Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Kuhusu umeme wa Gas ,Serkali iliachana na suala hilo kutokana na gharama kubwa sana katika mradi huo (hadi mradi kukamilika unahitaji kama nusu bajeti ya Tanzania nzima) hivyo mradi umesimama kuepuka kuendesha mradi kwa hasara.
Wadhamini wa mradi huu wapo,lakini wanataka cha juu zaidi jambo ambalo mh jiwe hawezi kuona linatendeka.
Kuhusu haya makampuni 6 ,acha tusubiri litajibiwa vipi. Huenda wanamaana kubwa ambayo sisi wananchi hatuielewi.
#jr
Rais huyu alikuwa waziri kwenye serikali iliyokuwa inatuimbisha umeme wa gas kama wendawazimu, mbona hakugoma wakati ule kuwa tunaingia kwenye umeme wa bei ghali? Kwahiyo hiyo $6.5 ya umeme wa maji, kama ingeingizwa kwenye gas tusingepata hizo 2,115mg?
Jitahidi za kuambiwa uchanganye na zako. Unapoona miradi mingine mchepuko huku kukiwa na mradi mkubwa unaodanganywa ni pesa za ndani, kisha wachina wanaitwa, ujue unaingizwa town.