Nimejaribu kufuatilia kwa undani sana suala la shilingi ya Tanzania ukilinganisha na dollar pendwa ya Kimarekani ,kwanza tumsikilize huyu kiongozi kuhusu shilingi ya Unguja.
Your browser is not able to display this video.
Kama umsikia kwa Umakini kipindi hicho Shilingi 1 ilikuwa na thamani sana kulinganisha na Sasa, Lakini pia Ukipitia WORLD DATA ATLAS utagundua kwama miaka ya 1971 utagundua Shilingi zetu 7.1 ilikuwa sawa na dollar 1 ya kimarekani tofauti na sasa ambapo hiyo dollar 1 tunainunua kwa zaidi ya shilingi 2200.
Nimejiuliza sana kwanini imepanda kwa kasi kubwa hivyo Nikagundua Sababu kubwa ni kwamba HATUUZI NJE ,nikajiuliza tena ina maana hatuna vitu tunavyoweza uza Nje? Nikagundua pia tunavyo vingi mno.
Nikawaza pia sababu ni nini? Ni CCM au Watanzania wote nikabaki sina jibu
Hivi Wana JF Tanzania hatuweza jenga viwanda vya kutengeneza Nguo ,watu wakalima Pamba wakainua maisha yao Tukauza Nguo Nje?
Hivi wana JF Tanzania hatuwezi kusomesha watu na kujenga viwanda tukaprocess madini tuliyonayo tukauza vitu vitokanavyo na madini nje?
Hivi wana JF Tanzania hatuwezi imarisha Sekta ya Uvuvi kwa kununua vifaa vya Kisasa na kuwa muuzaji Mkubwa wa Samaki Nje?
Hivi Tanzania Hatuwezi jenga Viwanda vya Sukari ,na wananchi wetu wakalima miwa wakauza wakainua maisha yao na tukauza sukari Nje?
Hivi Tanzania hatuwezi jenga viwanda vya kusindika, watu wakalima mazao tukauza vyakula kwenye makopo
Hivi Tanzania hatuwezi jenga miundombinu mizuri, tukachimba tukauza Gesi Nje?
Hivi Tanzania Hatuwezi kuwa Muuzaji mkubwa wa umeme Africa Mashariki na kati kwa kutumia Gesi Tuliyonayo ,mito na bahari?
Hivi Tanzania hatuwezi jenga Bandari Kubwa sana tukawa wapokeaji mizigo wakubwa kwa Nchi zote zinazo tuzunguka?
Mwisho kabisa hivi hawa viongozi wetu huwa Tunawatoa wapi wanaopiga makofi hata kwenye hamna ,wananchi wanakufa kwa kukosa matibabu kwenye nchi yenye kila kitu? Kwanini Watanzania tuishi maisha magumu kwenye nchi yenye kila kitu?
Mi nadhani kuna haja ya kuwa na katiba ambayo mtu akiteuliwa ana akichaguliwa kuwa kiongozi anawaza mara mbili mara tatu ndio anakubali na hapa sio suala la kulaumu CCM kwa kuwepo kipindi chote hicho ila hao viongozi huwa tuna wachagua wenyewe.
Viongozi hawachaguliwi na wananchi, huchaguliwa na wenyenchi...hakuna kitakachobadilika cha msingi kula kwa urefu wa kamba yako, cha ziada wahifadhie wanao kitawafaa huko mbele !
Yeye alipogundua hata wateule wake wengine uwezo wao ni Mdogo, ALIAMUA KILA KITU KUISIMAMIA MWENYEWE.
Akafanya makubwa yalowashinda watangulizi wake, hata wao wakasema "Ukijumlisha yote tuloyafanya Kwa miaka yetu bado hatulingani na miaka mitano ya JPM"
Huyo ndio JPM Rais pekee aliamua Kutimiza ndoto za Mwalimu Nyerere , na hiyo ndio asili yetu WANAUME WA KANDA YA ZIWA, tunaongea kidogo, Matendo Makubwa.
''Mkaamua kutuua''
amekuja Sasa, ambaye siku Moja alisema 'Kila siku naisikia Sauti ya Mpendwa wetu Magufuli ikiniambia niendeleze makubwa aloyaacha. MAAJABU baada ya siku chache akaanza, Huko nyuma alikuwepo Chui, Nilishindwa fanya kazi nanyinyi sababu alikuwapo Simba wa yuda, nilikua natofautiana naye "".[emoji1787][emoji1787]
MIMI HUWA NAWAMBIA HUMU. NI MPUMBAVU NA JIZI, VYETI FEKI, ASOKUA MZALANDO, ALOZOEA MAISHA YA UJANJAUJANJA NDIO PEKEE YAKE AMBAYE ANAWEZA KUMDHARAU JPM.
