Siasa za visasi: Rwanda yapandisha ushuru kwa magari ya mizigo yanayotokea Tanzania

Siasa za visasi: Rwanda yapandisha ushuru kwa magari ya mizigo yanayotokea Tanzania

Status
Not open for further replies.
Wanaipalilia Bandari ya Mombasa Unajua haya mambo unaweza kuyaangalia kwa jicho moja ukaona ni Kagame ndio anafanya yote haya ila mie nimekua na maono tofauti na haya Kuna bingwa wa Fitna anaitwa Uhuru huyu ndio anachochea hii kitu kubalini kataeni Rwanda ni landlocked haiwezi kufanya hayo kama hana sapoti na Uhuru ni mfanyabiashara na Wakikuyu hakuna wanachodhamini kama pesa! Tanzania tujitoe East Africa tujipange kufanya yetu.
Ni yale yale, maana yake ni kuongeza gharama kwa mtu wa Rwanda kupata bidhaa kutokea bahari ya Hindi. Afrika tuna matatizo makubwa sana ya kuongozwa na watu wajinga. Sikutegema kuwa Kagame naye ni mjinga wa namna hii kwa vile nilikuwa namshabikia sana kwa kusimamia accountability ya serikali yake. Lakjni kweli kama Nyani Ngabu asemavyo miafrika ndivyo ilivyo.
 
Last edited by a moderator:
Nadhani huyu mbwa Kagame ana washauri wajinga kama yeye. Rwanda population yake haizidi populationa ya mkoa wa Morogoro. Kama kuumia wataumia wao na sio Tanzania. Halafu distance ya kutoka Mombasa mpaka Rwanda ni mara mbili ya distance kutoka DSM mpaka Rwanda. Let them suffer. BRAVO MR JK. ALUTA CONTINUOE
 
Hili tatizo ni dogo sana; ningekuwa na madaraka ningelitolea uamuzi wakati nakunywa chai ya asubuhi kabla hata sijaingia ofisini kwa kuweka policy yenye step nne tu.
STEP1: Ningetoa tamko la kiserikali kuwa mzigo hiyo itarudishwa bandarini Dar kwa gharama za serikali ya Tanzania iwapo haitapokelewa na Rwanda kulingana na taratibu zilizopo katika muda wa siku mbili tangu roili kufika mpakani.
STEP2: Baada ya step 1 hapo juu, nitatoa amri kwa maroli yote yenye namba za Tanzania yarudishe mizigo yao bandarini Dar, serikali itawalipa gharama zao za halali ili kuhakikisha biashara zeo haziathiriki na upuuzi huu.
STEP3: Mizigo ikishafika Dar itarudishwa katika mamlaka ya bandari ambapo bandari iatarudisha malipo yote ya clearing serikalini.
STEP4: Gari litakolochukua mizigo hiyo liliilipe serikali fidia kwa gharama za step 2 na vile vile liilipe tena bandari gharama za step 3 halafu pia lilipe road toll ya $500; Marekani wanita kitu hii kuwa ni reciprocity policy: kwetu inaitwa jino kwa jino.

Mwisho wa yote atakayeumia ni mnyawaranda aliyekuwa akitegema mizigo hiyo; very simple. You can't just change rules in the middle of the game.

Baby sitted ,spoon fed for far too long ,jumuiya imeshatuchoka. Tanzania must learn choices have consequences.
 
Naona wakati umefika wa kuacha kufanya biashara na Rwanda tuhamishie biashara zetu kwengineko, yeyote mwenye akili timamu hawezi kuchanganya politics and biashara, ndio maana hata Wachina na wamarekani hawapikiki chungu kimoja kisiasa, tena ni mahasimu wakubwa lakini inapokuja kwenye biashara wao ndio patners wakuu...
Watanzania tukae chini tuweke mikakati ya kuendelea na maisha yetu without Rwanda, kubembeleza sana tunaonekana kama mazuzu.
 
Huyu Kagame anatutafuta sana, mara apandishe ushuru mara vile, sasa dawa yake inachemka
 
Yes safi sana kagame zuia kabisa haya malori
 
Haya ndo madhara ya kuwa na rais anayeanzisha nabifu ya kitoto..sasa tutakoma...hawatutaki kwa ajili ya akili finyu za kiongozi wetu...kagame safi sana
 
Naona wakati umefika wa kuacha kufanya biashara na Rwanda tuhamishie biashara zetu kwengineko, yeyote mwenye akili timamu hawezi kuchanganya politics and biashara, ndio maana hata Wachina na wamarekani hawapikiki chungu kimoja kisiasa, tena ni mahasimu wakubwa lakini inapokuja kwenye biashara wao ndio patners wakuu...
Watanzania tukae chini tuweke mikakati ya kuendelea na maisha yetu without Rwanda, kubembeleza sana tunaonekana kama mazuzu.

Sisi ni mapimbi na mazuzu toka muda tu
 
Acheni uoga wakitoto who is Rwanda by the way msiwe na akili finyu hivi masoko mengine hakuna waacheni wapumbafu Rwanda tuone nani ataathirika nendeni Nchi za SADC mkauze biashara zenu.
 
ni hanari mpya imetokea leo... malori yote yanayosafirisha bidhaa kutoka tanzania katika ardhi ya rwanda yanatakiwa kulipa dola 500 effective from today kutoka kwenye rate ya zamani ya dola 150... kadhia hii inahusu malorry ya tanzania tu wakati ya uganda na kenya yataendelea kulipa rate ya zamani... kuna msururu wa malori ya tanzania yamekwama kwani walienda wakijua watalipa iyo dola 150 only to find a new rate EXCLUSIVE for tanzanian only!!!!

sishangai kwani maji ukiyavulia nguo , ni sharti uyaoge.
 
