Side effects za chanjo, maana wanaokufa wengi ni wazito tu.Aisee kweli vifo KWa Sasa vimeongezeka
kijijini mala ya mwisho kuvaa barakoa ilikuwa kwenye wimbi la Kwanza.
Sasa hivyi ni comedy tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Side effects za chanjo, maana wanaokufa wengi ni wazito tu.Aisee kweli vifo KWa Sasa vimeongezeka
Wamerikoroga walinywe wao,walimhada mzungu ndani ya siku mbili chanjo zitakuwa zimeisha,mtachanja mpaka vitukuu vyenu ili ziishe.Tuko kwenye kampeni ya kitaifa ya kulazimishana na kusukumiziana chanjo ya corona ili kuwa furahisha wafadhili akiwapo farm master.
Ni hivi ulipokuja ugonjwa huu mara ya kwanza na taarifa kutolewa bila kificho, watu walijikinga na kufuata masharti yote ya kitaalam, ndio maana tuliweza kudhibiti maambukizi, na hapo mwendazake akaingiza siasa za maombi kuondoa Corona na ikaaminika kuwa yeye ameondoa corona, corona haipo tz na hadithi zote za upotoshaji zikaanzia hapo. Sasa leo hao hao ndio wanapambana ktumuaminisha kuwa sasa kuna corona na tuchanje.Hahaaaaaa bora hata enzi za kujifukiza mara miambili hakukuwa na shida kama kipindi hiki cha chanjo
Sijaangalia movie na wala mimi si mpenzi wa movie.Hata hivyo ni kweli ipo mipango ya kupunguza watu.Sikiliza clip ifuatayo uone Bill Gates akiweka wazi mpango huo.Hizi paranoia kuwa kuna watu walipanga kufanya genocide ni dalili za kichaa, au umeangalia movie kupita kiasi.
Sijaangalia movie na wala mimi si mpenzi wa movie.Hata hivyo ni kweli ipo mipango ya kupunguza watu.Sikiliza clip ifuatayo uone Bill Gates akiweka wazi mpango huo.
Sijaangalia movie na wala mimi si mpenzi wa movie.Hata hivyo ni kweli ipo mipango ya kupunguza watu.Sikiliza clip ifuatayo uone Bill Gates akiweka wazi mpango huo.
Tatizo la Tanzania ni KATIBA. Inamfanya Rais kuwa mungumutu . Anachokiwaza ni la taifa hata kwa mambo binafsi. Maghufuli alipingana na chanjo. Na ndiyo ukawa wimbo wa taifa. Leo Samiah anaikumbatia chanjo na ndiyo umekuwa wimbo wa taifa.Ni hivi ulipokuja ugonjwa huu mara ya kwanza na taarifa kutolewa bila kificho, watu walijikinga na kufuata masharti yote ya kitaalam, ndio maana tuliweza kudhibiti maambukizi, na hapo mwendazake akaingiza siasa za maombi kuondoa Corona na ikaaminika kuwa yeye ameondoa corona, corona haipo tz na hadithi zote za upotoshaji zikaanzia hapo. Sasa leo hao hao ndio wanapambana ktumuaminisha kuwa sasa kuna corona na tuchanje.
Iyo kusema ni side effect za chanjo nakataa , kwani wanaokufa wote tiyari wanakua wamechanjwa?Side effects za chanjo, maana wanaokufa wengi ni wazito tu.
kijijini mala ya mwisho kuvaa barakoa ilikuwa kwenye wimbi la Kwanza.
Sasa hivyi ni comedy tu.
Wamerikoroga walinywe wao,walimhada mzungu ndani ya siku mbili chanjo zitakuwa zimeisha,mtachanja mpaka vitukuu vyenu ili ziishe.
Chezea Watz ambao Mwendazake aliwaondolea hofu,mtahangaika Sana.
Eti barakoa,huku unashikana mikono kusalimiana na rafiki.Iyo kusema ni side effect za chanjo nakataa , kwani wanaokufa wote tiyari wanakua wamechanjwa?
