalo kufanya uzidi kuwa paranoid.
Kaa na ujinga wako,naona hayo ni matokeo ya kuchanjwa,maana mmeshindwa kujiongeza.Wenzenu tunajiongeza,hatutaki kulishwa pumba. Ridicule yako siishangai, ndivyo walivyo kufundisha mabwana zako CIA na Mockingbird Media.
 
Ndiyo hizo conspirancy sites zinazokufanya uwe paranoid. Mbaya zaidi ni kuwa utazidi kuzitembelea zinazounga mkono paranoia yako. Jambo litakalo kufanya uzidi kuwa paranoid.
Bill Gates anaongea wazi unasema ni conspiracy!Mkuu what then do you believe in.Anyway the fact that you believe kuna Concept ya conspiravy inaonyesha kwamba you are mind controlled and delusional.
 
Bill Gates anaongea wazi unasema ni conspiracy!Mkuu what then do you believe in.Anyway the fact that you believe kuna Concept ya conspiravy inaonyesha kwamba you are mind controlled and delusional.
Bill Getes kasema wana mpango wa kufanya mauaji ya kimbari? Punguza kusikiliza waeneza conspirancies. Wapo wengi sana, kama huna uelewa watakutia uchizi.
 
nyie ndio mnasomea udaktari youtube na kwenye mitandao ya kijamii..
na kuja na hoja kuwapinga waliokaa darasani na kuingia maabara
duuh kweli ujinga unabaki kuwa adui!
Nitajie walio ingia maabara mkuu.Na hata kama wameingia maabara,mimi nimeingia zaidi yao nilikuwa nalala maabara na Electron Microscope.
 
Bill Getes kasema wana mpango wa kufanya mauaji ya kimbari? Punguza kusikiliza waeneza conspirancies. Wapo wengi sana, kama huna uelewa watakutia uchizi.
Aisee,kweli Kiingereza kimekupitia pembeni,pembeni,pole.Naomba usikiliza hiyo clip tena.Halafu hata bila kusikiliza hiyo clip,mbona ipo wazi kwamba ipo genocide inayoendelea.Ns vifo bado,matumbo yatauma.

Halafu mind you mimi ninafanya research ya "Underground Societies and their Agenda on Humanity and the World," kwa hiyo sibahatishi najua mengi wanayofanya.
 
Nitajie walio ingia maabara mkuu.Na hata kama wameingia maabara,mimi nimeingia zaidi yao nilikuwa nalala maabara na Electron Microscope.
ungekuwa umeingia maabara hata semester moja usingetoa upupu wa reference ya youtube...by the way wewe ungendua nini mpaka sasa na kulala huko mahabara na ndio wasteg of resources..
 
Aisee,kweli Kiingereza kimekupitia pembeni,pembeni,pole.Naomba usikiliza hiyo clip tena.Halafu hata bila kusikiliza hiyo clip,mbona ipo wazi kwamba ipo genocide inayoendelea.Ns vifo bado,matumbo yatauma.

Halafu mind you mimi ninafanya research ya "Underground Societies and their Agenda on Humanity and the World," kwa hiyo sibahatishi najua mengi wanayofanya.
Unafanya hizo research ili kulisha paranoia yako. Hakuna mtu anafanya genocide. Relax.
 
ungekuwa umeingia maabara hata semester moja usingetoa upupu wa reference ya youtube...by the way wewe ungendua nini mpaka sasa na kulala huko mahabara na ndio wasteg of resources..
Mjinga kweli kweli.Kwa hiyo unaamini tunapata knowledge from hard copies tu.Umechelewa sana.Infact ukifanya presentation au ukifundisha kwa kutumia video audience yako inakuelewa zaidi.Labda kwa sababu umenichokoza nikuambie wazi elimu yangu.
1.Mimi nimechukua Soil Science halafu nime specialize in Pedology.Pedology nimechukulia Agricultural University of Norway.
2.Nimechukua pia
Microbiology with specialization in Virology.Hii ni Programme ambayo niliichukulia Uppsala University kwa kushirikiana na Agricultural University of Norway at As.
 
Back
Top Bottom