Afadhali wambie Kamanda, unajua Watanzania ni kama tumelogwa. Tunashabikia mambo bila kufikiria, watakao umia ni haohao wanaomiliki biashara za malori. Na hii maana ya haraka haraka ni kuanza ku discourage mizigokushushiwa Dar sasa watalazimika kwenda Bandari ya Mombasa.
Mambo mengine adghabu zake ni hapa hapa tu hakuna kungojea,
TAFAKARI
Hakuna mtanzania ataumia hapo wewe, Tanzania inasafirisha mizigo Kongo, Zambia, Burundi, Malawi n.k. hawategemei Rwanda peke yake. Utakuta hiyo USD 500 ni ndogo kuliko gharama za kusafirisha mzigo kutokea Mombasa kutokana na Jeografia ilivyo. Kwa maana hiyo, bidhaa ikitokea Mombasa bado itapanda bei na ile itakayotozwa USD 500 itapanda bei pia, ataumia mlaji wa Rwanda.