Shida pia sie watz wabishi mno yani unakuta watu msibani hawajui chanzo Cha kifo ila wamejazana hata barakoa hawavai ACHA tufe ndo tutapata adabu
Ujuaji wako baki nao kwako na familia yako , waweza jiona mwelevu ,kumbe limbukeni wa kutupa, Kama unayajua lipi umefanya elimisha jamii yako iliyokuzunguka, ?Eti barakoa,huku unashikana mikono kusalimiana na rafiki.
Barakoa lenyewe linavaliwa Toka asubuhi mpaka jioni hakuna kubadilisha.
Unatakiwa ubadilishe kila baada ya masaa 4.
Ni maigizo tu.
Kaa na ujinga wako,naona hayo ni matokeo ya kuchanjwa,maana mmeshindwa kujiongeza.Wenzenu tunajiongeza,hatutaki kulishwa pumba. Ridicule yako siishangai, ndivyo walivyo kufundisha mabwana zako CIA na Mockingbird Media.Ndiyo hizo conspirancy sites zinazokufanya uwe paranoid. Mbaya zaidi ni kuwa utazidi kuzitembelea zinazounga mkono paranoia yako. Jambo litakalo kufanya uzidi kuwa paranoid.
Bill Gates anaongea wazi unasema ni conspiracy!Mkuu what then do you believe in.Anyway the fact that you believe kuna Concept ya conspiravy inaonyesha kwamba you are mind controlled and delusional.Ndiyo hizo conspirancy sites zinazokufanya uwe paranoid. Mbaya zaidi ni kuwa utazidi kuzitembelea zinazounga mkono paranoia yako. Jambo litakalo kufanya uzidi kuwa paranoid.
Bill Getes kasema wana mpango wa kufanya mauaji ya kimbari? Punguza kusikiliza waeneza conspirancies. Wapo wengi sana, kama huna uelewa watakutia uchizi.Bill Gates anaongea wazi unasema ni conspiracy!Mkuu what then do you believe in.Anyway the fact that you believe kuna Concept ya conspiravy inaonyesha kwamba you are mind controlled and delusional.
Nitajie walio ingia maabara mkuu.Na hata kama wameingia maabara,mimi nimeingia zaidi yao nilikuwa nalala maabara na Electron Microscope.nyie ndio mnasomea udaktari youtube na kwenye mitandao ya kijamii..
na kuja na hoja kuwapinga waliokaa darasani na kuingia maabara
duuh kweli ujinga unabaki kuwa adui!
Aisee,kweli Kiingereza kimekupitia pembeni,pembeni,pole.Naomba usikiliza hiyo clip tena.Halafu hata bila kusikiliza hiyo clip,mbona ipo wazi kwamba ipo genocide inayoendelea.Ns vifo bado,matumbo yatauma.Bill Getes kasema wana mpango wa kufanya mauaji ya kimbari? Punguza kusikiliza waeneza conspirancies. Wapo wengi sana, kama huna uelewa watakutia uchizi.
ungekuwa umeingia maabara hata semester moja usingetoa upupu wa reference ya youtube...by the way wewe ungendua nini mpaka sasa na kulala huko mahabara na ndio wasteg of resources..Nitajie walio ingia maabara mkuu.Na hata kama wameingia maabara,mimi nimeingia zaidi yao nilikuwa nalala maabara na Electron Microscope.
Unafanya hizo research ili kulisha paranoia yako. Hakuna mtu anafanya genocide. Relax.Aisee,kweli Kiingereza kimekupitia pembeni,pembeni,pole.Naomba usikiliza hiyo clip tena.Halafu hata bila kusikiliza hiyo clip,mbona ipo wazi kwamba ipo genocide inayoendelea.Ns vifo bado,matumbo yatauma.
Halafu mind you mimi ninafanya research ya "Underground Societies and their Agenda on Humanity and the World," kwa hiyo sibahatishi najua mengi wanayofanya.
Mjinga kweli kweli.Kwa hiyo unaamini tunapata knowledge from hard copies tu.Umechelewa sana.Infact ukifanya presentation au ukifundisha kwa kutumia video audience yako inakuelewa zaidi.Labda kwa sababu umenichokoza nikuambie wazi elimu yangu.ungekuwa umeingia maabara hata semester moja usingetoa upupu wa reference ya youtube...by the way wewe ungendua nini mpaka sasa na kulala huko mahabara na ndio wasteg of resources..