Kila nikiitizama Tanzania ya miaka 10 ya JPM, Kwa hakika tungemuongezea miaka mingine 10 Kwa sababu Tungekua mbali mnoooo kama Taifa.
Sema nn, Kuna mtu siku akifa, Tanzania itabadilika nakurudi kua Tanzania ya JPM.
Yeye alipogundua hata wateule wake wengine uwezo wao ni Mdogo, ALIAMUA KILA KITU KUISIMAMIA MWENYEWE.
Akafanya makubwa yalowashinda watangulizi wake, hata wao wakasema "Ukijumlisha yote tuloyafanya Kwa miaka yetu bado hatulingani na miaka mitano ya JPM"
Huyo ndio JPM Rais pekee aliamua Kutimiza ndoto za Mwalimu Nyerere , na hiyo ndio asili yetu WANAUME WA KANDA YA ZIWA , tunaongea kidogo, Matendo Makubwa !!.
''Mkaamua kutuua'',
amekuja Sasa, ambaye siku Moja alisema 'Kila siku naisikia Sauti ya Mpendwa wetu Magufuli ikiniambia niendeleze makubwa aloyaacha...... MAAJABU baada ya siku chache akaanza, Huko nyuma alikuwepo Chui, Nilishindwa fanya kazi nanyinyi sababu alikuwapo Simba wa yuda, nilikua natofautiana naye "".[emoji1787][emoji1787]
MIMI HUWA NAWAMBIA HUMU...NI MPUMBAVU NA JIZI , VYETI FEKI, ASOKUA MZALANDO, ALOZOEA MAISHA YA UJANJAUJANJA NDIO PEKEE YAKE AMBAYE ANAWEZA KUMDHARAU JPM.
Kila nikiitizama Tanzania ya miaka 10 ya JPM, Kwa hakika tungemuongezea miaka mingine 10 Kwa sababu Tungekua mbali mnoooo kama Taifa.
sema nn, Kuna mtu siku akifa, Tanzania itabadilika nakurudi kua Tanzania ya JPM.
Yeye alipogundua hata wateule wake wengine uwezo wao ni Mdogo, ALIAMUA KILA KITU KUISIMAMIA MWENYEWE.
Akafanya makubwa yalowashinda watangulizi wake, hata wao wakasema "Ukijumlisha yote tuloyafanya Kwa miaka yetu bado hatulingani na miaka mitano ya JPM"
Huyo ndio JPM Rais pekee aliamua Kutimiza ndoto za Mwalimu Nyerere , na hiyo ndio asili yetu WANAUME WA KANDA YA ZIWA , tunaongea kidogo, Matendo Makubwa !!.
''Mkaamua kutuua'',
amekuja Sasa, ambaye siku Moja alisema 'Kila siku naisikia Sauti ya Mpendwa wetu Magufuli ikiniambia niendeleze makubwa aloyaacha...... MAAJABU baada ya siku chache akaanza, Huko nyuma alikuwepo Chui, Nilishindwa fanya kazi nanyinyi sababu alikuwapo Simba wa yuda, nilikua natofautiana naye "".[emoji1787][emoji1787]
MIMI HUWA NAWAMBIA HUMU...NI MPUMBAVU NA JIZI , VYETI FEKI, ASOKUA MZALANDO, ALOZOEA MAISHA YA UJANJAUJANJA NDIO PEKEE YAKE AMBAYE ANAWEZA KUMDHARAU JPM.
Kila nikiitizama Tanzania ya miaka 10 ya JPM, Kwa hakika tungemuongezea miaka mingine 10 Kwa sababu Tungekua mbali mnoooo kama Taifa.
sema nn, Kuna mtu siku akifa, Tanzania itabadilika nakurudi kua Tanzania ya JPM.
Gwajiboy wanamdharau ila ukweli ni kwamba ni tunahitajika kua na Maono yetu kama Taifa, Maono ambayo kazi ya Kiongozi itakua ni kuyasimamia tu ili yatakelezwe.
Kwa mfano, Samia Kwa Sasa asingeruhusu JNHPP ichezewe Kwa sababu ni Moja ya Maono yetu kua na Umeme wa uhakika na WA bei nafuu.
Lkn kinachoendelea simnakiona?
Sasa kwakua Taifa halina Maono, ndio tunarudi kupambana ili Tupate MAGUFULI MPYA.
Gwajiboy wanamdharau ila ukweli ni kwamba ni tunahitajika kua na Maono yetu kama Taifa, Maono ambayo kazi ya Kiongozi itakua ni kuyasimamia tu ili yatakelezwe .
Kwa mfano, Samia Kwa Sasa asingeruhusu JNHPP ichezewe Kwa sababu ni Moja ya Maono yetu kua na Umeme wa uhakika na WA bei nafuu.
Lkn kinachoendelea simnakiona?
Sasa kwakua Taifa halina Maono, ndio tunarudi kupambana ili Tupate MAGUFULI MPYA.
Viongozi hawachaguliwi na wananchi, huchaguliwa na wenyenchi...hakuna kitakachobadilika cha msingi kula kwa urefu wa kamba yako, cha ziada wahifadhie wanao kitawafaa huko mbele !
Yeye alipogundua hata wateule wake wengine uwezo wao ni Mdogo, ALIAMUA KILA KITU KUISIMAMIA MWENYEWE.
Akafanya makubwa yalowashinda watangulizi wake, hata wao wakasema "Ukijumlisha yote tuloyafanya Kwa miaka yetu bado hatulingani na miaka mitano ya JPM"
Huyo ndio JPM Rais pekee aliamua Kutimiza ndoto za Mwalimu Nyerere , na hiyo ndio asili yetu WANAUME WA KANDA YA ZIWA , tunaongea kidogo, Matendo Makubwa !!.
''Mkaamua kutuua'',
amekuja Sasa, ambaye siku Moja alisema 'Kila siku naisikia Sauti ya Mpendwa wetu Magufuli ikiniambia niendeleze makubwa aloyaacha...... MAAJABU baada ya siku chache akaanza, Huko nyuma alikuwepo Chui, Nilishindwa fanya kazi nanyinyi sababu alikuwapo Simba wa yuda, nilikua natofautiana naye "".[emoji1787][emoji1787]
MIMI HUWA NAWAMBIA HUMU...NI MPUMBAVU NA JIZI , VYETI FEKI, ASOKUA MZALANDO, ALOZOEA MAISHA YA UJANJAUJANJA NDIO PEKEE YAKE AMBAYE ANAWEZA KUMDHARAU JPM.
Kila nikiitizama Tanzania ya miaka 10 ya JPM, Kwa hakika tungemuongezea miaka mingine 10 Kwa sababu Tungekua mbali mnoooo kama Taifa.
sema nn, Kuna mtu siku akifa, Tanzania itabadilika nakurudi kua Tanzania ya JPM.
Juzi umesimia serikali inasema kwa mwaka Tanzania tunatumia tani laki 9 za ngano, ila Tanzania tunazalisha tani laki 1 tu. Kwa maana kwamba tani laki 8 tunaagiza kutoka nje.
Hiyo ni Ngano, ukija mafuta ya kupikia, sukari, asali, maziwa, nyama za kuku wa kisasa, chumvi, nk hivyo vyote tunaagiza zaidi ya 60%.
Sasa unajiuliza hii nchi inafanya kitu gani, unaishiwa nguvu.
Juzi umesimia serikali inasema kwa mwaka Tanzania tunatumia tani laki 9 za ngano, ila Tanzania tunazalisha tani laki 1 tu. Kwa maana kwamba tani laki 8 tunaagiza kutoka nje.
Hiyo ni Ngano, ukija mafuta ya kupikia, sukari, asali, maziwa, nyama za kuku wa kisasa, chumvi, nk hivyo vyote tunaagiza zaidi ya 60%.
Sasa unajiuliza hii nchi inafanya kitu gani, unaishiwa nguvu.
Kwa maana nyingine hii nchi haizalishi chochote. Nchi yenye raia milioni 60, ardhi yenye rutuba kwa zaidi ya 50%, mvua inanyesha misimu miwili kwa mwaka lakini haiwezi kuzalisha hata 20% ya mahitaji yake muhimu.
Chupi, njiti za kuchokonolea meno, samaki(hapa tuna maziwa makubwa 3, madogo 3, bahari ndio usiseme), nyama, Maziwa(sisi ni wa pili kwa Mifugo Afrika).
Hii nchi imebarikiwa rasilimali imelaaniwa kwenye uongozi.
Kwa maana nyingine hii nchi haizalishi chochote. Nchi yenye raia milioni 60, ardhi yenye rutuba kwa zaidi ya 50%, mvua inanyesha misimu miwili kwa mwaka lakini haiwezi kuzalisha hata 20% ya mahitaji yake muhimu.
Chupi, njiti za kuchokonolea meno, samaki(hapa tuna maziwa makubwa 3, madogo 3, bahari ndio usiseme), nyama, Maziwa(sisi ni wa pili kwa Mifugo Afrika).
Hii nchi imebarikiwa rasilimali imelaaniwa kwenye uongozi.
Yeye alipogundua hata wateule wake wengine uwezo wao ni Mdogo, ALIAMUA KILA KITU KUISIMAMIA MWENYEWE.
Akafanya makubwa yalowashinda watangulizi wake, hata wao wakasema "Ukijumlisha yote tuloyafanya Kwa miaka yetu bado hatulingani na miaka mitano ya JPM"
Huyo ndio JPM Rais pekee aliamua Kutimiza ndoto za Mwalimu Nyerere , na hiyo ndio asili yetu WANAUME WA KANDA YA ZIWA , tunaongea kidogo, Matendo Makubwa !!.
''Mkaamua kutuua'',
amekuja Sasa, ambaye siku Moja alisema 'Kila siku naisikia Sauti ya Mpendwa wetu Magufuli ikiniambia niendeleze makubwa aloyaacha...... MAAJABU baada ya siku chache akaanza, Huko nyuma alikuwepo Chui, Nilishindwa fanya kazi nanyinyi sababu alikuwapo Simba wa yuda, nilikua natofautiana naye "".[emoji1787][emoji1787]
MIMI HUWA NAWAMBIA HUMU...NI MPUMBAVU NA JIZI , VYETI FEKI, ASOKUA MZALANDO, ALOZOEA MAISHA YA UJANJAUJANJA NDIO PEKEE YAKE AMBAYE ANAWEZA KUMDHARAU JPM.
Kila nikiitizama Tanzania ya miaka 10 ya JPM, Kwa hakika tungemuongezea miaka mingine 10 Kwa sababu Tungekua mbali mnoooo kama Taifa.
sema nn, Kuna mtu siku akifa, Tanzania itabadilika nakurudi kua Tanzania ya JPM.
Hivi JPM mtu mwinyi akili timamu narudia tena MWENYE AKILI TIMAMU unaweza kusema alikuwa KIONGOZI BORA labda alikuwa bora kwa UONGO na kuwafanya WATANZANIA walio kuwa na akili ya chini kumuamini hadi na badhi ya wanao jifanya wasomi NJAA kumsupport UONGO wake.
Mtu kaanzisha miradi mikubwa kwa pomoja na kudanya inajengwa kwa fedha za ndani ili hali ni uongo mtupu hadi anakufa hakuna mradi wowote umefika asilimia hata 50%
Kuna msemo unasema sn UONGO UKISEMWA SANA UBADILIKA KUWA UKWELI na hili JPM alifanikiwa sn.
Yeye alipogundua hata wateule wake wengine uwezo wao ni Mdogo, ALIAMUA KILA KITU KUISIMAMIA MWENYEWE.
Akafanya makubwa yalowashinda watangulizi wake, hata wao wakasema "Ukijumlisha yote tuloyafanya Kwa miaka yetu bado hatulingani na miaka mitano ya JPM"
Huyo ndio JPM Rais pekee aliamua Kutimiza ndoto za Mwalimu Nyerere , na hiyo ndio asili yetu WANAUME WA KANDA YA ZIWA , tunaongea kidogo, Matendo Makubwa !!.
''Mkaamua kutuua'',
amekuja Sasa, ambaye siku Moja alisema 'Kila siku naisikia Sauti ya Mpendwa wetu Magufuli ikiniambia niendeleze makubwa aloyaacha...... MAAJABU baada ya siku chache akaanza, Huko nyuma alikuwepo Chui, Nilishindwa fanya kazi nanyinyi sababu alikuwapo Simba wa yuda, nilikua natofautiana naye "".[emoji1787][emoji1787]
MIMI HUWA NAWAMBIA HUMU...NI MPUMBAVU NA JIZI , VYETI FEKI, ASOKUA MZALANDO, ALOZOEA MAISHA YA UJANJAUJANJA NDIO PEKEE YAKE AMBAYE ANAWEZA KUMDHARAU JPM.
Kila nikiitizama Tanzania ya miaka 10 ya JPM, Kwa hakika tungemuongezea miaka mingine 10 Kwa sababu Tungekua mbali mnoooo kama Taifa.
sema nn, Kuna mtu siku akifa, Tanzania itabadilika nakurudi kua Tanzania ya JPM.
Shillingi 1 ya kenya ni sawa na 20.5tsh mwananchi wa chini akiwa na15ksh ambayo ni sawa na 300tsh anauwezo wa kupata kikombe cha chai na makande maisha yakasogea,kwa upande wa bongo hali ni tofauti...