masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Sisi tulio makabila madogo na tulio pembezoni, tulionya sana katika miaka y karibuni juu ya kujitokeza vashiri vya Ukanda, Udini na Ukabila katika siasa za nchi.
Sasa zimeanza kujitokeza dhahiri na kwa kila mtu kujionea kwa macho yake yanayoendelea nchini.
Kama kuna kielelezo kinajitokeza ili kila mtu akione ni uchaguzi wa CCM kwa kuwania viti vya NEC.
Kwa princile ya wengi wape basi nchi hii itatawaliwa na watu toka pande fulani tu za nchi.
Tunajua mambo haya kuanzia uchaguzi huu, tulianza na "Mitandao" Awamu ya Tatu na NNe, na Awamu ya Tano ndio ikawa funga kazi, Mwenyekiti wa CCM aliyekuwepo na Rais vile vile alipendelea wazi wazi "wale waliomchagua".
Kama tulikuwa tunaisikia tu Apartheid kwa makaburu -yaani maendeleo ni kwa majimbo fulani tu, sasa laana hii ipo nchini.
The writing is on the walll, umoja wa kitaifa umeanza kupata nyufa.
Sasa zimeanza kujitokeza dhahiri na kwa kila mtu kujionea kwa macho yake yanayoendelea nchini.
Kama kuna kielelezo kinajitokeza ili kila mtu akione ni uchaguzi wa CCM kwa kuwania viti vya NEC.
Kwa princile ya wengi wape basi nchi hii itatawaliwa na watu toka pande fulani tu za nchi.
Tunajua mambo haya kuanzia uchaguzi huu, tulianza na "Mitandao" Awamu ya Tatu na NNe, na Awamu ya Tano ndio ikawa funga kazi, Mwenyekiti wa CCM aliyekuwepo na Rais vile vile alipendelea wazi wazi "wale waliomchagua".
Kama tulikuwa tunaisikia tu Apartheid kwa makaburu -yaani maendeleo ni kwa majimbo fulani tu, sasa laana hii ipo nchini.
The writing is on the walll, umoja wa kitaifa umeanza kupata nyufa.