Teh teh teh , naisi kuna mkono wa mataifa ya kibepari kwenye hii filamu

since then,tangu lini shirikisho likasaidiwa na shirikisho??,EAC inasaidiwa sana na EU
AU inajengewa majengo na Mchina
 
Naona wakati umefika wa kuacha kufanya biashara na Rwanda tuhamishie biashara zetu kwengineko, yeyote mwenye akili timamu hawezi kuchanganya politics and biashara, ndio maana hata Wachina na wamarekani hawapikiki chungu kimoja kisiasa, tena ni mahasimu wakubwa lakini inapokuja kwenye biashara wao ndio patners wakuu...
Watanzania tukae chini tuweke mikakati ya kuendelea na maisha yetu without Rwanda, kubembeleza sana tunaonekana kama mazuzu.

urusi na US pamoja na mabifu yao ya miongo,ila kwenye biashara wanapiga as usual
 
Nimeipenda hii mkuu.

Hili tatizo ni dogo sana; ningekuwa na madaraka ningelitolea uamuzi wakati nakunywa chai ya asubuhi kabla hata sijaingia ofisini kwa kuweka policy yenye step nne tu.
STEP1: Ningetoa tamko la kiserikali kuwa mzigo hiyo itarudishwa bandarini Dar kwa gharama za serikali ya Tanzania iwapo haitapokelewa na Rwanda kulingana na taratibu zilizopo katika muda wa siku mbili tangu roili kufika mpakani.
STEP2: Baada ya step 1 hapo juu, nitatoa amri kwa maroli yote yenye namba za Tanzania yarudishe mizigo yao bandarini Dar, serikali itawalipa gharama zao za halali ili kuhakikisha biashara zeo haziathiriki na upuuzi huu.
STEP3: Mizigo ikishafika Dar itarudishwa katika mamlaka ya bandari ambapo bandari iatarudisha malipo yote ya clearing serikalini.
STEP4: Gari litakolochukua mizigo hiyo liliilipe serikali fidia kwa gharama za step 2 na vile vile liilipe tena bandari gharama za step 3 halafu pia lilipe road toll ya $500; Marekani wanita kitu hii kuwa ni reciprocity policy: kwetu inaitwa jino kwa jino.

Mwisho wa yote atakayeumia ni mnyawaranda aliyekuwa akitegema mizigo hiyo; very simple. You can't just change rules in the middle of the game.
 
Nadhani huyu mbwa Kagame ana washauri wajinga kama yeye. Rwanda population yake haizidi populationa ya mkoa wa Morogoro. Kama kuumia wataumia wao na sio Tanzania. Halafu distance ya kutoka Mombasa mpaka Rwanda ni mara mbili ya distance kutoka DSM mpaka Rwanda. Let them suffer. BRAVO MR JK. ALUTA CONTINUOE

sasa kama wapo wachache hivyo kuna haja ya kuhangaika nao hawa???
 
Kagame --------, hatua hii aliyo ifanya ni ya kipuuzi tutegemee maisha magumu kwa wanyarwanda kwa bei ya bidhaa kupaa mara dufu.
 
ni hanari mpya imetokea leo... malori yote yanayosafirisha bidhaa kutoka tanzania katika ardhi ya rwanda yanatakiwa kulipa dola 500 effective from today kutoka kwenye rate ya zamani ya dola 150... kadhia hii inahusu malorry ya tanzania tu wakati ya uganda na kenya yataendelea kulipa rate ya zamani... kuna msururu wa malori ya tanzania yamekwama kwani walienda wakijua watalipa iyo dola 150 only to find a new rate EXCLUSIVE for tanzanian only!!!!

Better still ,Rwanda iongeze mizani angalau 20 mpakani hadi Kigali exclusive kupima magari ya Tanzania tu. May be we d learn the hard way of need to co operate
 
By mwekundu<br />
Kwani Wanyarwanda wamesahau kua nchi yao ni land locked?watakufa wao njaa !!Halafu kipigo cha juzi cha M23 ndo kinawauma waambie Watz tunajua tukitoka kivu tunakuja kumkamata PK dead or alive<br />
<br />
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
<br />
<br />
<br />
Kenyatta anafanya biashara pale banadari ya mombasa watakufaje? uzuzu wa rais wetu sasa wafanyabiashara wetu wanataabika kunawatanzania watafilisika kupitia bifu hili.<br />
<br />
JK Nyerere alitambua kuishi vema na majirani ndiyo njia pekee yakujihakikishia amani ya kudumu.
nikikuuliza rais wa tz amefanya kosa gani? acha kuongea usichokijua,usipende kuuza utu wako kwasababu ya kumridhisha mwenzako. tz imetoa ushauri kwa rwanda imekua mwiba kwake,despite of our poverty,hatukuwahi kufail katika mambo yetu.
 
ni hanari mpya imetokea leo... malori yote yanayosafirisha bidhaa kutoka tanzania katika ardhi ya rwanda yanatakiwa kulipa dola 500 effective from today kutoka kwenye rate ya zamani ya dola 150... kadhia hii inahusu malorry ya tanzania tu wakati ya uganda na kenya yataendelea kulipa rate ya zamani... kuna msururu wa malori ya tanzania yamekwama kwani walienda wakijua watalipa iyo dola 150 only to find a new rate EXCLUSIVE for tanzanian only!!!!
Ndo mtaisoma,waambieni viongozi wenu waiza madawa ya kulevya wawalipie
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom