minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Paskal mayala anasaka uteuzi kwa njia haramu za kishetaniVibaraka na wasaliti huwahawakosekani, kinachosikitisha ni kuona mtu kama huyu anakuwa msaliti wa ukweli kiasi hiki!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Paskal mayala anasaka uteuzi kwa njia haramu za kishetaniVibaraka na wasaliti huwahawakosekani, kinachosikitisha ni kuona mtu kama huyu anakuwa msaliti wa ukweli kiasi hiki!
Paskal mayala ni shetani mkubwa kwa sasa hawezi kutetea mauaji Zanzibar asionekane ni shetaniMkuu unamuitaje mwenzio shetani?
Kafanya nini?
Hili jamaa siku hizi Jinga sanaa, mpuuzi wa mwishoWanabodi,
Siasa za Zanzibar, natoa hongera kwa Dr. Hussein Mwinyi, kwa ushindi wa kishindo, cha kihistoria, haijapata kutokea toka Zanzibar izaliwe, ushindi wa zaidi ya asilimia 50%, siku zote uchaguzi wa Zanzibar matokeo huwa ni close range, lakini safari hii, ushindi wa 76% ni landslide ya funga kazi, na funga kalomo kwa vitimbakwiri vyenye maneno maneno kuhusu uchaguzi wa Zanzibar.
Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar yenye GNU, Maalim Seif Sharrif Hamad atakuwa Makamo wa I, wa rais, namshauri Maalim akubali uteuzi huo, kwa umri wake aliofikia, kipindi hiki kwake ni final finale, kwa uchaguzi wa 2025, kutahitajika damu changa, nashauri Jussa au Hamid apokee mikoba.
Natoa wito kwa Dr. Mwinyi, amteue, Balozi Amina Salum Ally awe Makamo wa II, ili kutoa sare sare maua na makamo wa huku bara, Mama Samia Suluhu Hassan, tena sare ya Amina Salum Ally na Samia Suluhu Hassan, itakuwa ni sare inayoendana hadi macho!.
Nakuwekea picha 2, moja macho mawili na nyingine macho manne
Pasco
Rejea ya macho
Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?
Wana MMU, Salaam. Sisi binaadamu kila mtu ana kitu chake apendacho ndani ya moyo wake, na kila akikiona hicho apendacho, anakuwa roho kwatu!. Nina swali, inapotokea wewe unapenda macho, halafu kukatokea kuna kiongozi fulani mwanamke ana jicho hilo!, wewe unapenda jicho, ukimuona huyo mwenye...www.jamiiforums.com
Paskal mayala aweza akawa ni mtu anayejipendekeza kishetani kuliko binadamu yeyote Dunianisubiri uteuzi, kazi imeshaisha hauna haja ya kujisumbua humu kupost ugoro.
Mauaji gani?Paskal mayala ni shetani mkubwa kwa sasa hawezi kutetea mauaji Zanzibar asionekane ni shetani
Muulize Hussein mwinyi na Paskal mayalaMauaji gani?
Dini Ukabila majukumu ya familia namuelewa kbs Kaka Pascal.Wewe nakuona kama mtu muovu hapa JF na hata siku nikisikia umepatwa na baya kutoka kwa hao unaowatetea hapa JF, hakika sitokuhurumia wala kukupa pole.
Umekosa utu kwa kiwango cha kutisha na ni mtu hatari sana wewe.
Na Hilo ndiyo tatizo lenu.Muulize Hussein mwinyi na Paskal mayala
Hilo ndilo Tatizo lakoNa Hilo ndiyo tatizo lenu.
Paskal mayala ana njaa kali iliyopitiliza mnoWajumbe wali kutia stroke hadi leo akili aija kaa sawa
Mkuu Bayyo , huwezi kuzuia watu kusema, tena kwenye machungu, watu walioumizwa kwa ndani, wakisema ndio wanapunguza machungu, hivyo ni rukhsa kunitumia mimi kupunguzia machungu.
P
Uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho? Endelea kuvuta Bangi hapo gheto kwa cyprian Musiba
Sawa.....Uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho? Endelea kuvuta Bangi hapo gheto kwa cyprian Musiba
Lissu na Mbowe hawako Zanzibar, hoja iliyopo mezani ni hii, ijadili au subiri ya Lissu na MboweWatasema wewe ni kibaraka wa CCM, wana hasira za kugaragazwa kwa Lissu na Mbowe!
Kweli,yote heliYote kheri
Pasko mayala, amani msumali, jane luwasa, mama d, Kawe na wengine wanastahiki uteuzi maana kazi yao kutetea selikali na xhama. Mmh Kama wamesoma wapewe tuukuhusu uteuzi utasubiri sana